Muswada kulinda watoa taarifa wapitishwa
BUNGE limepitisha Muswada wa Sheria ya Kuwalinda watoa Taarifa za Uhalifu na Mashahidi wa mwaka 2005, kuhakikisha usiri wa wapokea taarifa na ushawishi kwa wenye taarifa za uhalifu mkubwa kama ugaidi na ubadhirifu wasikae kimya.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Mar
Muswada wa Sheria ya stakabadhi ghalani wapitishwa
MUSWADA wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Stakabadhi Ghalani wa mwaka 2014, umepitishwa rasmi na Bunge, huku Serikali ikiwahakikishia wananchi kuwa changamoto zote za usimamizi zinazohusu masuala ya stakabadhi ghalani, zitapatiwa ufumbuzi kupitia muswada huo.
11 years ago
Habarileo05 May
Maandalizi Muswada wa Sheria ya Haki ya Kupata Taarifa
SERIKALI imeshaanza maandalizi ya Muswada wa Sheria ya Haki ya Kupata Taarifa kutoka kwa taasisi za umma, ili kuongeza uwazi katika uendeshaji wa shughuli za Serikali. Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro, alisema hayo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, wakati akiwasilisha taarifa ya makadirio ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka ujao wa fedha, katika Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5NLdcW8kOh8/VYjojL-Jh0I/AAAAAAAHipk/nYxlHS2XEJY/s72-c/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
Watu wa marekani watoa dola Bilioni 30 kwa ajili ya Kulinda mazingira, Kukuza uhifadhi na Utalii nchini
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
9 years ago
Mtanzania22 Aug
Wagombea wanne wapitishwa urais
Aziza Masoud na Grace Shitundu, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeteua wagombea urais wanane kati ya 13 waliochukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
Idadi hiyo inataka kufanana na ile ya mwaka 2010 ambapo Tume hiyo iliteua wagombea saba kuwania nafasi hiyo.
Wagombea waliokidhi vigezo na kuteuliwa na NEC ni pamoja na Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na...
9 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WATOA TAARIFA YA UGONJWA WA KIPINDUPINDU
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Serikali yaandaa sheria kuwalinda watoa taarifa vitendo vya uhalifu-AG Masaju
![Mgeni rasmi wa hafla hiyo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu katika hafla ya wanahabari na wahariri waliohitimu mafunzo ya ubobezi katika kuandika habari za dawa za kulevya na uandishi wa habari za maendeleo ya malengo ya milenia wakiwa katika hafla ya kukabidhiwa vyeti.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0271.jpg)
Mgeni rasmi wa hafla hiyo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu katika hafla ya wanahabari na wahariri waliohitimu mafunzo ya ubobezi katika kuandika habari za dawa za kulevya na uandishi wa habari za maendeleo ya malengo ya milenia wakiwa katika hafla ya kukabidhiwa vyeti.
![Mwakilishi wa Mmoja wa Mataifa na Mkuu wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa Tanzania, Dk. Jama Gulaid (kulia) akimpongeza mmoja wa wanahabari kabla ya kupokea cheti chake katika hafla ya wanahabari na wahariri waliohitimu mafunzo ya ubobezi katika kuandika habari za dawa za kulevya na uandishi wa habari za maendeleo ya malengo ya milenia wakiwa katika hafla ya kukabidhiwa vyeti.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0280.jpg)
Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa na Mkuu wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa Tanzania (UNICEF), Dk. Jama Gulaid (kulia) akimpongeza mmoja wa wanahabari kabla ya...
10 years ago
Dewji Blog13 May
Jeshi la Polisi Usalama Barabarani watoa taarifa ya kusitisha suala la kusoma kwa madereva nchini
Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, DCP Mohammed R. Mpinga – DCP (kulia) akitoa maelezo ya kiutalaamu juu ya suala la kusoma kwa madereva ambalo kwa sasa suala hilo limesitishwa hadi hapo litakapokamilika kwa mchakato wake. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa madereva nchini, Clement Masanja. Taarifa hiyo aliitoa leo jijini katika ukumbi wa habari MAELEZO, jijini Dar es Salaam. (Picha na Andrew Chale wa Modewji blog).
TAARIFA KWA UMMA
Hivi karibuni nchi yetu...
10 years ago
Habarileo06 Jul
Muswada wa petroli wapita
WABUNGE jana walipitisha Muswada wa Sheria ya Petroli wa Mwaka 2015, ambao ni miongoni mwa miswaada ya sekta ya mafuta na gesi iliyokuwa ikipigiwa kelele na wabunge wa upinzani.