Vodacom na Oilcom wazindua promosheni ya Jishindie mtungi wa gesi
![](http://1.bp.blogspot.com/-gavqRnO2s0M/U_9JgrVrNxI/AAAAAAAGMMI/2-TAVkjnfV0/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na kampuni ya Oilcom imezindua promosheni ya jishindie mtungi wa gesi, ambapo wateja wa Vodacom watakaojaza mafuta kwa huduma ya M-pesa kwenye vituo vya kampuni ya mafuta ya Oil Com watajishindia mtungi wa gesi.
Akiongea wakati wa uzinduzi wa promosheni hii leo katika kituo cha Oilcom cha mtaa wa Libya jijini Dar es Salaam ,Meneja Uhusiano wa Masuala ya Nje wa Vodacom Salum Mwalim,alisema kuwa promosheni hii imewalenga watumiaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Vodacom, Oilcom yazindua promosheni ya gesi
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu, Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na kampuni ya kusambaza na kuuza mafuta ya vyombo vya moto ya Oilcom imezindua promosheni ya jishindie ‘mtungi wa gesi’, itakayowahusu...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
BE FORWARD yakabidhi gari Toyota IST kwa mshindi jijini Arusha katika Promosheni ya Jishindie IST
Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Be Forward Geoffrey Mibaz akimkabidhi mshindi ambaye ni Mwalimu wa Shule ya St. Jude Mkoani Arusha aliyeambatana na familia yake, Rasul Mngazija gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12 katika promosheni ya jishindie IST iliyofanyika jana jijini Arusha iliyoendeshwa na kampuni ya uuzaji magari ya Be Forward Tawi la Tanzania
Muonekano wa Gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12
Mshindi Rasul Mngazija akiwa na mkewe...
11 years ago
Habarileo27 May
Mtungi wa gesi waua mtu Mwanza
MTU amekufa na wengine wawili kujeruhiwa baada ya mtungi wa gesi ya kuchomelea kupasuka, ambapo marehemu alikatika vipande vipande.
9 years ago
Michuzi07 Dec
KAMPUNI YA BE FORWARD YAKABIDHI GARI AINA YA TOYOTA IST KWA MSHINDI JIJINI ARUSHA KATIKA PROMOSHENI YA JISHINDIE IST
![DSC00871](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00871.jpg?w=627)
![DSC00877](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00877.jpg?w=627)
![DSC00875](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00875.jpg?w=627)
11 years ago
Habarileo20 Feb
Vodacom yajumuika na washindi wa promosheni
KAMPUNI ya Mawasiliano ya Simu za Mkononi ya Vodacom imejumuika na washindi wake 48 wa iliyokuwa Promosheni ya Timka na Bodaboda, iliyodumu kwa miezi mitatu kutoka Oktoba mwaka jana hadi Januari mwaka huu, huku ikijivunia kuboresha maisha ya mamia ya Watanzania.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DeeXia6f41ooexBeEQZN9HRVk6yH4zV6famhl*91Fg4Hk8T00*eJsEoo0p8jomEwz-vYTiMsT0M7jdJ6iHxbYfE/004.JAY.jpg)
WATEJA WA VODACOM CHANGAMKIA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUnW9lHsdForG07*60qLRT7Rx2VmU0y9udUDlK6mT90Ng2ZtLVPMPEU0CXAC2zf4ZyreeodXXnQfDy5nmU43NoE5/001.JAY.jpg)
VODACOM YAZINDUA PROMOSHENI YA SHILINGI BILIONI 30
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zq4OuGuA3Oo/VGnUogUPR_I/AAAAAAAGxxw/Tp9bPnVGcvk/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
Vodacom yaja na promosheni ya “shinda na kabumbu”
Promosheni hii ambayo itadumu kwa kipindi cha mwezi mmoja kuanzia leo itawafanya wapenzi wa soka kuchemsha bongo kujibu maswali mbalimbali kuhusiana na ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara,Ligi kuu ya Uingereza,na masuala mengine mengi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-50IjcHtOrHI/VMjS8ZDYGhI/AAAAAAAG_5M/7AxLpoVDP8g/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
MJASIRIAMALI AJISHINDIA MILION 10 ZA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS YA VODACOM
![](http://4.bp.blogspot.com/-50IjcHtOrHI/VMjS8ZDYGhI/AAAAAAAG_5M/7AxLpoVDP8g/s1600/unnamed%2B(3).jpg)