Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO WA TUMBO KUJAA, DALILI NJEMA

KATIKA Gazeti la Risasi Jumamosi la Juni 28, mwaka huu ukurasa wa 16 kulikuwa na habari yenye kichwa; EE MUNGU NISAIDIE. Habari hiyo ilimhusu mtoto Salum Kassim wa miaka 16 anayesumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa maji na kulifanya kuwa kubwa sana huku madaktari wakisema chanzo ni hitilafu kwenye moyo. Salum Kassim anayesumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa maji. Baada ya maelezo ya mtoto huyo kuhusu ugonjwa huo mbaya na maisha duni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAHUSIANO KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MUUNGURUMO-2

Naendelea kuelezea kati ya uhusiano wa tumbo kujaa gesi na miungurumo  
inayotokea tumboni nk.
Kuna ile hali ya mtu kutokujisikia kufanya kitu chochote, yaani kulala inakuwa ni ngumu kwake, kukaa anapata tabu sana, akienda kwenye kazi zake anakua mzito.
Wakati huohuo, anaandamwa na kukosa choo kwa muda mrefu nayo ni dalili kubwa sana ya tatizo linaloitwa constipation kitaalamu.

Dalili nyingine kubwa inakuwa ni...

 

10 years ago

GPL

MAHUSIANO KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MUUNGURUMO-3

Wiki iliyopita tuliweza kujibu swali ambalo lilikuwa na utata kwa watu wengi na tukaona kwamba mtu anayepatwa na tatizo hili la kuunguruma kwa tumbo, tumbo kujaa gesi kwamba siyo dhaifu kwenye tendo la ndoa tu bali hata kwenye kufanya mambo mengine pia wanakumbwa na udhaifu. MADHARA YA TATIZO HILI {CONSTIPATION}
Basi leo tutayaona madhara makubwa ambayo yanawakuta watu wanaopatwa na tatizo kama hili na wanakuwa hawachukui hatua...

 

10 years ago

GPL

JE, KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MIUNGURUMO KWA MWANAUME KATIKA TENDO LA NDOA?

Watu wengi wamekuwa wakiwasiliana nasi wakihusisha haya mambo mawili hasa wanaume pasipo kujua kama yanahusiana kwa ukaribu au laa. Na kwa maana hiyo, leo watu wengi wataweza kujua uhusiano wa haya mambo mawili yaani miungurumo ya tumbo, tumbo kujaa gesi na miungurumo ya hapa na pale katika kushiriki tendo la ndoa au kupungukiwa na nguvu katika kushiriki tendo la ndoa. Tatizo hili kitaalamu huitwa constipation, yaani mtu kuwa na...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli: Naona dalili njema kushinda urais

MGOMBEA wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema ameona dalili njema ya ushindi kwani kabla ya kupiga kura yake jana mjini Chato, mvua ilianza kunyesha. Dk Magufuli alisema hayo jana muda mfupi baada ya kumaliza kupiga kura yake katika Shule ya Msingi ya Magufuli wilaya ya Chato Mkoa wa Geita.

 

10 years ago

Dewji Blog

Modewji blog inakutakia furaha njema ya siku ya Ijumaa kuu leo na Pasaka njema

165548_472294617863_703227863_5902108_5247941_n

Zainul A. Mzige, Operation Manager, MODEWJI BLOG, www.modewjiblog.com +255714940992. IMG_20150320_171213 Andrew Chale, Online Editor, Chief Reporter, MO BLOG, www.modewjiblog.com +255719076376

Msomaji wa Modewji blog leo ni siku ya Ijumaa kuu  mtandao huu unaungana  na wakristo wote Duniani katika kuadhimisha siku hii pamoja na sikukuu ya Pasaka.

Mtandao huu unawatakia Sikukuu njema, sherehe njema na tuiadhimishe kwa amani.

Modewji blog pia inapenda kuwakumbusha wazazi kuwa waangalifu na watoto wadogo...

 

10 years ago

Mwananchi

Kukua au kujaa matiti kwa mwanaume

Kwa kawaida mwanaume ameumbwa kuwa na matiti madogo, ugonjwa wa wanaume kuwa na matiti makubwa kama wanawake huleta usumbufu hasa wa kisaikologia kwa mwanume husika.

 

9 years ago

Bongo5

Hermy B na Pancho kumleta Mwana FA na ‘Asanteni Kwa Kuja’

12298952_951039554970796_1769017982_n

Mwana FA na Hermy B wakikutana hawajawahi kumiss zaidi ya kuhit!

12298952_951039554970796_1769017982_n

Uzikumbuka ‘Habari Ndio Hiyo’, ‘Bado Nipo Nipo’, ‘Naongea Na Wewe’, ‘Msiache Kuongea’ , ‘Naona Nazeeka Sasa’ na ‘Nangoja Ageuke?’ Hizi zote zilipigwa nwa Hermy B kwenye studio za B’Hits na sasa wawili hao wanakuletea ‘Asanteni Kwa Kuja.’

FA ambaye amekuwa kimya tangu aachie ‘Kiboko Yangu’ aliyomshirikisha Alikiba, anavunja ukimya kwa ngoma hiyo yenye kila dalili za kuja kuwa gumzo kama zilivyo ngoma zake nyingi.

Hermy B...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani