Washindi wa Promosheni za Kilimanjaro washerehekea pamoja jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-UBgCJsDk9kU/VYCN3zmViKI/AAAAAAAHgLY/pP6fNiBroaU/s72-c/unnameBd.jpg)
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, Pamela Kikuli (shoto) akizungumza jambo na Washindi wa Promosheni za Kilimanjaro kutoka mikoani walikuja Dar kula Bata wakati wa hafla ya Tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2015, Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Washindi wa Promosheni za Kilimanjaro kutoka mikoani walikula Bata jijini Dar es Salaam kushuhudia Tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2015, Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLPROMOSHENI YA GAZETI LA UWAZI JIJINI DAR YAFANYIKA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QWQKfb8WbxA/VLZMVjitkfI/AAAAAAAG9Tk/13_roWk2IUA/s72-c/005.JAY%2BUZINDUZI.jpg)
Promosheni ya Jaymillions yaanza kwa kishindo jijini dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-QWQKfb8WbxA/VLZMVjitkfI/AAAAAAAG9Tk/13_roWk2IUA/s1600/005.JAY%2BUZINDUZI.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qq0eEC3O2bw/VLZMV4whr0I/AAAAAAAG9To/_4Tud4ZkfT8/s1600/006.JAY%2BUZINDUZI.jpg)
11 years ago
Habarileo20 Feb
Vodacom yajumuika na washindi wa promosheni
KAMPUNI ya Mawasiliano ya Simu za Mkononi ya Vodacom imejumuika na washindi wake 48 wa iliyokuwa Promosheni ya Timka na Bodaboda, iliyodumu kwa miezi mitatu kutoka Oktoba mwaka jana hadi Januari mwaka huu, huku ikijivunia kuboresha maisha ya mamia ya Watanzania.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Fqkt99pphmk/U6GXfRmIUgI/AAAAAAAFrg4/07Ga_CZvFJk/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Washindi Promosheni Shinda Ki-Brazil na Mwanaspoti wazawadiwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-Fqkt99pphmk/U6GXfRmIUgI/AAAAAAAFrg4/07Ga_CZvFJk/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fZI9omc0DSE/U6GXfoASiFI/AAAAAAAFrg8/0DDZfONP8pQ/s1600/unnamed+(19).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7STyVQmqq8/UvNHoclXtnI/AAAAAAACaMY/n08SUjy4gzs/s72-c/IMG_9278.jpg)
Washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa waipongeza Airtel
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7STyVQmqq8/UvNHoclXtnI/AAAAAAACaMY/n08SUjy4gzs/s1600/IMG_9278.jpg)
10 years ago
VijimamboSUNDERLAND AFC NA SYMBION POWER WASHEREHEKEA UIDHINISHAJI WA UJENZI WA UWANJA MPYA WA MICHEZO YA UMMA JIJINI DAR-ES-SALAAM.
11 years ago
GPLDROO NDOGO YA PILI PROMOSHENI YA SHINDA MAHELA YAFANYIKA MABIBO JIJINI DAR
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Droo ya tatu ya promosheni ya “Jaza Mafuta na Ushinde†ya GAPCO yafanyika jijini Dar
Meneja wa Kanda ya Dar es Salaam wa kampuni ya GAPCO Tanzania, Jane Mwita (kati) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya tatu ya promosheni ya “Jaza Mafuta na Ushinde” inayoendeshwa na Kampuni hiyo kwa Wateja wake wa jijini Dar es Salaam,ambapo zaidi ya wateja 25 huibuka kidedea kila wiki. Kulia anaeshuhudia ni Mkaguzi wa michezo ya kubahatisha nchini, Chiku Saleh na Kushoto ni Meneja Masoko wa GAPCO Tanzania, Caroline Kakwezi.
9 years ago
MichuziAIRTEL YAPATA WASHINDI WATANO WA PROMOSHENI YA JIONGEZE NA MSHIKO