Vodacom yajumuika na washindi wa promosheni
KAMPUNI ya Mawasiliano ya Simu za Mkononi ya Vodacom imejumuika na washindi wake 48 wa iliyokuwa Promosheni ya Timka na Bodaboda, iliyodumu kwa miezi mitatu kutoka Oktoba mwaka jana hadi Januari mwaka huu, huku ikijivunia kuboresha maisha ya mamia ya Watanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M2TSHk5HcyY/VHWpbe7cXRI/AAAAAAAGzgk/RS6QHyAMjTs/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Washindi 62 wamejinyakulia zawadi mbalimbali kupitia promosheni ya “shinda na kabumbu” ya Vodacom
Jumla ya washindi 62 mpaka sasa wamejishindia zawadi ya shilingi 50,000 kila mmoja na wateja wawili wakubwa wa wiki wamejishindia 1,000,000 kila mmoja katika droo ya kwanza na ya pili ya promosheni ya “SHINDA NA KABUMBU” iliyozinduliwa hivi karibuni ikiwa inawalenga wapenzi wa soka.
Washindi wa shilingi 1,000,000/-katika droo ya kwanza ni Salome Mayoba mkazi wa Kahama,na mshindi wa droo ya pili ni na Raymond Mwegoha mkazi wa Dar es Salaam ambapo washindi wa shilingi 50,000/- wametangazwa...
Washindi wa shilingi 1,000,000/-katika droo ya kwanza ni Salome Mayoba mkazi wa Kahama,na mshindi wa droo ya pili ni na Raymond Mwegoha mkazi wa Dar es Salaam ambapo washindi wa shilingi 50,000/- wametangazwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0Foy6BawwqRJcsxXpQJnmlz229U6Eyugeok2GnjwZ1OhxTpLObr81C-jiOMWEKBa4Srg9-ipLysly6t82BsBaK3i/001.Droo.jpg?width=650)
WASHINDI 62 WAMEJINYAKULIA ZAWADI MBALIMBALI KUPITIA PROMOSHENI YA “SHINDA NA KABUMBU” YA VODACOM
Humudini Abdulhussen Ofisa Mwandamizi wa Bodi ya Kusimamia Michezo ya Kubahatisha Tanzania (kushoto) akihakiki moja ya namba za simu anazoonyeshwa kwenye kompyuta mpakato na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (katikati) na Ofisa Masoko wa kampuni hiyo Prestin Lyatonga (kulia) wakati wa droo ya pili ya shindano la “Shinda na Kabumbu†inayowawezesha wadau wa soka na wateja wa kampuni hiyo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Fqkt99pphmk/U6GXfRmIUgI/AAAAAAAFrg4/07Ga_CZvFJk/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Washindi Promosheni Shinda Ki-Brazil na Mwanaspoti wazawadiwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-Fqkt99pphmk/U6GXfRmIUgI/AAAAAAAFrg4/07Ga_CZvFJk/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fZI9omc0DSE/U6GXfoASiFI/AAAAAAAFrg8/0DDZfONP8pQ/s1600/unnamed+(19).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7STyVQmqq8/UvNHoclXtnI/AAAAAAACaMY/n08SUjy4gzs/s72-c/IMG_9278.jpg)
Washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa waipongeza Airtel
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7STyVQmqq8/UvNHoclXtnI/AAAAAAACaMY/n08SUjy4gzs/s1600/IMG_9278.jpg)
9 years ago
MichuziAIRTEL YAPATA WASHINDI WATANO WA PROMOSHENI YA JIONGEZE NA MSHIKO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UBgCJsDk9kU/VYCN3zmViKI/AAAAAAAHgLY/pP6fNiBroaU/s72-c/unnameBd.jpg)
Washindi wa Promosheni za Kilimanjaro washerehekea pamoja jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-UBgCJsDk9kU/VYCN3zmViKI/AAAAAAAHgLY/pP6fNiBroaU/s640/unnameBd.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OYROYfPsACQ/VFCqE7BLvAI/AAAAAAAGuAI/7ZuhV9XPvhg/s72-c/Untitleda.png)
NMB YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA WEKA NA USHINDE
BENKI ya NMB Jana ilikabidhii zawadi kwa washindi wa promosheni ya Weka na Ushinde. Zaidi ya wateja 165 walijishindia zawadi mbali mbali ikiwa ni: washindi 17 wa Bajaj, wa Pikipiki aina ya ‘Boxer’ 16 na Baiskeli aina ya ‘Phoenix’ 137.
Washindi hao wamepatikana ndani ya mwezi mmoja tangu kuanzishwa kwa promosheni hii ya Weka na Ushinde ambayo inaendelea hadi mwishoni mwa mwaka huu 2014.
Benki ya NMB inatoa wito kwa wananchi kwa ujumla kuchangamkia fursa kwa kushiriki kampeni ya Weka na...
Washindi hao wamepatikana ndani ya mwezi mmoja tangu kuanzishwa kwa promosheni hii ya Weka na Ushinde ambayo inaendelea hadi mwishoni mwa mwaka huu 2014.
Benki ya NMB inatoa wito kwa wananchi kwa ujumla kuchangamkia fursa kwa kushiriki kampeni ya Weka na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hQAa-B44Tt4/Va9ueM96eRI/AAAAAAAHq_w/JbGGLNdqXH0/s72-c/Picture%2B1jpg.jpg)
AIRTEL YATANGAZA WASHINDI WA KWANZA WA DROO YA PROMOSHENI YA "JIONGEZE NA MSHIKO"
![](http://1.bp.blogspot.com/-hQAa-B44Tt4/Va9ueM96eRI/AAAAAAAHq_w/JbGGLNdqXH0/s640/Picture%2B1jpg.jpg)
aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya wiki ya
promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel
kutoka mikoa ya Geita na Mtwara walipatikana akichukua taarifa za
mshindi (kushoto) ni mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha
bwana Humudi Abdul Hussein na Afisa huduma za ziada Airtel bwana
Fabian Felician.(kati) droo hii imechezwa leo katika makao makuu ya
Airtel Moroco jijini Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DrL3s2sIXkw/VbiJF89YhOI/AAAAAAAHsbQ/kHYYNZjjw7E/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Airtel Yatangaza Washindi wa Draw ya Pili ya Promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”
![](http://4.bp.blogspot.com/-DrL3s2sIXkw/VbiJF89YhOI/AAAAAAAHsbQ/kHYYNZjjw7E/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania