Musonye achekelea wingi wa mashabiki
KATIBU Mkuu wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), Nicholas Musonye, amefurahia wingi wa mashabiki waliojitokeza kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Hawassa kushuhudia michuano hiyo.
Kutokana na hilo, Musonye amewapongeza waandaaji wa mechi za mji wa Awassa, ambapo kwa hatua iliyobakia ya michuano hiyo yataendelea katika mji wa Addis Ababa na kujipa moyo yatamalizika kwa mafanikio makubwa.
“Nina furaha kubwa kwa namna mashabiki walivyojitokeza Hawassa na nina furaha kwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi28 Jan
DRFA yawataka mashabiki wa soka kujitokeza kwa wingi kuzishangilia timu za Dar
Leo (januari 28) kutakuwa na mchezo mmoja wa ligi kuu kwa timu ya Simba ya Dar es salaam dhidi ya Mbeya City ya Mbeya,mchezo ambao utakaopigwa katika uwanja wa taifa jijini.
Itakumbukwa kwamba katika mechi mbili za ligi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5acbN7yHIYc/U48OeV0gytI/AAAAAAAFnfc/_qx4F5-1s6E/s72-c/unnamed+(30).jpg)
CECAFA headed for better destiny-Musonye
![](http://1.bp.blogspot.com/-5acbN7yHIYc/U48OeV0gytI/AAAAAAAFnfc/_qx4F5-1s6E/s1600/unnamed+(30).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1ZQNaYXojJamVvoz2rBWc1LFsHQE1AEkpy2L1lzV1Xg2g1E9AC3n5W0TciiRpi48nzFHDLGM3mMcbDnyktAL-8E/334W.jpg?width=650)
VAI ACHEKELEA KUACHIKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL9CT3H8RGuimrVg0EdB8w61M47OmTL9J7WJWlk5C8up4opYVdGQ2-19DFksraDB*oPB9N0KKElnYCsjh-3A8X8H/Jokate.jpg)
JOKATE ACHEKELEA KUMBWAGA LULU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*k9pHGBCHsmczMVeBhexX3lUax*VzJjAKNw3P9diig6ccTyQYDC9aj1XT3gMcI9mH3*qF8c1V1g9D99AeLQpwPT4mHiMuHLJ/IssabelaMpanda.jpg)
ISABELA ACHEKELEA ADHABU YA SHILOLE
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Shamsa achekelea mpenzi mpya
Staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford
Na Gladness Mallya
STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford ameonesha furaha yake ya kuumaliza mwaka kwa kumpata mpenzi mpya, ambaye hata hivyo, alikataa kutaja jina lake.
Akizungumza na gazeti hili juzikati, Shamsa alisema mwaka huu pia umeweka historia kwa yeye kuweza kutimiza mambo yote aliyojipangia tangu alipoachana na baba wa mtoto wake.
“Nafurahi sana namaliza mwaka nikiwa nimetimiza malengo pia kuwa na mpenzi mpya ambaye ni mume wangu mtarajiwa, ndani ya...
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Dk Magufuli achekelea makandarasi kuadhibiwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1asLTm0wi-tenlnzzeUS7p9hgx*I0YLXRol*NK1CqM4V*uG4uT1i463HKG6lVL1jc1kYr7tgdKuq2k1Q63Lfg4Yw4J87DKE6/WEMA.jpg)
WEMA ACHEKELEA KANDAMBILI ZA JOKATE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QeDzYL4Fy3sDIxlp9yPrkUlaVlF2XN90FFrRl0fpuWdXYZ3brhFx-VowzWs7NQHKFPd8WHA347JFiW1Kq48qouL/wastara.jpg?width=450)
WASTARA ACHEKELEA UBUYU, KULIKONI?