Nataka ubunge wa taifa, nisaidie wanawake na watoto — Magabe
WITO wa wanawake kujitokeza kuwania nafasi mbali mbali za kisiasa nchini, umeitikiwa kwa kiwango cha kutosha, kwa wanawake wengi kujitokeza kuwania nafasi mbali mbali katika vyama vya siasa nchini.
Mmoja wa wanawake hao walioitika wito huo wa kuwania nafasi hizo ni Flora Magabe, anayewania ubunge wa viti maalum kupitia Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kwa mujibu wa Flora, nafasi hiyo ni kama kundi la kifo kwa sababu ya uchache wa nafasi zinazowaniwa kuwa mbili tu...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziHOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI DAR ES SALAAM WANAWAKE 12 WAPATA WATOTO MKESHA WA KRISMAS
Afisa Muuguzi Msaidizi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam Mwanne Satara akimsaidia kumuelekeza Lulu Mohamed namna ya kumfunika nguo Mtoto aliyezaliwa usiku wa kuamkia Krismas Dar es Salaam ambapo akinamama 12 walipata watoto na Mmoja wa akinamama hao alipata mapacha 2 na kufanya watoto wa kiume kufikia 6 na wakike 7, kati yao akinamama waliofanyiwa upasuaji ni akinamama 10 na kati ya hao watoto njiti 2 na Hospitali ya Temeke akina mama waliojifungua hospitalini hapo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6rgbhnfcXlBBbe1FXokcV7UJrSO2*ZloJHcQ7FiSjqWeoZLrx94lzexfkFa66ltjKbVwZbwn4CfhPKaSx7Ig7GX/msaidieni.jpg)
MTOTO: EEH MUNGU NISAIDIE
10 years ago
Habarileo06 Jun
‘Wanawake jitokezeni nafasi za ubunge, urais’
MTANDAO wa Wanawake na Katiba nchini, umewataka wanawake nchini kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za kisiasa hasa za ubunge na urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
10 years ago
VijimamboWANAWAKE WAGOMBEA WAWEKA MIKAKATI YA KUSHINDA UDIWANI NA UBUNGE 2015
Kwa Mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, Idadi ya Watanzania sasa imefikia milioni 44.9 huku wanawake wakiwa ni asilimia 51.3 ilihali wanaume ni asilimia 48.7. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 inabainisha kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni ya kidemokrasia, ya kidunia ambayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5P3glV8CNgs/XqFf-O7YprI/AAAAAAALn8s/rhM6Q8XG1ecXIMGdVEa2NRvafqcMrDwRwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0010.jpg)
UWT BAGAMOYO YAWATAKA WANAWAKE KUTHUBUTU KUGOMBEA UDIWANI,UBUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-5P3glV8CNgs/XqFf-O7YprI/AAAAAAALn8s/rhM6Q8XG1ecXIMGdVEa2NRvafqcMrDwRwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200422-WA0010.jpg)
Katibu wa UWT Bagamoyo, Hanifa Checheta aliyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM)wilayani hapo, ambapo alisema wakati mchakato wa uchaguzi ngazi za Udiwani, Ubunge ukiwadi ,wanawake wajitokeze kuwania...
10 years ago
CloudsFM30 Jan
WASTARA ACHAGULIWA KUWA BALOZI WA KAMPENI YA ‘NISAIDIE MIMI SHILINGI 500 NIPATE ELIMU’
10 years ago
Dewji Blog31 May
DC Mhita awahamasisha wanawake Mufindi kugombea nafasi za Udiwani, Ubunge na Uraisi
![](http://3.bp.blogspot.com/-IX900rs5XnY/VWnT1J_wx8I/AAAAAAAB9Y4/plxeS1RrqTc/s640/DSC_0263.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uANnM64RMMY/VWnSOHczWtI/AAAAAAAB9YI/KV9kPhAU4dc/s640/DSC_0242.jpg)
11 years ago
BBCSwahili17 Dec
Wanawake na watoto wauawa DRC
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Idadi ya watoto, wanawake inatisha
SENSA ya Idadi ya Watu nchini iliyofanyika 2012 imeonyesha kuwa idadi ya watoto ni kubwa kuliko makundi mengine. Aidha, takwimu za sensa hiyo zinaonyesha kuwa wanawake ni wengi zaidi kwa...