Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muhimu kuwa fikra chanya katika maisha

FIKRA chanya si kitu kipya katika maisha ya mwanadamu. Ni vema ukawa na fikra chanya katika vitu unavyovifanya kwa kuamini vinaweza kukuletea mabadiliko. Mwandishi maarufu Napoleon Hill katika kitabu chake...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Nguvu ya fikra chanya katika uhuru wa kifedha

CHANGAMOTO kubwa tuliyonayo kifedha ni kuwa na mtazamo hasi kuhusu fedha, tunafikiri zaidi kuhusu uhaba wa fedha kuliko utoshelezi. Kila binadamu ana chanzo cha pesa, haijalishi una kazi au huna...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fikra ikibadilika italeta mtazamo chanya

LEO tutajadiliana namna fikra inavyobadilisha mtazamo, pamoja na kuambiwa kuwa takriban bilioni moja ya watu wanaoishi duniani ni vijana na kwamba asilimia 85 ya vijana hao wanaishi katika nchi zinazoendelea...

 

9 years ago

Dewji Blog

Je! Kuna mategemeo chanya katika sekta ya utalii katika serikali ya awamu ya tano?

1x-1

Dr. John Pombe Magufuli, mshindi wa kiti cha Urais Tanzania.

Ni siku chache tu zimepita tangu  Jaji Mstaafu Damian Lubuva, mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza mgombea wa kiti cha Urais Dr.John Pombe Magufuli  kuwa ndiye mshindi aliyeongoza kwa kura za asilimia 58.46% ya jumla za kura halali katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2015.

Andrea Guzzoni Meneja mkazi wa JovagoTanzania, ametoa pongezi  katika kipindi kizima cha shughuli za uchaguzi ambapo Tume ya Uchaguzi na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Badili maisha kupitia fikra zako

WATAALAMU wa masuala ya saikologia wanasema zaidi ya asilimia 95 ya maisha yetu ni matokeo ya fikra zilizopo ndani yetu na asilimia 5 ni mazingira yanayotunguka na vitu vingine. Kutokana...

 

10 years ago

Mwananchi

JITAMBUE:Je unajua kuwa una haja ya kujifunza tabia mpya katika maisha yako?

Je unaweza kuandika orodha ya tabia zako zote? Kama unaweza kuziandika zitenge katika makundi mawili. Kundi moja liwe la zile ambazo zinakusaidia na zenye manufaa hata kwa watu wengine na kundi la pili ni zile ambazo hazina maana na hata zinawaudhi watu wengine. Kama utafanya zoezi hili kwa uaminifu huku ukiamini hakuna atakayeiona orodha yako kuna mambo mawili ambayo huenda ukafikiria kuyafanya.

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda: Nimeishia kuwa rais wa fikra

Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye alianguka katika hatua za awali za mbio za urais ndani ya CCM, amesema ameishia kuwa “rais wa fikra”.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus China : Watu 97 wapoteza maisha yao katika siku iliotajwa kuwa mbaya zaidi

Takriban watu 908 wamefariki nchini China - licha ya idadi mpya ya maambukizi kupungua

 

9 years ago

Dewji Blog

Je! Kuna mategemeo chanya kwenye sekta ya utalii katika serikali ya awamu ya tano?

1x-1

Dr. John Pombe Magufuli, mshindi wa kiti cha Urais Tanzania.

Ni siku chache tu zimepita tangu  Jaji Mstaafu Damian Lubuva, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza mgombea wa kiti cha Urais Dr.John Pombe Magufuli  kuwa ndiye mshindi aliyeongoza kwa kura za asilimia 58.46% ya jumla za kura halali katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2015.

Andrea Guzzoni Meneja mkazi wa JovagoTanzania, ametoa pongezi  katika kipindi kizima cha shughuli za uchaguzi ambapo Tume ya Uchaguzi na...

 

10 years ago

Vijimambo

IGEZO 7 MUHIMU KWA MWENZA SAHIHI WA MAISHA YAKO!

MARA nyingi tunapofikiria namna ya kumpata mwenza sahihi, huwa tunaangalia ishu ya kumpata yule mwenye mapenzi ya dhati lakini kumjua anayekupenda kwa dhati ni vigumu sana.

Ndiyo maana hapa chini nimekupa vigezo saba vya mtu anayekupenda kwa dhati na anafaa kuwa mwenza wako endapo mtakuwa tayari mmeshaanzisha uhusiano wa kawaida.

Mguso wa hisia
Hakika mapenzi ni mguso wa hisia, kwa maana hiyo kigezo kikuu cha kuzingatia kwa mtu anayestahili kuwa mwenzi wako wa ndoa ni vile ambavyo hisia zake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani