MUUMIN MWINYJUMA NA DOUBLE O WAANZA MAONYESHO MSUMBIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-KzvtkbnwCRE/Vf_RHcNpmJI/AAAAAAAAM38/OD9p6Khw7zQ/s72-c/IMG-20150920-WA0119.jpg)
KUNDI la Double M chini ya Muumin Mwinyjuma, limealikwa Msumbiji kwa mwezi mzima, na katika wakati huo kundi litashiriki katika sherehe za miaka 51 ya Vita vya Ukombozi wa nchi hiyo. Wanamuziki hawa ambao ni wanachama wa Mtandao wa Wanamuziki walipitisha barua yao ya taarifa ya kwenda huko na hivyo Mtandao ukatoa taarifa Baraza la sanaa La Taifa kama inavyostahili. Waliomo katika msafara huo ni pamoja na kiongozi wa kundi Muumin Mwinyjuma, maarufu kwa jina la KOCHA, na wanamuziki wengine...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cwYe_A5VCIM/U_2UeA_E5JI/AAAAAAAGCmY/geYd641wFNE/s72-c/IMG-20140827-WA0001.jpg)
Rais Armando Guebuze Wa Msumbiji afungua Maonyesho Biashara ya Kimataifa Mjinj Maputo,Tanzania yashiriki vyema
![](http://4.bp.blogspot.com/-cwYe_A5VCIM/U_2UeA_E5JI/AAAAAAAGCmY/geYd641wFNE/s1600/IMG-20140827-WA0001.jpg)
10 years ago
VijimamboRAIS WA MSUMBIJI ATEMBELEA CHUO CHA DIPLOMASIA, AFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA NA KUZUNGUMZA NA RAIA WA MSUMBIJI WAISHIO NCHINI
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akiwajadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia (CFR), Balozi Mwanaidi Maajar huku Mkuu wa Chuo hicho Balozi Mohammed Maundi akisiskiliza wakati viongozi hao wakisubiri kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi alipotembelea Chuoni hapo leo tarehe 18 Mei, 2015 wakati akiendelea na ziara yake ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini. Chuo cha Diplomasia kilichopo...
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Muumin ageuzia karata Taarabu
UKIZUNGUMZIA muziki wa dansi nchini huwezi kukwepa kulitaja jina la Muumin Mwinjuma, maarufu kama ‘Kocha wa Dunia’, ambaye alikuwa miongoni mwa wanamuziki wa kwanza kuupaisha muziki huo hapa nchini. Sauti...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhO7kv*IDFuXoizdaSVsptvebY3M1hhWorxf14iSnCc6DOF7t-GpU6RDNfI1C0IN8HqT8Y2tyO7fywDcmoTpnHOc/10327223_703600356344993_1579191149_n.jpg?width=650)
MSIKILIZE MUUMIN AKIZIKOSOA TUZO TATU ZA MUZIKI WA DANSI
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Choki, Muumin, Banza waacha gumzo Kanda ya Ziwa
WAKALI wa muziki wa dansi nchini, Extra Bongo Next Level ‘Wazee wa Kizigo’ wamerejea jijini Dar es Salaam kwa kishindo baada ya kuhitimisha ziara ya wiki moja katika mikoa ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/NuhxAqRpFvpQr*AhBBntJSlAORgZzhlqjSHK-oSM*xWlSQ9I8U9tRKNIfVwbRBish8r4FwVeKxSiju8lgUy2lkSxO*lPDQ3k/muumini1.jpg?width=492)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-g0G3VpEEBlY/UviyeFMUmxI/AAAAAAAFMGo/1ZcmQJ6Ni4A/s72-c/unnamed+(7).jpg)
maalim seif mgeni rasmi maulid yaliyoandaliwa na madrasat Muumin Islamiya ya Mwembeshauri.
9 years ago
VijimamboMASABURI ASEMA CHAGUA DOUBLE M