Muhando, Mwaitege kuimba amani
WAIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili wanaotambulika zaidi Afrika Mashariki na Kati, Rose Muhando na Bonny Mwaitege wanatarajia kuzindua albamu zao mpya katika Tamasha la Amani linalotarajia kufanyika Oktoba 4, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-7PJ85noR32U%2FVIQaYXaSK9I%2FAAAAAAAAYdY%2F0UXMvsQJAr0%2Fs1600%2F10844541_783456441702507_707133171_o.jpg&container=blogger&gadget=a&rew)
ROSE MUHANDO, BONNY MWAITEGE NA GASTON SAPULA WATINGA OFISI ZA RADIO KASIBANTE
Msanii wa muziki wa Injili, Bonny Mwaitege (kulia) akisalimia na Mtangazaji  wa Radio Kasibante Mwl. Joyce Ruboz mapema leo katika kipindi cha Gospal Flava cha Kasibante FM 88.5.
Mtumishi wa Mungu na muimbaji wa nyimbo za Injili, Rose Muhando akiwa kwenye studio za radio Kasibante FM 88.5 akionekana mwingi wa furaha wakati akihojiwa na mtangazaji (hayupo pichani) wa kipindi cha Gospal… ...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/VIBt_u8-KOQ/default.jpg)
9 years ago
Bongo517 Aug
Video: Ommy Dimpoz, Eddy Kenzo na Amani waungana kuimba wimbo wa Les Wanyika ‘Sina Makosa’
Weekend iliyopita Ommy Dimpoz alisafiri hadi jijini Kampala, Uganda, kuungana na mshindi wa tuzo za BET, Eddy Kenzo kwenye tamasha lake kubwa lililopewa jina la ‘Mbilo Mbilo Concert.’ Ommy alitumbuiza nyimbo zake kadhaa ukiwemo Baadaye ambao alisikika akiwaambisha waganda. Ommy akiwa na Eddy Kenzo Baadaye Eddy Kenzo, Amani na Ommy Dimpoz walipanda jukwaani pamoja kutumbuiza […]
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani
Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi02 Aug
Mwaitege kuwashika mashabiki
Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili nchini, Boniface Mwaitege amesema shughuli ya uzinduzi wa albamu zake tatu inayotarajiwa kufanyika leo jijini Dar es Salaam itaambatana na matukio kadhaa kwa ajili ya hadhara.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xqwm29SMuQA/VZF7qzE9KKI/AAAAAAAC72o/6PgaYxgIuRM/s72-c/68408-2.jpg)
Kigoma wataka uzinduzi wa Mwaitege
![](http://1.bp.blogspot.com/-xqwm29SMuQA/VZF7qzE9KKI/AAAAAAAC72o/6PgaYxgIuRM/s640/68408-2.jpg)
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama amepokea maombi mengi kwa wakazi wa mkoa huo wakihitaji uzinduzi huo ufanyike mkoani kwao.
“Nimepokea maombi ya wakazi wa Kigoma wakihitaji uzinduzi wa muimbaji nguli, Bonny Mwaitege ambaye anatarajia kuzindua albamu tatu,” alisema Msama.
Msama alisema mbali ya Kigoma mikoa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2EJLpT64Zi8/VZVMD2UCcaI/AAAAAAAC8HE/I0XpW_yOf14/s72-c/Upendo%2BNkone.jpg)
Upendo Nkone kumsindikiza Bonny Mwaitege
![](http://1.bp.blogspot.com/-2EJLpT64Zi8/VZVMD2UCcaI/AAAAAAAC8HE/I0XpW_yOf14/s320/Upendo%2BNkone.jpg)
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama Nkone amekuwa wa kwanza na ameonesha nia ya kumsindikiza Mwaitege kwa sababu ya ubora wa uzinduzi huo. “Uzinduzi wa Mwaitege utakuwa ni wa aina yake kwa sababu maandalizi yake kwa yamefanywa kwa ustadi mkubwa hasa...
10 years ago
Vijimambo13 Nov
Soma Mwanangu song by Bony Mwaitege
![](https://1.bp.blogspot.com/-lhQIgojpo7w/VGQE8GYh6tI/AAAAAAADM-s/w3lKcUGiuPk/s640/mwaitege.jpg)
Song ; Soma MwananguArtist ; Bony Mwaitege feat Bahati BukukuProduced By KAMETAWritten By Boniface Mwaitege
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania