Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TSN na Gratian Mukoba wafikia maridhiano

RAIS wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba amefikia makubaliano na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), kuondoa kesi ya madai mahakamani na kuimaliza kwa njia ya maridhiano.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

IPPmedia

TTU president Gratian Mukoba


IPPmedia
TTU president Gratian Mukoba
IPPmedia
The Tanzania Local Government Workers Union (TALGWU) has given the government 21 days to clear 18b/- it owes its members. The new demand has been given a week after the Tanzania Teachers Union (TTU) also required the government to pay its ...

 

9 years ago

Vijimambo

TANGAZO BWANA GRATIAN EMMANUEL NSHEKANABO ANATAFUTWA NA MJOMBA WAKE.

Mr. Edward Ntoroma wa State House Tanzania, pamoja na Bi. Puwu Kagumsa wa Bukoba Tanzania wanamtafuta Ndugu yao Mr. Gratian Emmanuel Nshekanabo, Mr. Gratian alikuwa anaishi Miami. FL na kazi alikuwa anafanyia kwenye address hii 3101 Lorna Rd Apt 1322 Birmingham. Mr Gratian hajawahi kuwasiliana na familia yake kwa muda mrefu sasa hadi wamepatwa na wasiwasi. Yeyoye mwenye kujua taarifa ya  Mr. Gratian anaombwa amwambie anatafutwa na familia yake na anaweza kuwasiliana nao kwa #...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mukoba: Uwiano wa kiuchumi ni mkubwa

RAIS wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba, amesema pamoja na uchumi kuonekana umekua, bado uwiano kati ya wenye nacho na wasiokuwa nacho ni mkubwa. Mukoba alitoa kauli hiyo...

 

11 years ago

Mtanzania

Mukoba rais mpya Tucta

Gratian Mukoba, rais mpya wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).

Gratian Mukoba, rais mpya wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).

Na Ramadhan Hassan, Dodoma

RAIS wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba, amewabwaga ameshinda nafasi ya rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).

Mukoba alipata kura 172 huku mpinzani wake wa karibu, Mbaraka Igangula, akipata kura 110 na Peter Omollo alipata kura 68 wakati mwanahabari Dismas Lyasa aliambulia kura tano.

Hata hivyo, uchaguzi huo ulitawaliwa na mizengwe  miongoni wa...

 

10 years ago

Habarileo

Mukoba achaguliwa tena Rais wa CWT

WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wamemrudisha madarakani rais wake, Gratian Mukoba na wasaidizi wake, hivyo kuwafanya waendelee kuwa madarakani hadi mwaka 2020.

 

11 years ago

Habarileo

Mukoba awa Rais mpya Tucta

Gratian MukobaMKUTANO Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), umemchagua Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Gratian Mukoba, kuwa Rais wa shirikisho hilo katika uchaguzi uliokwenda raundi mbili, baada ya raundi ya kwanza kukosa mshindi.

 

11 years ago

Daily News

Nderumaki picked new TSN ME


Daily News
Nderumaki picked new TSN ME
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Mr Gabriel Nderumaki Managing Editor of Tanzania Standard (Newspapers) Limited (TSN). A statement from the Directorate of Presidential Communications yesterday quoted the Chief Secretary, Ambassador ...

 

10 years ago

Habarileo

Tuma ateuliwa DME wa TSN

Tuma Abdallah BODI ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) inayochapisha Daily News, Sunday News, HabariLEO, HabariLEO Jumapili na SpotiLEO, imemteua Mhariri wa Daily News, Tuma Abdallah (50) kuwa Naibu Mhariri Mtendaji wa magazeti ya serikali.

 

11 years ago

Habarileo

Nderumaki Mhariri Mtendaji TSN

RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Gabriel Nderumaki, kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), wachapishaji wa magazeti ya Habari Leo, Habari Leo Jumapili, Spoti Leo, Daily News na Sunday News.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani