Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muhongo: Wakili Mkono kalipwa na Tanesco Sh62.9 bil

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Kampuni ya Uwakili Mkono & Co. Advocates na Hunton & Williams ya Marekani imejiingizia Sh62.9 bilioni kwa ajili ya kuendesha kesi mbalimbali za Tanesco na IPTL hadi Septemba mwaka jana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Profesa Muhongo aibana TANESCO

Na Mohamed Saif
Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) limeagizwa kuhakikisha hadi kufikia tarehe 3 Januari 2016 liwe limekamilisha kufunga umeme kwenye Jengo la Ofisi za Serikali la Mpakani  mwa Tanzania na Rwanda (One Stop Border post) lililopo eneo la Rusumo wilayani Ngara.
Agizo hilo limetolewa jana na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alipofanya ziara kwenye Mpaka wa Tanzania na Rwanda kwa ajili ya kukagua maendeleo ya mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maji wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Muhongo kutimua wazembe Tanesco

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema ataanza kuwatimua wafanyakazi wazembe, wavivu na wasiokuwa na tija kwenye Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) katika muda wa siku 90 zijazo.

 

10 years ago

Mwananchi

Muhongo akemea rushwa Tanesco

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewataka wananchi wa vijiji vya wilayani hapa kutoa taarifa za mianya ya rushwa wakati wanapoomba kuunganishiwa umeme majumbani.

 

9 years ago

Habarileo

Wapongeza Muhongo kuibana Tanesco

WANANCHI wa kijiji cha Nyarukongora, kata ya Biharamulo Mjini, wamempongeza Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kwa namna anavyoshughulikia matatizo ya umeme nchini na kusema ni mfano wa kuigwa kwa viongozi wengine.

 

10 years ago

Mtanzania

Muhongo aitwisha mzigo Bodi ya Tanesco

Pg 3 jan.19Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amezindua rasmi Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kuipa vipaumbele vitano vya utekelezaji wa majukumu yake.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari mjini Dar es Salaam jana, ilisema uzinduzi wa bodi hiyo ulifanyika makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa wizara hiyo.
Alisema bodi hiyo ina jukumu kubwa la kuliongoza shirika hilo kwa ufanisi na...

 

9 years ago

TheCitizen

Muhongo tells Tanesco to sort out contracts

Shocked by frequent breakdown of power generators in Mwanza, minister for Energy and Minerals Prof Sospeter Muhongo yesterday summoned Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) officials who were involved in the purchase and installation of the machines for questioning.

 

9 years ago

Mtanzania

TANESCO wameshindwa kuzalisha umeme – Muhongo

muhongo_clipNA FLORENCE SANAWA, MTWARA

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limeshindwa kuzalisha umeme na kusababisha Kiwanda cha Saruji cha Dangote kukodi genereta 75 kutoka nchini China kwa ajili ya kuzalisha umeme wa megawati 42.

Akizungumza wakati wa majumuisho ya ziara yake ya siku moja mkoani hapa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, alisema shirika hilo limeshindwa na halina uwezo wa kuzalisha umeme wa megawati 45 zinazohitajika kwa uzalishaji kiwandani hapo.

“TANESCO wamekuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Nimeiachia Tanesco miradi ya kuondoa umasikini-Muhongo

Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema pamoja na kujiuzulu, ameiachia Shirika la Umeme (Tanesco), miradi ya kuongeza uzalishaji umeme, ambao ni muhimu katika kuifanya nchi kuwa ya kipato cha kati miaka kumi ijayo.

 

9 years ago

StarTV

Waziri Muhongo atoa siku saba kwa TANESCO

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter  Muhongo  ametoa siku saba kwa  shirika la ugavi wa Umeme nchini TANESCO kuunganisha umeme katika kituo cha ushuru wa forodha kilichopo kwenye mpaka wa Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania ambacho kimekuwa kikitegemea umeme kutoka nchini jirani ya Rwanda.

Waziri Muhongo ametoa maagizo hayo baada ya kupata taarifa kutoka kwa Maafisa wa forodha wa kituo hicho ambao wamemuelezea changamoto ya mara kwa mara ya  ukosefu wa umeme...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani