TTU president Gratian Mukoba
IPPmediaTTU president Gratian Mukoba
IPPmedia
The Tanzania Local Government Workers Union (TALGWU) has given the government 21 days to clear 18b/- it owes its members. The new demand has been given a week after the Tanzania Teachers Union (TTU) also required the government to pay its ...
IPPmedia
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 Jun
TSN na Gratian Mukoba wafikia maridhiano
RAIS wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba amefikia makubaliano na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), kuondoa kesi ya madai mahakamani na kuimaliza kwa njia ya maridhiano.
9 years ago
Vijimambo30 Sep
TANGAZO BWANA GRATIAN EMMANUEL NSHEKANABO ANATAFUTWA NA MJOMBA WAKE.
11 years ago
Mtanzania07 Aug
Mukoba rais mpya Tucta
![Gratian Mukoba, rais mpya wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Gratian-Mukoba.jpg)
Gratian Mukoba, rais mpya wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
RAIS wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba, amewabwaga ameshinda nafasi ya rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).
Mukoba alipata kura 172 huku mpinzani wake wa karibu, Mbaraka Igangula, akipata kura 110 na Peter Omollo alipata kura 68 wakati mwanahabari Dismas Lyasa aliambulia kura tano.
Hata hivyo, uchaguzi huo ulitawaliwa na mizengwe miongoni wa...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Mukoba: Uwiano wa kiuchumi ni mkubwa
RAIS wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba, amesema pamoja na uchumi kuonekana umekua, bado uwiano kati ya wenye nacho na wasiokuwa nacho ni mkubwa. Mukoba alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Habarileo02 Jun
Mukoba achaguliwa tena Rais wa CWT
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wamemrudisha madarakani rais wake, Gratian Mukoba na wasaidizi wake, hivyo kuwafanya waendelee kuwa madarakani hadi mwaka 2020.
10 years ago
TheCitizen26 Oct
TTU against pay cuts to build labs
11 years ago
Habarileo07 Aug
Mukoba awa Rais mpya Tucta
MKUTANO Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), umemchagua Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Gratian Mukoba, kuwa Rais wa shirikisho hilo katika uchaguzi uliokwenda raundi mbili, baada ya raundi ya kwanza kukosa mshindi.
11 years ago
IPPmedia19 May
TTU Assistant Secretary General, Ezekiel Oluoch
IPPmedia
IPPmedia
The Tanzania Teachers Union (TTU) has blamed the ministry of Education and Vocational Training for poor record keeping which has denied promotion to over 2,000 inspectors and trainers for 26 years now. According to TTU, at least 2,450 inspectors and ...
10 years ago
IPPmedia27 Oct
TTU against deducting teachers' salaries for school laboratories
IPPmedia
IPPmedia
The Teachers Trade Union (TTU) Mwanza branch has disaproved a statement made recently by Mwanza Regional Commissioner, Evarist Ndikilo regarding teachers' mandatory contribution to the construction of school laboratories, attributing the order to a ...