Mwakilishi wa Waziri Chiza abanwa Mwanza
MKURUGENZI msaidizi wa Idara ya Pembejeo za Kilimo kutoka Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Canuth Komba, ameonja joto ya jiwe baada ya kuwekwa kitimoto na wadau wa kilimo cha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3d31H8i-xQqPjNe0DOE-qdPza2ujNCOBkjKvfJXujBzdj0OOT6T8CXwXK3Xf6IyfCIlYkHCJB922fMyaSVTOYZ2/BACKUWAZI.gif?width=650)
TAJIRI J4 MWANZA ABANWA
Na Waandishi Wetu, Mwanza
IKIWA ni takriban zaidi ya wiki moja imepita baada ya Mkurugenzi wa Mabasi ya J4 Express, Juma Mahende ‘J4†kudaiwa kuua kwa kuwapiga risasi wafanyabiashara wenzake wawili, kigogo huyo amebanwa na polisi kuhusiana na mauaji hayo. . ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1LzCfXx
10 years ago
VijimamboWAZIRI CHIZA AWASILI OFISI YA WAZIRI MKUU
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Waziri Chiza awawakia mawakala
>Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza, ametangaza kuwashughulikia mawakala wanaonunua mazao kwa wakulima kwa mali kauli, akidai kwamba ndio wanaochangia yeye kuitwa mzigo.
10 years ago
Mwananchi13 Dec
CAG akague Bodi ya Sukari- Waziri Chiza
Serikali imemwagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali kukagua Bodi ya Sukari ili kubaini kama kuna aliyehusika kutoa kibali cha kuagiza sukari kutoka nje kwa mwaka 2013/14.
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Waziri Chiza awahakikishia soko wakulima wa mpunga
>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza amewahakikishia wakulima wa mpunga wa bonde la Mto Kilombero na wengine nchini kuwatafutia soko lenye tija ndani na nje ya nchi ili kila mkulima wa zao hilo anufaike na kushawishi wengine.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-xDr2YplPBiI/VTiy5LdTXsI/AAAAAAABXj0/RNUhSgFoigU/s72-c/Picha%2B2%2BComoro.jpg)
WAZIRI CHIZA AHUDHURIA KONGAMANO LA BIASHARA COMORO
![](http://3.bp.blogspot.com/-xDr2YplPBiI/VTiy5LdTXsI/AAAAAAABXj0/RNUhSgFoigU/s1600/Picha%2B2%2BComoro.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-S6ZKV6JgOWc/VTiz3GKJJHI/AAAAAAABXkI/hqTMHpl76pc/s1600/PIcha%2BNo%2B1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5gkkJXbt_Ns/VBrFh2C9d4I/AAAAAAAGkOg/pdGH9nDkE6w/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
WAZIRI CHIZA ATEMBELEA SOKO LA MAHINDI NFRA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-5gkkJXbt_Ns/VBrFh2C9d4I/AAAAAAAGkOg/pdGH9nDkE6w/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_8DjDJ8S8xE/VBrFhwt3ttI/AAAAAAAGkOk/WvmclUQgaCA/s1600/unnamed%2B(73).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rjfzYTdEsHw/VBrFjYlZZfI/AAAAAAAGkOw/3LmtvHtCysg/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OwPBlT_ORVM/VTigDEeUPqI/AAAAAAAHSuc/LSwc8iM07SI/s72-c/unnamed%2B(97).jpg)
Waziri Chiza kuhudhuria kongamano Kubwa la Biashara Visiwa vya Comoro
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Mhe. Mhandisi Christopher Chiza (Mb) ahudhuria Kongamano Kubwa la Biashara kati ya Comoro na Tanzania, litakalofanyika tarehe 23 Aprili, 2015 Visiwani Comoro.
Lengo kuu la kongamano hilo ni “kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Comoro kwa kutambua fursa zilizopo kati ya nchi hizi mbili na kurasimisha biashara ambayo kwa sasa hairatibiwi”.
Kongamano hilo ambalo litawakutanisha viongozi, maafisa...
Lengo kuu la kongamano hilo ni “kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Comoro kwa kutambua fursa zilizopo kati ya nchi hizi mbili na kurasimisha biashara ambayo kwa sasa hairatibiwi”.
Kongamano hilo ambalo litawakutanisha viongozi, maafisa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9rRTOkRbvyg/VGIf_r1X-tI/AAAAAAAGwlg/LAI5UDbEwSc/s72-c/1....jpg)
UBADHIRIFU KATIKA TASINIA NDOGO YA TUMBAKU WAZIRI CHIZA AKABIDHI RIPOTI YA CAG
Na. Job Mika - WKCU
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Eng. Christopher Chiza (Mb) hivi karibuni alimkabidhi, Inspecta Jenerali wa Jeshi la Polisi (IGP) Ripoti ya ukaguzi katika Tasnia ya tumbaku, ili kubaini, ubadhirifu na waliosababisha ubadhirifu huo uliopelekea wakulima wa tumbaku kutoa malalamiko yao kwa serikali kutokana na hasara waliopata katika msimu wa kilimo wa 2012/2013.
Tuhuma za ubadhirifu ndani ya Tasnia ya tumbaku ziliwalenga Chama Kikuu cha Ushirika cha WETCU, wakandarasi...
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Eng. Christopher Chiza (Mb) hivi karibuni alimkabidhi, Inspecta Jenerali wa Jeshi la Polisi (IGP) Ripoti ya ukaguzi katika Tasnia ya tumbaku, ili kubaini, ubadhirifu na waliosababisha ubadhirifu huo uliopelekea wakulima wa tumbaku kutoa malalamiko yao kwa serikali kutokana na hasara waliopata katika msimu wa kilimo wa 2012/2013.
Tuhuma za ubadhirifu ndani ya Tasnia ya tumbaku ziliwalenga Chama Kikuu cha Ushirika cha WETCU, wakandarasi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania