MTOTO WA TUMBO KUJAA, DALILI NJEMA
![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRb7Duq7*GKwMVxKlGwnsAuuTFzfiUsDX0MXZn*WOJQhcuzqRxs6ObvEQk5wyIuzFupW5VRhE9DxKiMSKWj05nxg/MTOTO.jpg?width=650)
KATIKA Gazeti la Risasi Jumamosi la Juni 28, mwaka huu ukurasa wa 16 kulikuwa na habari yenye kichwa; EE MUNGU NISAIDIE. Habari hiyo ilimhusu mtoto Salum Kassim wa miaka 16 anayesumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa maji na kulifanya kuwa kubwa sana huku madaktari wakisema chanzo ni hitilafu kwenye moyo. Salum Kassim anayesumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa maji. Baada ya maelezo ya mtoto huyo kuhusu ugonjwa huo mbaya na maisha duni...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7t2*peuA5656VfvVTs0bDaQg28Ehor6kq-TEH3e0*QHepOA4QXi6saFw8XPy7oxtjSaRN3CsH-sTz*oVYximz4S/constipation.jpg?width=650)
MAHUSIANO KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MUUNGURUMO-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGjkObauo**XT5UMZQaLKP*MfFukm8lTwEpOetN3N87yLrhEVPQkhMUxKVHbQiMJo2aPn6*atDm0S1GwD2hGvpdt/GasinStomach.jpg?width=650)
MAHUSIANO KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MUUNGURUMO-3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu1olEQnFCxY12prQNbX0YywIHvVfi0JwNL-Xk7sDQEDIoRXs6nguE5NeKrdoENctxzSbHVQ9UaNNgfPbsbxVyAl/constipation530x450.jpg?width=650)
JE, KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MIUNGURUMO KWA MWANAUME KATIKA TENDO LA NDOA?
9 years ago
Habarileo26 Oct
Magufuli: Naona dalili njema kushinda urais
MGOMBEA wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema ameona dalili njema ya ushindi kwani kabla ya kupiga kura yake jana mjini Chato, mvua ilianza kunyesha. Dk Magufuli alisema hayo jana muda mfupi baada ya kumaliza kupiga kura yake katika Shule ya Msingi ya Magufuli wilaya ya Chato Mkoa wa Geita.
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Modewji blog inakutakia furaha njema ya siku ya Ijumaa kuu leo na Pasaka njema
![IMG_20150320_171213](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_20150320_171213-e1428037954863.jpg)
Msomaji wa Modewji blog leo ni siku ya Ijumaa kuu mtandao huu unaungana na wakristo wote Duniani katika kuadhimisha siku hii pamoja na sikukuu ya Pasaka.
Mtandao huu unawatakia Sikukuu njema, sherehe njema na tuiadhimishe kwa amani.
Modewji blog pia inapenda kuwakumbusha wazazi kuwa waangalifu na watoto wadogo...
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Kukua au kujaa matiti kwa mwanaume
9 years ago
Bongo501 Dec
Hermy B na Pancho kumleta Mwana FA na ‘Asanteni Kwa Kuja’
![12298952_951039554970796_1769017982_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12298952_951039554970796_1769017982_n1-300x194.jpg)
Mwana FA na Hermy B wakikutana hawajawahi kumiss zaidi ya kuhit!
Uzikumbuka ‘Habari Ndio Hiyo’, ‘Bado Nipo Nipo’, ‘Naongea Na Wewe’, ‘Msiache Kuongea’ , ‘Naona Nazeeka Sasa’ na ‘Nangoja Ageuke?’ Hizi zote zilipigwa nwa Hermy B kwenye studio za B’Hits na sasa wawili hao wanakuletea ‘Asanteni Kwa Kuja.’
FA ambaye amekuwa kimya tangu aachie ‘Kiboko Yangu’ aliyomshirikisha Alikiba, anavunja ukimya kwa ngoma hiyo yenye kila dalili za kuja kuwa gumzo kama zilivyo ngoma zake nyingi.
Hermy B...
9 years ago
GPL30 Sep
9 years ago
GPL30 Sep