Pinda: Nimeishia kuwa rais wa fikra
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye alianguka katika hatua za awali za mbio za urais ndani ya CCM, amesema ameishia kuwa “rais wa fikraâ€.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo13 Oct
Pinda: Magufuli anafaa kuwa rais, mchagueni
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (CC-CCM) ambaye pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho (NEC), Mizengo Pinda amewaomba wananchi wamchague John Magufuli kwa kuwa ndiye anayefaa.
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Muhimu kuwa fikra chanya katika maisha
FIKRA chanya si kitu kipya katika maisha ya mwanadamu. Ni vema ukawa na fikra chanya katika vitu unavyovifanya kwa kuamini vinaweza kukuletea mabadiliko. Mwandishi maarufu Napoleon Hill katika kitabu chake...
10 years ago
Mwananchi12 Aug
FIKRA YA LIPUMBA: Rais ajaye ajifunze kutoka Rwanda
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QC_lS4nfodE/VUdp7VUnhwI/AAAAAAAHVMI/P1nCiOzNFwk/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Chifu Wanzagi akanusha taarifa zilizoandikwa kuwa Makongoro hatoshi kuwa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-QC_lS4nfodE/VUdp7VUnhwI/AAAAAAAHVMI/P1nCiOzNFwk/s640/unnamed%2B(1).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DbDSllT4TZk/XrLj7DKlQ8I/AAAAAAALpT8/m7fdCkUb_G4vWNPu9MYb3eLKzoXtfNyGwCLcBGAsYHQ/s72-c/Rais-Magufuli.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EhAyVT9CLPk/U4H2tQp3fDI/AAAAAAAFk8U/EqDsEkrTHYc/s72-c/images+(3).jpg)
PINDA: SERIKALI HAIWEZI KUWA NA DINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-EhAyVT9CLPk/U4H2tQp3fDI/AAAAAAAFk8U/EqDsEkrTHYc/s1600/images+(3).jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda (pichani) amesema Serikali itaendelea kusimamia msimamo wake wa kutokuwa na dini wala nchi kutokuwa na dini lakini itaendelea kuruhusu watu wawe na dini zao.
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumapili, Mei 25, 2014) kwenye ibada ya kumuweka wakfu Askofu Mteule Conrad Nguvumali wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Rukwa iliyofanyika kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, mjini Sumbawanga. Waziri Mkuu ambaye...
10 years ago
Mtanzania03 Oct
Samia anafaa kuwa mgombea mwenza — Pinda
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amempigia ‘debe’ Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samia Suluhu Hassan, kuwa ni mwanamke shupavu anayeweza kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015.
Akizungumza bungeni mjini Dodoma jana wakati wa kutoa shukrani, Pinda alisema Samia amepewa sifa kubwa kutokana na kazi nzuri aliyofanya ya kuliongoza Bunge hilo kwa uadilifu.
“Makamu mwenyekiti leo umepewa sifa kubwa, nimeambiwa...
10 years ago
Habarileo08 May
Anzisheni viwanda tusiendelee kuwa wachuuzi-Pinda
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amewataka Watanzania wenye uwezo wa kifedha waangalie uwezekano wa kuanzisha viwanda hapa nchini badala ya kuendelea kuwa wachuuzi wa kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi na kuziuza hapa nchini.
11 years ago
Habarileo21 Jan
Pinda aagiza halmashauri kuwa na miradi ya matofali
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameziagiza halmashauri zote nchini, kuingiza katika mipango yake mradi wa kuwawezesha vijana kufyatua matofali kwa teknolojia ya kisasa, uliobuniwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), ikiwa ni suluhu ya ajira na utunzaji wa mazingira.