Mtungi wa gesi waua mtu Mwanza
MTU amekufa na wengine wawili kujeruhiwa baada ya mtungi wa gesi ya kuchomelea kupasuka, ambapo marehemu alikatika vipande vipande.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gavqRnO2s0M/U_9JgrVrNxI/AAAAAAAGMMI/2-TAVkjnfV0/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Vodacom na Oilcom wazindua promosheni ya Jishindie mtungi wa gesi
Akiongea wakati wa uzinduzi wa promosheni hii leo katika kituo cha Oilcom cha mtaa wa Libya jijini Dar es Salaam ,Meneja Uhusiano wa Masuala ya Nje wa Vodacom Salum Mwalim,alisema kuwa promosheni hii imewalenga watumiaji...
9 years ago
BBCSwahili12 Sep
Mlipuko wa gesi waua 25 India
10 years ago
Habarileo31 Oct
Umeme waua mtu akijengea kaburi
MKAZI wa Iringa, Leonora Kisumbi (44) amekufa huku watu wengine watatu wakijeruhiwa baada ya kuangukiwa na nyaya ya umeme mkubwa wa kilovoti 33 wakati wakijengea kaburi la ndugu yao.
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Watanzania washauriwa kuitumia neema ya gesi kupeleka hifadhi ya jamii kwa kila mtu
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,na Mwenyekiti wa mkutano mkubwa wa kimataifa wa hifadhi ya jamii ulioandaliwa na serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha, Mh. Aggrey Mwanri, akiendesha shughuli za mkutano huo uliomalizika hivi karibuni katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha Arusha (AICC).(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu, Arusha
MTAALAMU mmoja wa masuala ya uchumi anayefanyakazi na Shirika la Maendeleo la Umoja wa...
11 years ago
GPL![](https://3.bp.blogspot.com/-nDU7duA_2L4/Uxh343a0lhI/AAAAAAAAIfA/2oc_KA-pYgI/s640/DSC057491.jpg?width=640)
JIKO LA GESI LATEKETEZA NYUMBA MISUNGWI MWANZA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-24CsRujhlCw/VS5FUbKMsqI/AAAAAAAHRRQ/S_vFcJGnXP4/s72-c/IMG-20150415-WA0045.jpg)
NEWZZ ALERT;MTU MMOJA APOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI YA BASI LA JORDAN KUPINDUKA NZEGA,LIKITOKEA JIJINI MWANZA KWENDA ARUSHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-24CsRujhlCw/VS5FUbKMsqI/AAAAAAAHRRQ/S_vFcJGnXP4/s1600/IMG-20150415-WA0045.jpg)
Mtu mmoja amefariki dunia huku wengine 25 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la Jordan lenye usajili wa namba T 650 AQZ lililokuwa likitokea jijini Mwanza kwenda mkoani Arusha na kupinduka leo wilayani Nzega,Tabora.Mpaka sasa chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-tXAyhsmhNUE/VS5FTTHjAsI/AAAAAAAHRRE/KnSSu-YP4kM/s1600/IMG-20150415-WA0039.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qi1DswkaKC0/VS5FS0wPhwI/AAAAAAAHRQ8/0h7X2lFpg1A/s1600/IMG-20150415-WA0040.jpg)
9 years ago
StarTV21 Aug
Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa
Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.
Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.
Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7l-wHj5OnnlF5cRYGvWkpSl4m9PC1BWWJURUBuG7NCe3C-dWORDwz6afU38SaEyBzCNWgziybt560lUa1j5zMqi/MYGODZ.jpg)
MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU
9 years ago
Bongo522 Oct
Music: Mtu Chee Ft Jux,Deddy — Mtu Tatu