Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amin auaga ukapera

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Amin Mwinyimkuu ‘Amini’, ameukacha ukapera kwa kufunga ndoa na msanii Farida Bashir ‘Namcy Vana’ aliyeimba wimbo ‘Kantangaze’. Ndoa hiyo ilifungwa Juni 22 nyumbani...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Andy Murry kuuaga ukapera

Ni mwaka wenye hadhi na uzito kwa mcheza tennis Andy Murray, hali hiyo si tu kutokana na matumaini yake mapya.

 

10 years ago

GPL

STEVE RnB ALIVYOUAGA UKAPERA

Msanii wa Bongo Fleva, Steve RnB baada ya kufunga ndoa na Naimana Kuyangana juzi Jumamosi, Oktoba 11, mwaka huu. Mke wa Steve, Naimana Kuyangana. Msanii wa Bongo Fleva, Steve RnB juzi Jumamosi Oktoba 11, mwaka huu aliukacha ukapera kwa kufunga…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kapteni Temba aukacha ukapera

MKURUGENZI  wa Kundi la Taarabu la ‘Funga Kazi’ lenye maskani yake Kigamboni, jijini Dar es Saalam, Kariya Temba ‘Kapteni Temba,’ ameamua kuuaga ukapera baada ya kumuoa mmoja wa waimbaji wa...

 

11 years ago

TheCitizen

Why Tanzania defeated Amin

The main purpose of this meeting between Amin and his soldiers was to get the commanders acquainted with the territory and to get to know the way forward.

 

9 years ago

Mtanzania

Dudu Baya kuuaga ukapera Januari

Dudu BayaNA MWANDISHI WETU

MKONGWE wa muziki nchini, Dudu Baya, anatarajia kuachana na ukapera Januari mwakani ambapo atafunga ndoa.

Msanii huyo amedai kwamba katika maisha yake amefanikiwa kupitia mambo mengi ya ujana lakini kilichobaki kwa sasa ni kuishi maisha ya ndoa.

“Ninatarajia kufunga ndoa Januari mwakani kwa kuwa tayari nimepitia maisha mbalimbali ya ujana kilichobaki ni kukaa na familia.

“Ninaishi na mwanangu Wille na mwakani ataanza kidato cha kwanza, hivyo lazima nifunge ndoa niishi kama...

 

9 years ago

Bongo5

Dudu Baya kuuaga ukapera, January

dudubaya3

Msanii mkongwe wa Hip Hop, Dudu Baya amesema hakuna kitu kinachomnyima usingizi kama maandalizi ya ndoa yake itakayofanyika January 2016.

dudubaya3

Rapa huyo ambaye pia ni baba wa mtoto mmoja aitwae Wille, ameiambia Bongo5 kuwa huu ndio wakati wake sahihi wa kuoa na kukaa na familia.

“Hakuna kitu kinaniumiza kama ndoa,” alisema.

“Nafunga ndoa January kwa sababu tayari nimeshapitia maisha yote ya ujana na sasa ni wakati wa kutulia home na familia. Wille amekuwa, mwakani anaingia form one na ninakaa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Amin aisambaza ‘Novemba au Desemba’

MKALI wa muziki wa kizazi kipya kutoka Nyumba ya Kukuza Vipaji Tanzania (THT), Amin Mwinyimkuu ‘Amin’ amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Novemba au Desemba’. Kabla hajasambaza kazi...

 

10 years ago

Michuzi

MWANAHABARI DEOGRATIAS MONGELA ALIVYO UKACHA UKAPERA

 Deogratias Mongela akiwa na mke wake Elizabeth Sanga wakati wa hafla ya ndoa yao iliyofanyika Hoteli ya Atriums iliyopo Sinza Afrikasana baada ya kufunga ndoa Katika Kanisa la Katoliki, Parokia ya Mbezi Luis Dar es Salaam jana. Maharusi hao (katikati) wakiwa na wapambe wao kwenye hafla hiyo. Kushoto ni Cobson Nzige na mke wake Subira Nzige (kulia), 'hakika wamependeza si mnawaona'.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eric Shigongo akimpongeza bwana harusi Deogratias...

 

9 years ago

Michuzi

Mpiganaji Edwini Mjwahuzi aukacha rasmi ukapera

 Mdau Edwini Mjwahuzi ambaye ni Mpiga picha wa Magazeti ya Kampuni ya Mwananchi, jioni ya leo ameamua kuvunja kibanda cha Makapera na kukimbilia kwenye Mjengo wa wanandoa, kwa kufunga pingu za maisha na Bi....... kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph, Jijini Dar es salaam.  Mdau Edwini Mjwahuzi na Mkewe pamoja na Wasimamizi wao wakiwa kwenye ibada ya ndoa, iliyofanyika jioni ya leo kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph, Jijini Dar es salaam.Mdau Edwini Mjwahuzi akimvisha pete Mkewe, wakati wa Ibada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani