Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mugabe gives newly wed daughter $100,000, 55 head of cattle

>Zimbabwe’s President Robert Mugabe on Saturday gave his newly wed daughter and her husband $100,000 and 55 head of cattle as presents, it has emerged.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

VentureBeat

HQ Trivia returns with surprise $1,000 show and $100,000 donation

HQ Trivia returns with surprise $1,000 show and $100,000 donation  VentureBeatOnetime hit app HQ Trivia resurrected by anonymous investor  MarketWatchHQ Trivia is actually back for real, just when we need it most  MashableHQ Trivia is back less than two months after the app was shut down  The VergeHQ Trivia Returns Thanks to Anonymous Investor  The Wall Street JournalView Full coverage on Google News

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kumlipa Wilshere £100,000

Arsenal itapuuzilia mbali hamu ya Manchester City ya kutaka kumsajili kiungo wake wa kati Jack Wilshere kwa kumpatia mkataba mwengine wa miaka mitano pamoja na kuongeza mshahara wake mara mbili ya anavyopata.

 

9 years ago

Mtanzania

Kadi za kura zauzwa 100,000/-

voter*Wanaume wadaiwa kuiba za wake zao

 

NA ARODIA PETER, DAR ES SALAAM

ZIKIWA zimebaki siku 14 kabla ya Watanzania kupiga kura, baadhi ya watu katika Kisiwa cha Goziba wilayani Muleba mkoani Kagera wanadaiwa kununua vitambulisho vya kupigia kura vilivyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Wakazi wa kisiwa hicho walipiga simu katika gazeti la MTANZANIA wakimtuhumu mmoja wa wagombea udiwani wa Kata ya Goziba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Masaba Nkunami, kuwa ndiye kinara wa ununuzi huo...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Vyeti vilivyopotea kulipiwa sh. 100,000


NA RACHEL KYALA
BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limeanzisha utaratibu wa kutoa nakala za vyeti kwa watahiniwa waliopoteza vyeti vyao kwa gharama ya sh. 100,000.
Utaratibu huo utawanufaisha watahiniwa waliohitimu kuanzia mwaka 2008, ambao vyeti vyao viliwekwa picha.
Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde, akizungumza jijini Dar es Salaam jana, alisema hatua hiyo itapunguza changamoto zilizokuwa zikiwakabili watahiniwa waliopoteza vyeti vyao kwa sababu mbalimbali.
"Baraza limeweka...

 

11 years ago

Habarileo

Kanisa lauza Sakramenti Sh 100,000

WAUMINI wa Kanisa la Break Through Assemblies lililoko eneo la Boko Magengeni nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam linadaiwa kuuza Sakramenti kwa Sh 100,000 kwa kila muumini. Hatua hiyo inadaiwa kuwanyima wasio na fedha chakula hicho cha Bwana hivyo kusababisha malalamiko dhidi ya uongozi wa Kanisa hilo la Walokole.

 

11 years ago

TheCitizen

UTT clocks 100,000 investors

The Unit Trust of Tanzania (UTT) – a government institution that manages collective investment schemes – clocked more than 100,000 investors at the end of 2013, a senior officer has said.

 

11 years ago

Habarileo

Wajawazito 100,000 wanufaika na mradi wa NHIF

MRADI wa huduma za afya kwa akinamama wajawazito wasio na uwezo na watoto, unaotekelezwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na Benki ya Maendeleo ya Watu wa Ujerumani (KfW), umevuka lengo kwa asilimia 155 kwa kuwanufaisha wajawazito 109,184 hadi sasa.

 

11 years ago

Habarileo

Wacheza bao Mlandege wapewa 100,000/-

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Iringa Mjini, Mahamudu Madenge ametoa mchango wa Sh 100,000 kwa kikundi cha wacheza bao wa Mlandege. Kikundi hicho chenye wanachama 154, kina Sh 264,000 benki. Fedha hiyo inatokana na mchango wa Sh 1,000 unaotolewa kwa mwezi na kila mwanachama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani