MTOTO: EEH MUNGU NISAIDIE
![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6rgbhnfcXlBBbe1FXokcV7UJrSO2*ZloJHcQ7FiSjqWeoZLrx94lzexfkFa66ltjKbVwZbwn4CfhPKaSx7Ig7GX/msaidieni.jpg)
Stori: Maria Halimoja na Rhoda Josiah “Eeh Mungu sikia kilio changu unisaidie!†Ndivyo alivyoanza kusimulia mtoto Salum Kassim (16), mkazi wa Kilimahewa-Tandika, Dar, ambaye ameteseka kwa muda wa miaka minne (siku 1440) akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo. Mtoto Salum Kassim akiwa na maumivu makali ya kuvimba tumbo yaliyosababiswa na ugonjwa wa moyo. Akizungumza kwa maumivu makali na wanahabari wetu nyumbani kwao...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D-1gN84Q*a9pe8D6Y4-tccGfAdEJclINgIfhUYoANVczSZNNy0*uX3TjokZAzAy0z3Z25sgEUgmsDSPyPLJvVlo/Mtotoi.gif?width=650)
MTOTO ATESEKA, ASEMA: ‘WA KUNIOKOA NI MUNGU TU’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwJPaxQ43zv*u8PCj6Qv0Sj14YbEnHhBscx1s2s-t8v7Qnjl2wa47VkDcRr4RiDi4gJAjex5jW3U5gKhg5dhPS24/f.jpg?width=650)
MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU! AJALI YA KONTENA MAFINGA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykWcai-4ApDDfDt8G3RQmnY04TPdMEcrXS2sT9zPqzI9Bu793A8AU029NG*gGBZ0VIQmVbRzFG-JNoDACwytnp1c/Maajabu.jpg?width=650)
HAYA NDIYO MAAJABU YAKE MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnV5uSvU5PzrcXqmcagXSe9xMTxb7HHyISeoNQIs0DGg768X2ki*VpMy4Wd4xUIVnwHSjRTa2iWuFxgYpA-Hb2Ww/watoto.jpg)
KAMA WEWE UMEJIFUNGUA SALAMA, MTOTO WAKO NI MZIMA MSHUKURU MUNGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm-2NuhU0L6FUhTrjGugFc*PaN0AvjAvvbBLphxfYeoXzBsmm95eCB*MiK-rZV-Shbu9N3h73iwKPP2rxJlxBnXe/MTOTO...jpg)
KAMA MWANAO MZIMA MSHUKURU MUNGU...MTOTO HUYU ANA MATESO MIAKA 11
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Nataka ubunge wa taifa, nisaidie wanawake na watoto — Magabe
WITO wa wanawake kujitokeza kuwania nafasi mbali mbali za kisiasa nchini, umeitikiwa kwa kiwango cha kutosha, kwa wanawake wengi kujitokeza kuwania nafasi mbali mbali katika vyama vya siasa nchini.
Mmoja wa wanawake hao walioitika wito huo wa kuwania nafasi hizo ni Flora Magabe, anayewania ubunge wa viti maalum kupitia Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kwa mujibu wa Flora, nafasi hiyo ni kama kundi la kifo kwa sababu ya uchache wa nafasi zinazowaniwa kuwa mbili tu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h9rCRLVIv1Y/Xs9ZDM2IQTI/AAAAAAALrzs/_-UQ2mHi5zk-tDtlqIkjlPu-KDJhJqtsACLcBGAsYHQ/s72-c/InShot_20200527_161214388.jpg)
SHEIKH KIPOOZEO AIKUMBUSHA JAMII KUWA NA HOFU YA MUNGU, AGUSIA UMUHIMU WA MAZIWA YA MAMA KULINDA AFYA YA MTOTO
Na Khadija Seif, Michuzi tv
SHEIKH Hillal Shaweji maarufu kwa jina la Sheikh Kipozeo amewaomba wazazi na walezi kuwa na hofu ya Mungu kwa lengo la kuimarisha na kuendesha familia zao katika misingi ya kiucha Mungu.
Akizungumza jijini Dar es Salaam Sheikh Kipozeo amesema wazazi na walezi wakiwa na misingi ya dini na hofu ya Mungu familia huwa na amani kubwa n kuishi maisha yenye furaha na kumpendeza Mwenyezi Mungu.
Sheikh Kipoozeo amefafanu wakati nwingine watoto wanakumbwa na mikasa mingi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo42nkv9s0yCbUHXRCycQ2oUoUwvwYkGUuojcmrsBLeAhGom5*MlITnA7b550pDEvZyWwNgUUh1E0ODOIQZQc2A2/tinayamout2087284713768672.jpg?width=650)
SHOGA, KULA NANASI KWAHITAJI NAFASI EEH!
10 years ago
CloudsFM30 Jan
WASTARA ACHAGULIWA KUWA BALOZI WA KAMPENI YA ‘NISAIDIE MIMI SHILINGI 500 NIPATE ELIMU’