MWAKIFWAMBA AWATEMEA CHECHE WASANII
![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyU7NwLVBOpITiGUD-dtyWPqCRlLJedXFxkm6PXWv-bOOO8y2ClNRM4VIiYsDaoKOEsocDCHw33w2F48dXBr5GWx/SimonMwakifwamba.jpg?width=650)
Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba. Gladness mallya RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba amewatemea cheche wasanii na kuwataka kuachana na kuendekeza kupokea fedha za wanasiasa tu bila kutetea masilahi yao. Akistorisha na paparazi wetu, Mwakifwamba alisema kwa sasa tasnia ya filamu imekufa kabisa hivyo wasanii wanaopata nafasi ya kuzunguka na...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies25 Nov
Mwakifwamba Alia na Hali za Wasanii
RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba ameshikwa na huzuni akishuhudia maisha ya wasanii wa filamu yakishuka ghafla na kukosa msaada kutoka sehemu nyingine baada hali ya soko kushuka na baadhi ya wasanii kukosa sehemu ya kuuza kazi zao.
Tasnia ya filamu imeyumba sana sababu ya mfumo wa usambazaji ulivyo, maisha ya wasanii wetu yanasikitisha kwani lazima wauze haki zao za filamu ili wapate pesa, mnunuzi hanunui tena, tushukru kampeni hizi angalau wapo bussy,”...
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Mwakifwamba atoa onyo kali kwa wasanii
NA GEORGE KAYALA
RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi.
Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo
“Tunashukuru ugomvi umeisha, sioni sababu ya wasanii kurudia hiyo tabia ya kutupiana vijembe kwani...
9 years ago
Bongo Movies16 Dec
TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA
TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA
WASANII Wakongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood leo tarehe 16Th December, 2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari ya Maelezo wametoa tamko lao kuhusu kumtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba kugombea nafasi hiyo ambayo alitangaza kutoshiriki kugombea nafasi hiyo kwa kipindi kijacho uchaguzi huo mwezi huu 2015.
Baada ya salamu hizo kwenu tumekuja hapa kwa tukiwa na ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH5mkSrFQF1cA9SgocouS-7g9zPjE9IwrgI5QfaH-jPsBtEDKzNt7n0ur7J-5Xtelo7nVKPgsjnRUY4sdXLXm8ma/mwakifambwa.jpg)
MWAKIFWAMBA AWABWATUKIA BONGO MOVIE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mxr*kvxWuor9FykU1ax-jPWPGDd3sOTlIEdbLt6mNFv3ANZZZIYXbbOCwf*TYM8o9f2TjJNXJ1ERugkSeoshZTO/SimonMwakifwamba.jpg?width=650)
MWAKIFWAMBA: SASA NAACHIA NGAZI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA-AvSUWVVcv2dAWJMu1st2rC7AIhirnwS0lq0RB2c2i3K*TUBc-8acSaVKSsMyUe9iJHqzu0l4FyYFmjYf*gvyz/mwakifaaa.jpg?width=650)
MWAKIFWAMBA AIANGUKIA GLOBAL PUBLISHERS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ok30SVir64lYAJdkYKTe4qbA8vP4LrC7mCz54W059VCIAHfnv95KGDRSSIwPpS2B-udaedeWTLegRG*ebO2huXP9fDrGVS-e/4.jpg?width=650)
MWAKIFWAMBA KITANZINI, ATAKIWA KUACHIA NGAZI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aX2yEHaS8Jlkkib2dlblK1xE7sqeYspts0tsldj2yMdw2ng-D*lvzqAYdig*sW-HzD9taKpnhCse96Vbr-td3MNvngO0bHy4/mwakifambwa.jpg?width=650)
MWAKIFWAMBA AWAINGIZA CHAKA BONGO MUVI
11 years ago
GPLBONGO MUVI WAWATUMA WAZEE KWA MWAKIFWAMBA