Mwalimu Godfrey Kihengu na Mariam Binagi wauga rasmi ukapera!!
Mchungaji Kiongozi wa Jimbo la Tarime Samweli Nyageswa akiwafungisha ndoa Bi.Mariam Baraka Binagi (wa pili kulia) wa Rebu Tarime, Mara pamoja na Mwalimu Godfrey Godwin Kihengu (wa pili kushoto) wa Nyansurura Tarime, Mara ikiwa ni katika ibada iliyofanyika jana Desemba 30,2015 katika Kanisa Anglikana Buhemba Wilaya ya Tarime Mkoani Mara.
Picha na BMG (Binagi Media Group)
Mchungaji Kiongozi wa Jimbo la Tarime Samweli Nyageswa akimkabidhi bwana harusi cheti cha ndoa
Mchungaji Kiongozi wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Eyo41VA1q7w/Vn7Yo9FWUOI/AAAAAAAIOxI/S9gt63YwqA4/s72-c/OTH_5201.jpg)
Mpiganaji Edwini Mjwahuzi aukacha rasmi ukapera
![](http://2.bp.blogspot.com/-Eyo41VA1q7w/Vn7Yo9FWUOI/AAAAAAAIOxI/S9gt63YwqA4/s640/OTH_5201.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GlBYsbQXNno/Vn7YrQwuzPI/AAAAAAAIOxQ/XqsEpjhplPg/s640/OTH_5229.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5gMk0bfi1w4/Vn7YrQdjXBI/AAAAAAAIOxU/0P1edkTcwlU/s640/OTH_5264.jpg)
11 years ago
Dewji Blog06 May
Ridhiwani Kikwete na Godfrey Mgimwa waapishwa rasmi Bungeni mjini Dodoma leo
Mbunge wa Kalenga, Godfrey mgimwa akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni mjini Dodoma Mei 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge,Anne Makinda na watendaji wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wakiimba wimbo waTaifa kabla ya shughuli za Bunge kuanza.
Mke Rais,Mama Salma Kikwete akiwa Bungeni Mjini Dodoma May 6,2014 wakati mwanae,Ridhiwani Kikwete...
9 years ago
VijimamboLuise Binagi
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AIrpByqN-IE/Vd1DLhmfQrI/AAAAAAAAEa8/mqmZcZ-Gkz0/s72-c/1.jpg)
BINAGI MEDIA GROUP YAZINDUA KAMPENI YAKE YA "PIGA KURA EPUKA KULA"
![](http://2.bp.blogspot.com/-AIrpByqN-IE/Vd1DLhmfQrI/AAAAAAAAEa8/mqmZcZ-Gkz0/s640/1.jpg)
Katika Kampeni hiyo ambayo inaanza leo Agost 26, 2015 Wasomaji wa Mtandao huu pamoja na Wadau...
10 years ago
Daily News21 Jul
Mariam Mfaki (MP) is dead
Daily News
SPECIAL Seats MP for Dodoma Region on CCM ticket, Mariam Mfaki (69), is dead. The Clerk of the National Assembly, Dr Thomas Kashililah, confirmed to the 'Daily News' that the parliamentarian died today morning at the Dodoma Regional Hospital after a ...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Amin auaga ukapera
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Amin Mwinyimkuu ‘Amini’, ameukacha ukapera kwa kufunga ndoa na msanii Farida Bashir ‘Namcy Vana’ aliyeimba wimbo ‘Kantangaze’. Ndoa hiyo ilifungwa Juni 22 nyumbani...
10 years ago
Michuzi12 Apr
msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo
Kwa mawasiliano nitumie email.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIbeB3vQnkyaX1OuP8ufvSOoxt9hEBcAXNv0KsknrMs9pYqJAfvBsY6*LuOgBDSwwaLdmXYsWDvEobXN169Ko9BH/SteveRnB.png?width=650)
STEVE RnB ALIVYOUAGA UKAPERA