Mwakifwamba Alia na Hali za Wasanii
RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba ameshikwa na huzuni akishuhudia maisha ya wasanii wa filamu yakishuka ghafla na kukosa msaada kutoka sehemu nyingine baada hali ya soko kushuka na baadhi ya wasanii kukosa sehemu ya kuuza kazi zao.
Tasnia ya filamu imeyumba sana sababu ya mfumo wa usambazaji ulivyo, maisha ya wasanii wetu yanasikitisha kwani lazima wauze haki zao za filamu ili wapate pesa, mnunuzi hanunui tena, tushukru kampeni hizi angalau wapo bussy,”...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MWAKIFWAMBA AWATEMEA CHECHE WASANII
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Mwakifwamba atoa onyo kali kwa wasanii
NA GEORGE KAYALA
RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi.
Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo
“Tunashukuru ugomvi umeisha, sioni sababu ya wasanii kurudia hiyo tabia ya kutupiana vijembe kwani...
9 years ago
Bongo Movies16 Dec
TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA
TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA
WASANII Wakongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood leo tarehe 16Th December, 2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari ya Maelezo wametoa tamko lao kuhusu kumtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba kugombea nafasi hiyo ambayo alitangaza kutoshiriki kugombea nafasi hiyo kwa kipindi kijacho uchaguzi huo mwezi huu 2015.
Baada ya salamu hizo kwenu tumekuja hapa kwa tukiwa na ya...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Profesa Jay alia wasanii wanavyoibiwa
MKALI wa hip hop nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, ameonyesha kuendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii, huku akidai mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa Jay kupitia ukurasa...
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Prof, Jay bado alia wizi kazi za wasanii
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, bado anaendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii huku akidai kwamba mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa...
10 years ago
Bongo519 Feb
Dully Sykes alia na wasanii waliomtenga kwenye msiba wa baba yake
10 years ago
Bongo527 Oct
Kampeni zimewaokoa wasanii wa filamu, wengi walikuwa na hali ngumu ya kiuchumi — Mwakifamba
11 years ago
GPL
WASANII WATAKAOTUMBUIZA TAMASHA LA FIESTA JIJINI TANGA WAMJULIA HALI MZEE NJENJE NYUMBANI KWAKE SAHARE
11 years ago
Michuzi
WASANII WATAKAOTUMBUIZA TAMASHA LA FIESTA 2014 JIONI YA LEO JIJINI TANGA WAMJULIA HALI MZEE NJENJE NYUMBANI KWAKE SAHARE.


Mzee Njenje amewaasa wasanii hao ambao amekiri wazi kuwa wanafanya vizuri katika anga ya muziki wao,kupata muda mwingi wa kupumzika ikiwemo na suala la kutoendekeza masualaua ya anasa kama vile ulevi,ngono na mengineyo ambayo huchangia...