Muumin ageuzia karata Taarabu
UKIZUNGUMZIA muziki wa dansi nchini huwezi kukwepa kulitaja jina la Muumin Mwinjuma, maarufu kama ‘Kocha wa Dunia’, ambaye alikuwa miongoni mwa wanamuziki wa kwanza kuupaisha muziki huo hapa nchini. Sauti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-KzvtkbnwCRE/Vf_RHcNpmJI/AAAAAAAAM38/OD9p6Khw7zQ/s72-c/IMG-20150920-WA0119.jpg)
MUUMIN MWINYJUMA NA DOUBLE O WAANZA MAONYESHO MSUMBIJI
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Choki, Muumin, Banza waacha gumzo Kanda ya Ziwa
WAKALI wa muziki wa dansi nchini, Extra Bongo Next Level ‘Wazee wa Kizigo’ wamerejea jijini Dar es Salaam kwa kishindo baada ya kuhitimisha ziara ya wiki moja katika mikoa ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhO7kv*IDFuXoizdaSVsptvebY3M1hhWorxf14iSnCc6DOF7t-GpU6RDNfI1C0IN8HqT8Y2tyO7fywDcmoTpnHOc/10327223_703600356344993_1579191149_n.jpg?width=650)
MSIKILIZE MUUMIN AKIZIKOSOA TUZO TATU ZA MUZIKI WA DANSI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/NuhxAqRpFvpQr*AhBBntJSlAORgZzhlqjSHK-oSM*xWlSQ9I8U9tRKNIfVwbRBish8r4FwVeKxSiju8lgUy2lkSxO*lPDQ3k/muumini1.jpg?width=492)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-g0G3VpEEBlY/UviyeFMUmxI/AAAAAAAFMGo/1ZcmQJ6Ni4A/s72-c/unnamed+(7).jpg)
maalim seif mgeni rasmi maulid yaliyoandaliwa na madrasat Muumin Islamiya ya Mwembeshauri.
11 years ago
CloudsFM25 Jun
Diamond Platnumz aivamia Taarabu...
Star wa muziki wa Bongo Flava Diamond Platnumz ambae kwasasa anayo heshima kubwa kwenye Industry ya muziki, kutokana na muziki wake pamoja na kuingia kwenye tuzo za MTV MAMA na BET leo alikuwa kwenye kipindi cha LEO TENA cha Clouds Fm ameuongelea muziki wa Taarabu ambao pia anaweza kuuimba na alishawai kuomba na nafasi Jahazi Morden Taarab ya kuimba kabla hajawa
Diamond Platnumz....
Hii ni video clip inayomuonesha akiimba muziki wa taarabu....
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Shaa: Natamani kuimba taarabu
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Sara Kaisi ‘Shaa’ au ‘Malkia wa Uswazi’ amesema alitamani kuimba taarabu kabla ya kusambaza kazi yake ya ‘Sugua gaga’ ambayo inafanya vizuri katika...
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Taarabu ya ukumbini yakemewa Rwanda
10 years ago
Mtanzania07 May
Khadija Kopa: Viongozi wa taarabu wanyonyaji
NA THERESIA GASPER
MWIMBAJI wa muziki wa taarabu, Khadija Omari Kopa, ameweka wazi kwamba baadhi ya viongozi wa bendi za taarabu huwanyonya kimapato wasanii wao ndiyo maana wengi wao hawana afya nzuri.
Khadija Kopa alisema licha ya kutokuwa na afya nzuri, wengine hushindwa kujiendeleza kimuziki kutokana na namna wanavyobanwa na viongozi wao kwa kuwa wanahofia maendeleo ya wasanii wao yanaweza kusababisha wakahamia bendi nyingine.
“Viongozi wengi wananyonya wasanii wao hivyo...