Amin auaga ukapera
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Amin Mwinyimkuu ‘Amini’, ameukacha ukapera kwa kufunga ndoa na msanii Farida Bashir ‘Namcy Vana’ aliyeimba wimbo ‘Kantangaze’. Ndoa hiyo ilifungwa Juni 22 nyumbani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Andy Murry kuuaga ukapera
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIbeB3vQnkyaX1OuP8ufvSOoxt9hEBcAXNv0KsknrMs9pYqJAfvBsY6*LuOgBDSwwaLdmXYsWDvEobXN169Ko9BH/SteveRnB.png?width=650)
STEVE RnB ALIVYOUAGA UKAPERA
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Kapteni Temba aukacha ukapera
MKURUGENZI wa Kundi la Taarabu la ‘Funga Kazi’ lenye maskani yake Kigamboni, jijini Dar es Saalam, Kariya Temba ‘Kapteni Temba,’ ameamua kuuaga ukapera baada ya kumuoa mmoja wa waimbaji wa...
11 years ago
TheCitizen30 May
Why Tanzania defeated Amin
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Dudu Baya kuuaga ukapera Januari
NA MWANDISHI WETU
MKONGWE wa muziki nchini, Dudu Baya, anatarajia kuachana na ukapera Januari mwakani ambapo atafunga ndoa.
Msanii huyo amedai kwamba katika maisha yake amefanikiwa kupitia mambo mengi ya ujana lakini kilichobaki kwa sasa ni kuishi maisha ya ndoa.
“Ninatarajia kufunga ndoa Januari mwakani kwa kuwa tayari nimepitia maisha mbalimbali ya ujana kilichobaki ni kukaa na familia.
“Ninaishi na mwanangu Wille na mwakani ataanza kidato cha kwanza, hivyo lazima nifunge ndoa niishi kama...
9 years ago
Bongo524 Dec
Dudu Baya kuuaga ukapera, January
![dudubaya3](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/dudubaya3-300x194.jpg)
Msanii mkongwe wa Hip Hop, Dudu Baya amesema hakuna kitu kinachomnyima usingizi kama maandalizi ya ndoa yake itakayofanyika January 2016.
Rapa huyo ambaye pia ni baba wa mtoto mmoja aitwae Wille, ameiambia Bongo5 kuwa huu ndio wakati wake sahihi wa kuoa na kukaa na familia.
“Hakuna kitu kinaniumiza kama ndoa,” alisema.
“Nafunga ndoa January kwa sababu tayari nimeshapitia maisha yote ya ujana na sasa ni wakati wa kutulia home na familia. Wille amekuwa, mwakani anaingia form one na ninakaa...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Amin aisambaza ‘Novemba au Desemba’
MKALI wa muziki wa kizazi kipya kutoka Nyumba ya Kukuza Vipaji Tanzania (THT), Amin Mwinyimkuu ‘Amin’ amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Novemba au Desemba’. Kabla hajasambaza kazi...
10 years ago
MichuziMWANAHABARI DEOGRATIAS MONGELA ALIVYO UKACHA UKAPERA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Eyo41VA1q7w/Vn7Yo9FWUOI/AAAAAAAIOxI/S9gt63YwqA4/s72-c/OTH_5201.jpg)
Mpiganaji Edwini Mjwahuzi aukacha rasmi ukapera
![](http://2.bp.blogspot.com/-Eyo41VA1q7w/Vn7Yo9FWUOI/AAAAAAAIOxI/S9gt63YwqA4/s640/OTH_5201.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GlBYsbQXNno/Vn7YrQwuzPI/AAAAAAAIOxQ/XqsEpjhplPg/s640/OTH_5229.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5gMk0bfi1w4/Vn7YrQdjXBI/AAAAAAAIOxU/0P1edkTcwlU/s640/OTH_5264.jpg)