Mukoba: Uwiano wa kiuchumi ni mkubwa
RAIS wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba, amesema pamoja na uchumi kuonekana umekua, bado uwiano kati ya wenye nacho na wasiokuwa nacho ni mkubwa. Mukoba alitoa kauli hiyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Kd07uVIHkcw/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gc1eMcwTRSw/U2Nb54ZnPLI/AAAAAAAFe3I/tOs9qpcOP6c/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Scandnavia yaongoza, uwiano wa kijinsia
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Uwiano ni muhimu Baraza la Mawaziri
SIKU chache zilizopita, nilikuwa na mjadala mrefu na mmoja wa mawaziri wa serikali ya Rais John M
Ezekiel Kamwaga
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Wazanzibari wataka uwiano Bunge la Katiba
9 years ago
IPPmedia31 Aug
TTU president Gratian Mukoba
IPPmedia
IPPmedia
The Tanzania Local Government Workers Union (TALGWU) has given the government 21 days to clear 18b/- it owes its members. The new demand has been given a week after the Tanzania Teachers Union (TTU) also required the government to pay its ...
11 years ago
Mtanzania07 Aug
Mukoba rais mpya Tucta
![Gratian Mukoba, rais mpya wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Gratian-Mukoba.jpg)
Gratian Mukoba, rais mpya wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
RAIS wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba, amewabwaga ameshinda nafasi ya rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).
Mukoba alipata kura 172 huku mpinzani wake wa karibu, Mbaraka Igangula, akipata kura 110 na Peter Omollo alipata kura 68 wakati mwanahabari Dismas Lyasa aliambulia kura tano.
Hata hivyo, uchaguzi huo ulitawaliwa na mizengwe miongoni wa...
11 years ago
Habarileo07 Aug
Mukoba awa Rais mpya Tucta
MKUTANO Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), umemchagua Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Gratian Mukoba, kuwa Rais wa shirikisho hilo katika uchaguzi uliokwenda raundi mbili, baada ya raundi ya kwanza kukosa mshindi.
11 years ago
Habarileo03 Jun
TSN na Gratian Mukoba wafikia maridhiano
RAIS wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba amefikia makubaliano na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), kuondoa kesi ya madai mahakamani na kuimaliza kwa njia ya maridhiano.