Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO: EEH MUNGU NISAIDIE

Stori:  Maria Halimoja na Rhoda Josiah
“Eeh Mungu sikia kilio changu unisaidie!” Ndivyo alivyoanza kusimulia mtoto Salum Kassim (16), mkazi wa Kilimahewa-Tandika, Dar, ambaye ameteseka kwa muda wa miaka minne (siku 1440) akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo. Mtoto Salum Kassim akiwa na maumivu makali ya kuvimba tumbo yaliyosababiswa na ugonjwa wa moyo. Akizungumza kwa maumivu makali na wanahabari wetu nyumbani kwao...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MTOTO ATESEKA, ASEMA: ‘WA KUNIOKOA NI MUNGU TU’

Na Imelda Mtema NIkweli hujafa hujaumbika! Leo unaweza kuamka mzima lakini kesho ukafika ukiwa huwezi! Unaweza kusema ‘mi naumwa’ kumbe hujawaona wagonjwa wenyewe. Ukishawaona, utagundua kuwa, ugonjwa wako hahuitaji tabibu. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1Mvhywq

 

10 years ago

GPL

MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU! AJALI YA KONTENA MAFINGA

Na Mwandishi Wetu, Iringa
BADO Mji wa Mafinga wilayani Mufindi mkoani hapa haujakaa sawa kufuatia vifo vya watu 50 waliopoteza maisha kwa ajali ya kontena kudondokea Basi la Majinja lenye namba za usajili T 438 CED iliyotokea Machi 11, 2015, Uwazi limechimba. Mtoto aliyenusurika kwenye ajali. Ajali hiyo ilitokea maeneo ya Changarawe mjini Mafinga ambapo kontena hilo lilikuwa kwenye lori la mizigo la Scania lenye namba za...

 

10 years ago

GPL

HAYA NDIYO MAAJABU YAKE MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU

Na Haruni Sanchawa
MTOTO Jacqueline Lepenza, aliyenusurika katika ajali mbaya ya basi lililogongana na lori huko Mafinga mkoani Iringa wiki mbili zilizopita, ameripotiwa kuwa na maajabu baada ya baba yake mzazi kujitokeza na kusimulia, Uwazi linakutaarifu. Jacqueline Lepenza, akiwa na baba'ke. Willy Lupenza, baba mzazi wa mtoto huyo mwenye umri wa miaka mitatu na nusu, alisema marehemu mke wake, Anjela Osward (35) (pichani)...

 

11 years ago

GPL

KAMA WEWE UMEJIFUNGUA SALAMA, MTOTO WAKO NI MZIMA MSHUKURU MUNGU

Makala Makongoro Oging’
DUNIANI kuna mengi kiasi kwamba kama mama  umebeba ujauzito kwa miezi tisa na kujifungua mtoto salama na mtoto wako ni mzima unapaswa kumshukuru Mungu kwani kuna watu ambao wanapata usingizi wa mang’amung’amu kutokana na mateso ya watoto wao. Mtoto Godwin Florence Rweyemamu (3) akilia kwa maumivu anayoyapata. Mtoto Godwin Florence Rweyemamu (3), mkazi wa Kijiji cha Kamala, Kata...

 

11 years ago

GPL

KAMA MWANAO MZIMA MSHUKURU MUNGU...MTOTO HUYU ANA MATESO MIAKA 11

Stori: makongoro oging’
“MAISHA yangu tangu tuoane na mume wangu yalikuwa mazuri tena yenye mapenzi ndani ya nyumba lakini tatizo limekuja kujitokeza pale nilipomzaa mtoto huyu Maimuna. Mtoto Maimuna aliyezaliwa miaka 11 iliyopita katika Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga akiwa na matatizo ya kichwa kujaa maji. “Sikumuona tena mume wangu au kujua alikoelekea, sipati hata salamu kwa simu, barua hata kwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Nataka ubunge wa taifa, nisaidie wanawake na watoto — Magabe

WITO wa wanawake kujitokeza kuwania nafasi mbali mbali za kisiasa nchini, umeitikiwa kwa kiwango cha kutosha, kwa wanawake wengi kujitokeza kuwania nafasi mbali mbali katika vyama vya siasa nchini.

Mmoja wa wanawake hao walioitika wito huo wa kuwania nafasi hizo ni Flora Magabe, anayewania ubunge wa viti maalum kupitia Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Kwa mujibu wa Flora, nafasi hiyo ni kama kundi la kifo kwa sababu ya uchache wa nafasi zinazowaniwa kuwa  mbili  tu...

 

5 years ago

Michuzi

SHEIKH KIPOOZEO AIKUMBUSHA JAMII KUWA NA HOFU YA MUNGU, AGUSIA UMUHIMU WA MAZIWA YA MAMA KULINDA AFYA YA MTOTO


Na Khadija Seif, Michuzi tv

SHEIKH Hillal Shaweji maarufu kwa jina la Sheikh Kipozeo amewaomba wazazi na walezi kuwa na hofu ya Mungu kwa lengo la kuimarisha na kuendesha familia zao katika misingi ya kiucha Mungu.

Akizungumza jijini Dar es Salaam Sheikh Kipozeo amesema wazazi na walezi wakiwa na misingi ya dini na hofu ya Mungu familia huwa na amani kubwa n kuishi maisha yenye furaha na kumpendeza Mwenyezi Mungu.

Sheikh Kipoozeo amefafanu wakati nwingine watoto wanakumbwa na mikasa mingi ya...

 

10 years ago

GPL

SHOGA, KULA NANASI KWAHITAJI NAFASI EEH!

Najua nikisema sana nitao nekana nina mdomo wakati kila kiumbe kina mdomo, lakini kwa vile kuwapasha ndiyo hobi yangu acha niwachane live simuogopi mtu. Kwa mtindo huu wanawake wachache watabakia katika ndoa zao.
Nikisema nachonga sana, sasa sijui nachonga sturi au meza, hivi kweli wewe mwanamke unamwacha mumeo hata kucha au kunyoa mpaka nyumba ndogo? Aaah sipendi miye, hebu mtunze mumeo apendeze huyo anayetaka kukuibia akose...

 

10 years ago

CloudsFM

WASTARA ACHAGULIWA KUWA BALOZI WA KAMPENI YA ‘NISAIDIE MIMI SHILINGI 500 NIPATE ELIMU’

Msanii wa Bongo Movie,Wastara Juma ameteuliwa kuwa balozi wa kampeni YA ‘Nisaidie mimi Shilingi 500 nipate elimu’’ambayo inalenga kuwasaidia watoto wa kike ambao wameshindwa kuendelea na masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo kukosa ada ambapo kampeni hiyo itaanzia katika mkoa wa Morogoro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani