Mv. Victoria yasimamishwa kwa matengenezo ya kina.
Na Maliganya Charahani,
Mwanza.
Wakazi wa mikoa ya Mwanza na Kagera watalazimika kutumia usafiri wa barabara kusafiri wao pamoja na mizigo yao kutokana na Serikali kusimamisha safari za meli ya Mv. Victoria ili ifanyiwe matengenezo makubwa kutokana na kuwa na hitilafu kwenye injini zake.
Meli ya Mv. Serengeti ambayo huchukua nafasi ya MV. Victoria nayo iko katika matengenezo ambayo yanaweza kuchukua zaidi ya mwezi na hivyo kutokuwepo kwa usafiri wowote kutoka Mwanza hadi Bukoba kupitia...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 May
Mafunzo kwa madereva yasimamishwa rasmi
JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limesema kuanza kwa mafunzo ya madereva ambao leseni zao zimekwisha muda wake kutategemea kukamilika kwa mitaala ya mafunzo hayo.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-F7Ur2bZFDkU/Vkmor0cA1zI/AAAAAAADCdQ/v0edDLu0Xoo/s72-c/IMG-20151116-WA0013.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s-8ruu6LP4c/U9CrZUBOHWI/AAAAAAAF5Y4/m39eUFbF6bA/s72-c/kigamboni.jpg)
MV KIGAMBONI KUSIMAMA KWA MATENGENEZO, MV MAGOGONI NA MV LAMI KUENDELEA NA HUDUMA
9 years ago
Habarileo30 Nov
Chelsea yasimamishwa na Spurs
KLABU ya Tottenham imeendeleza kutopoteza mchezo kwenye Ligi Kuu ya England, lakini ilikosa nafasi ya kujiweka nafasi ya nne kwenye msimamo baada ya kutoka sare ya bila kufungana na Chelsea.
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
MV Kigamboni kusimama kwa matengenezo, MV Magogoni na MV Lami zikiendelea kutoa huduma
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) anawatangazia wananchi wote kuwa kivuko cha MV. Kigamboni kinatarajiwa kwenda kwenye matengenezo makubwa wakati wowote kuanzia siku ya jana.
Hivyo huduma za uvushaji zitaendelea kwa kutumia vivuko vya MV. Magogoni pamoja na MV. Lami katika kipindi chote cha matengenezo husika.
Uongozi wa TEMESA unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakao jitokeza.
Imetolewa na Ofisi ya Mtendaji Mkuu
TEMESA. ...
10 years ago
MichuziTANGAZO LA KUZIMWA KWA MTAMBO WA MAJI RUVU CHINI KUTOKANA NA MATENGENEZO YA BOMBA KUBWA
SHIRIKA LA MAJI SAFI NA MAJITAKA DAR-ES-SALAAM (DAWASCO),LINAWATANGAZIA WAKAZI WA JIJI LA DAR-ES-SALAAM NA MJI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI KUWA, MTAMBO WA KUZALISHA MAJI WA RUVU CHINI UMEZIMWA KWA SAA 24 KUANZIA ASUBUHI YA TAREHE 01.03.2015.
KUZIMWA KWA MTAMBO WA RUVU CHINI KUMETOKANA NA MATENGENEZO YA BOMBA LA INCH 54 ENEO LA MATANKI YA CHUO KIKUU.
MATENGENEZO YANAENDELEA NA YANATARAJIA KUKAMILIKA BAADA YA SAA 24.
KWASABABU HIYO MAENEO YAFUATAYO YATAKOSA MAJI:MJI WA BAGAMOYO, VIJIJI VYA...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5up8SDctAAg/VMy9onUJkXI/AAAAAAAHAhY/tDxU4ahvl9k/s72-c/Untitled.png)
TAARIFA KUTOKA DAWASCO JUU KUENDELEA KWA MATENGENEZO KWENYE MTAMBO WA MAJI RUVU CHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-5up8SDctAAg/VMy9onUJkXI/AAAAAAAHAhY/tDxU4ahvl9k/s1600/Untitled.png)
HALI HII IMESABABISHA HUDUMA YA MAJI KUKOSEKANA KWENYE BAADHI YA MAENEO YA JIJI LA DAR ES SALAAM KUANZIA ALHAMISI 29/01/2015 KWASABABU HIYO MAENEO YAFUATAYO YAMEKOSA MAJI:
MJI WA...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LofQGOS0bCM/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Ni wakati wa kuihoji Serikali kwa kina