Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Musician Banza Stone dies after long illness

>Veteran dance musician Ramadhan Masanja aka Banza Stone, 42 (pictured) was yesterday afternoon pronounced dead at his family home in Sinza Dar es Salaam after a long illness.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

Ugandan player dies after illness

Ugandan footballer Frank 'Majja' Lutalo passes away in hospital after reportedly feeling unwell for several months.

 

10 years ago

Vijimambo

BANZA STONE AMEFARIKI DUNIA


Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama ‘Banza stone’ amefariki dunia nyumbani kwao hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone

 

10 years ago

GPL

BANZA STONE KUOA KIMYAKIMYA

Stori: Gladness Mallya
MWANAMUZIKI wa bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza stone’ amefunguka kwamba ndoa yake itafanyika kimyakimya na hakuna msanii atakayeshiriki. Mwanamuziki wa bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza stone’. Akipiga stori na gazeti hili, Banza alisema ndoa yake haitakuwa na michango, kwani atamuita sheikh na watoto wa madrasa kwa ajili ya kupiga dufu, huku mama yake...

 

11 years ago

GPL

LINI BANZA STONE UTATUHURUMIA?

Mwanamuziki Ramadhani Masanja ‘Banza Stone’. RAMADHANI Masanja ‘Banza Stone’ ni mwanamuziki mkubwa wa muziki wa dansi la kileo. Dansi la kileo ninamaanisha hili linalopigwa na bendi zinazochombeza na sebene za Kikongo. Sina uhakika sana, lakini sidhani kama itakuwa sahihi kwa shabiki wa muziki huu, kumuondoa Le General katika Tatu Bora, kama ataamua kuwapanga mastaa wake kwa namba, kutokana na uwezo...

 

10 years ago

Michuzi

Safari ya Mwisho ya Mwanamuziki Banza Stone

Mamia ya Waumini wa Kiislam wakiwa wamebeba Jeneza lenye mwili wa Marehemu Ramadhan Masanja "Banza Stone" wakati wakiutoa mwili huo nyumbani kwao kuelekea Msikitini kwa kuswaliwa na kisha kwenda kuuhifandi  kwenye Makaburi ya Sinza, Jijini Dar es salaam alasiri hii.

 

10 years ago

GPL

BANZA STONE AZIKWA JIJINI DAR

Mamia ya Waumini wa Kiislam wakiwa wamebeba Jeneza lenye mwili wa Marehemu Ramadhan Masanja 'Banza Stone' wakati wakiutoa mwili huo nyumbani kwao kuelekea Msikitini kwa kuswaliwa na kisha kwenda kuuhifandi  kwenye Makaburi ya Sinza, Jijini Dar es salaam alasiri hii.

 

10 years ago

GPL

DAKTARI AANIKA UGONJWA WA BANZA STONE

Gladness Mallya/ijumaawikienda
Inasikitisha sana! Huku akitundikiwa dripu nyumbani kwao, Sinza ya Vatican jijini Dar, daktari ameanika ugonjwa unaomtesa staa wa muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ kuwa vipimo vinaonesha anashambuliwa na fangasi kichwani (ubongo) na shingoni. Staa wa muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’. YU HOI TENA
Habari zinaeleza kuwa tatizo...

 

10 years ago

GPL

BANZA STONE: UGONJWA HUU UTANIUA!

Issa Mnally na Gladness Mallya/ Ijumaa Wikienda
Maskini! Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ yu mgonjwa tena, safari hii ameibuka na kueleza maradhi ambayo yanamsumbua akisema: ‘Ugonjwa huu utaniua.” Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’. Awali Ijumaa Wikienda lilipokea taarifa juu ya kuumwa kwa Banza ambapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani