Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWAKIFWAMBA AWATEMEA CHECHE WASANII

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba. Gladness mallya RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba amewatemea cheche wasanii na kuwataka kuachana na kuendekeza kupokea fedha za wanasiasa tu bila kutetea masilahi yao. Akistorisha na paparazi wetu, Mwakifwamba alisema kwa sasa tasnia ya filamu imekufa kabisa hivyo wasanii wanaopata nafasi ya kuzunguka na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Mwakifwamba Alia na Hali za Wasanii

RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba ameshikwa na huzuni akishuhudia maisha ya wasanii wa filamu yakishuka ghafla na kukosa msaada kutoka sehemu nyingine baada hali ya soko kushuka na baadhi ya wasanii kukosa sehemu ya kuuza kazi zao.

Tasnia ya filamu imeyumba sana sababu ya mfumo wa usambazaji ulivyo, maisha ya wasanii wetu yanasikitisha kwani lazima wauze haki zao za filamu ili wapate pesa, mnunuzi hanunui tena, tushukru kampeni hizi angalau wapo bussy,”...

 

9 years ago

Mtanzania

Mwakifwamba atoa onyo kali kwa wasanii

mwakiNA GEORGE KAYALA
RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi.

Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo

“Tunashukuru ugomvi umeisha, sioni sababu ya wasanii kurudia hiyo tabia ya kutupiana vijembe kwani...

 

9 years ago

Bongo Movies

TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA

tasnia

TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA

WASANII Wakongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood leo tarehe 16Th December, 2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari ya Maelezo wametoa tamko lao kuhusu kumtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba kugombea nafasi hiyo ambayo alitangaza kutoshiriki kugombea nafasi hiyo kwa kipindi kijacho uchaguzi huo mwezi huu 2015.

Baada ya salamu hizo kwenu tumekuja hapa kwa tukiwa na ya...

 

10 years ago

GPL

MWAKIFWAMBA AWABWATUKIA BONGO MOVIE

Na GLADNESS MALLYA RAIS wa Shirikisho la Filamu Bongo ‘TAFF,’ Simon Mwakifwamba amewabwatukia wasanii wanaodai  shirikisho hilo limeanguka baada ya baadhi yao kujiunga na Bongo Movie Unity. RAIS wa Shirikisho la Filamu Bongo ‘TAFF,’ Simon Mwakifwamba.
Akizungumza kwa hisia kali na gazeti hili, Mwakifwamba alisema, TAFF ni taasisi kubwa na ipo kwa ajili ya kushughulikia mambo yenye tija kwenye...

 

10 years ago

GPL

MWAKIFWAMBA: SASA NAACHIA NGAZI

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Saimon Mwakifwamba. Imelda Mtema, Zanzibar

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Saimon Mwakifwamba amefungua kinywa chake na kusema kuwa mwaka huu lazima aachie ngazi ili awapishe wengine waendeleze gurudumu. Akizungumza na gazeti hili juzi mjini hapa, Mwakifwamba alisema kuwa muda aliokaa madarakani unatosha hivyo ni vyema akawapisha wengine wenye vigezo vya kuongoza. ...Soma...

 

11 years ago

GPL

MWAKIFWAMBA AIANGUKIA GLOBAL PUBLISHERS

Stori: Joseph Shaluwa
RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba ameiomba radhi Kampuni ya Global Publishers Ltd inayochapisha magazeti ya Uwazi, Amani, Ijumaa, Risasi, Ijumaa Wikienda na Championi kwa maneno aliyowahi kuyatoa siku za nyuma kuhusu wasanii kuandamwa na magazeti hayo. Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba akiongea na wanahabari wa Global...

 

10 years ago

GPL

MWAKIFWAMBA KITANZINI, ATAKIWA KUACHIA NGAZI!

  HAMIDA HASSAN
KIBANO! Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (Taff), Simon Mwakifwamba amejikuta kwenye wakati mgumu kwenye mkutano mkuu wa mwaka uliofanyika kwenye ofisi za shirikisho zilizopo Kinondoni, Dar akitakiwa kuachia ngazi.
Habari kutoka kwa sosi aliyekuwa ndani ya kikao hicho zilinyetisha kwamba, wanachama wa shirikisho hilo walisema wamechoshwa na rais huyo na kwa sababu muda wake umekwisha, alitakiwa kuachia...

 

11 years ago

GPL

MWAKIFWAMBA AWAINGIZA CHAKA BONGO MUVI

Hamida Hassan na Gladness Mallya
WASANII wa sinema wanaounda Kundi la Bongo Muvi, wamemshutumu Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifwamba kwamba amewaingiza chaka katika uteuzi wa mjumbe anayewawakilisha katika Bunge la Katiba lililoanza juzi mjini Dodoma. Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifwamba. Wakizungumza katika kikao cha dharura kilichoitishwa ghafla Jumatatu iliyopita kwenye viwanja vya...

 

11 years ago

GPL

BONGO MUVI WAWATUMA WAZEE KWA MWAKIFWAMBA

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (Taff), Simon Mwakifwamba akifafanua jambo kwa wanahabari wa GPL. Stori: Hamida Hassan Uongozi wa Bongo Muvi Unity umewatuma wazee akiwemo Ahmed Ollotu ‘Mzee Chilo’ kwenda kwa Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (Taff), Simon Mwakifwamba kuhakikisha wanamaliza tofauti zao ili wawe kitu kimoja. Ahmed Ollotu ‘Mzee… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani