MTOTO ATESEKA, ASEMA: ‘WA KUNIOKOA NI MUNGU TU’
![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D-1gN84Q*a9pe8D6Y4-tccGfAdEJclINgIfhUYoANVczSZNNy0*uX3TjokZAzAy0z3Z25sgEUgmsDSPyPLJvVlo/Mtotoi.gif?width=650)
Na Imelda Mtema NIkweli hujafa hujaumbika! Leo unaweza kuamka mzima lakini kesho ukafika ukiwa huwezi! Unaweza kusema ‘mi naumwa’ kumbe hujawaona wagonjwa wenyewe. Ukishawaona, utagundua kuwa, ugonjwa wako hahuitaji tabibu. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1Mvhywq
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLASKOFU WA KANISA LA GOOD NEWS FOR ALL MINISTRY ASEMA MAOMBI YAO MUNGU, AMETENDA!
Askofu Charles Gadi (katikati) akiongea na wanahabari (hawapo pichani). Viongozi wa kanisa hilo wakiomba kwa pamoja baada ya kumaliza kuongea na wanahabari.
Wanahabari wakichukua tukio. ASKOFU wa Kanisa la Good News For all Ministry, Charles Gadi amesema maombi yao yaliyofanyika kwa takribani siku 1000 kwa ajili ya …
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6rgbhnfcXlBBbe1FXokcV7UJrSO2*ZloJHcQ7FiSjqWeoZLrx94lzexfkFa66ltjKbVwZbwn4CfhPKaSx7Ig7GX/msaidieni.jpg)
MTOTO: EEH MUNGU NISAIDIE
Stori:Â Maria Halimoja na Rhoda Josiah
“Eeh Mungu sikia kilio changu unisaidie!†Ndivyo alivyoanza kusimulia mtoto Salum Kassim (16), mkazi wa Kilimahewa-Tandika, Dar, ambaye ameteseka kwa muda wa miaka minne (siku 1440) akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo. Mtoto Salum Kassim akiwa na maumivu makali ya kuvimba tumbo yaliyosababiswa na ugonjwa wa moyo. Akizungumza kwa maumivu makali na wanahabari wetu nyumbani kwao...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s72-c/page3.jpg)
MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s1600/page3.jpg)
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/1gydulqw72U/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwJPaxQ43zv*u8PCj6Qv0Sj14YbEnHhBscx1s2s-t8v7Qnjl2wa47VkDcRr4RiDi4gJAjex5jW3U5gKhg5dhPS24/f.jpg?width=650)
MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU! AJALI YA KONTENA MAFINGA
Na Mwandishi Wetu, Iringa
BADO Mji wa Mafinga wilayani Mufindi mkoani hapa haujakaa sawa kufuatia vifo vya watu 50 waliopoteza maisha kwa ajali ya kontena kudondokea Basi la Majinja lenye namba za usajili T 438 CED iliyotokea Machi 11, 2015, Uwazi limechimba. Mtoto aliyenusurika kwenye ajali. Ajali hiyo ilitokea maeneo ya Changarawe mjini Mafinga ambapo kontena hilo lilikuwa kwenye lori la mizigo la Scania lenye namba za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnV5uSvU5PzrcXqmcagXSe9xMTxb7HHyISeoNQIs0DGg768X2ki*VpMy4Wd4xUIVnwHSjRTa2iWuFxgYpA-Hb2Ww/watoto.jpg)
KAMA WEWE UMEJIFUNGUA SALAMA, MTOTO WAKO NI MZIMA MSHUKURU MUNGU
Makala Makongoro Oging’
DUNIANI kuna mengi kiasi kwamba kama mama umebeba ujauzito kwa miezi tisa na kujifungua mtoto salama na mtoto wako ni mzima unapaswa kumshukuru Mungu kwani kuna watu ambao wanapata usingizi wa mang’amung’amu kutokana na mateso ya watoto wao. Mtoto Godwin Florence Rweyemamu (3) akilia kwa maumivu anayoyapata. Mtoto Godwin Florence Rweyemamu (3), mkazi wa Kijiji cha Kamala, Kata...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykWcai-4ApDDfDt8G3RQmnY04TPdMEcrXS2sT9zPqzI9Bu793A8AU029NG*gGBZ0VIQmVbRzFG-JNoDACwytnp1c/Maajabu.jpg?width=650)
HAYA NDIYO MAAJABU YAKE MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU
Na Haruni Sanchawa
MTOTO Jacqueline Lepenza, aliyenusurika katika ajali mbaya ya basi lililogongana na lori huko Mafinga mkoani Iringa wiki mbili zilizopita, ameripotiwa kuwa na maajabu baada ya baba yake mzazi kujitokeza na kusimulia, Uwazi linakutaarifu. Jacqueline Lepenza, akiwa na baba'ke. Willy Lupenza, baba mzazi wa mtoto huyo mwenye umri wa miaka mitatu na nusu, alisema marehemu mke wake, Anjela Osward (35) (pichani)...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm-2NuhU0L6FUhTrjGugFc*PaN0AvjAvvbBLphxfYeoXzBsmm95eCB*MiK-rZV-Shbu9N3h73iwKPP2rxJlxBnXe/MTOTO...jpg)
KAMA MWANAO MZIMA MSHUKURU MUNGU...MTOTO HUYU ANA MATESO MIAKA 11
Stori: makongoro oging’
“MAISHA yangu tangu tuoane na mume wangu yalikuwa mazuri tena yenye mapenzi ndani ya nyumba lakini tatizo limekuja kujitokeza pale nilipomzaa mtoto huyu Maimuna. Mtoto Maimuna aliyezaliwa miaka 11 iliyopita katika Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga akiwa na matatizo ya kichwa kujaa maji. “Sikumuona tena mume wangu au kujua alikoelekea, sipati hata salamu kwa simu, barua hata kwa...
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu
Rais Magufuli aliwaomba raia wa taifa hilo kutumia siku tatu kuanzia tarehe 17 hadi 19 Aprili 2020, kumuomba Mwenyezi Mungu ili kuwaepusha na janga la ugonjwa wa corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania