Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MVUA ZAKWAMISHA MAANDALIZI YA SIKUKUU YA XMAS JIJINI MWANZA

Mvua kubwa ikinyesha katika mitaa ya Jiji la Mwanza leo. Mvua ikiendelea kunyesha katika mitaa ya Jiji la Mwanza. MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SIKUKUU YA KRISMASI ILIVYOSHEREHEKEWA JIJINI MWANZA

Moja ya kivutio kikubwa kwa wakazi wa jiji la mwanza ambao walisherehekea Sikukuu ya Krimasi  ilikuwa ni kupiga picha pamoja na samaki huyu. Mamia ya wakazi wa jiji la mwanza wakipiga picha za kumbukumbu maeneo ya Samaki raund about ya katikati ya jiji la Mwanza.…

 

10 years ago

CloudsFM

MVUA ILIVYOLETA MAAFA JIJINI MWANZA

Hali halisi ilivyoonekana siku ya jana katika eneo la Mabatini jijini Mwanza mara baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko makubwa kwa baadadhi ya maeneo na viunga vya jiji. Hii ni barabara kuu inayounga mkoa wa Mwanza na Mara.Source: G SENGO

 

11 years ago

Michuzi

maandalizi ya tamasha la pasaka yakamilika,rebecca malope kutumbuiza jijini mwanza.

MKurugenzi wa Msama Promotions Ltd,ambao ndio waandaji wa tamasha la krismass na Pasaka,Bwa.Alex Msama amesema kuwa maandalizi ya tamasha la Pasaka linalotarajiwa kuanza kufanyika jijini Dar mnamo April,20 mwaka huu yamekamilika.


Aakizungumza na Waandishi wa habari jijini dar leo katika viwanja vya Karimjee,Msama amebainisha kuwa kila kitu kimekwishakamilika,wakiwemo wasanii mbalimbali watakaotumbuiza siku hiyo,aidha amesema kuwa pamoja na wanamuziki wa nyumbani kushiriki tamasha hilo,pia...

 

11 years ago

GPL

MAANDALIZI YA TAMASHA LA PASAKA YAKAMILIKA, REBECCA MALOPE KUTUMBUIZA JIJINI MWANZA

Mkurugenzi wa Msama Promotions Ltd, ambao ndio waandaji wa tamasha la Krismas na Pasaka, Bwa. Alex Msama akiongea na wanahabari katika Viwanja vya Karimjee, jijini…

 

10 years ago

GPL

MVUA KUBWA YASABABISHA MAFURIKO JIJINI MWANZA

Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji baada ya mvua kubwa kunyesha jijini Mwanza. Mvua kubwa imenyesha jijini Mwanza  kwa saa tatu na kusababisha mafuriko katika baadhi ya maeneo ya jiji hilo hasa sehemu za Mabatini na kusababisha nyumba nyingi kujaa maji. Mvua hiyo pia imesababisha hasara kubwa ya uharibifu wa mali huku…

 

10 years ago

GPL

MVUA ILIYONYESHA JIJINI MWANZA YASABABISHA MAFURIKO

Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji baada ya mafuriko hayo kutokea. Maji yakiwa yamefurika katika moja ya mtaa ya Jiji la Mwanza.…

 

11 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YAFANYA KWELI NDANI YA ESCAPE ONE SIKUKUU YA XMAS

Vijana wa Skylight Band wakionyesha manjonjo yao kwa mashabiki wa Band hiyo wakati wa sherehe za XMAS ndani ya fukwe za kiota cha Escape One walipotoa burudani ya kukata na shoka kwa mashabiki wao. Aneth Kushaba AK47 akifanya yake jukwaani huku akipewa back up na Joniko Flower, Winnie pamoja na Digna Mbepera.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani