MWANA FA AIZUNGUMZIA NGOMA YA “AMINIA” ALIYOIFANYA NA MANGWEA
Albert Mangwea ni miongoni mwa wasanii waliowahi kushirikishwa katika ‘collabo’ kubwa zilizofanya vizuri kwenye chati za muziki wa Bongo Flava.
Miongoni mwa wasanii waliowahi kushirikiana na Albert ni pamoja na msanii Mwana FA hapa anafunguka anachokumbuka siku waliyo record aminia pale Mawingu Studios kwa Dj Bonny Luv.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo521 Jan
Video: Mwana FA na AY wa-tease ngoma mpya
9 years ago
Bongo517 Nov
Hermy B anatayarisha ngoma mpya ya Mwana FA
![12120321_1140272202668159_944774289_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12120321_1140272202668159_944774289_n-300x194.jpg)
Si AY na Hermy B tu ndio wamerejesha kwa kasi uswahiba wao kiasi cha kuonekana mara kibao wakiwa pamoja studio hadi hivi karibuni kwenda pamoja Lagos, Nigeria.
Hermy B aliyetengeneza hits za FA ikiwemo ‘Bado Nipo Nipo’ anatengeneza ngoma mpya ya Mwana FA. Hermy ambaye ni mwanzilishi wa studio za B’Hits ametweet kwa kuandika:
Kwa wale wanaojua zaidi yangu…nitumie compressor ipi ili sauti ya @MwanaFA isikike vizuri kwenye ngoma yake mpya? pic.twitter.com/IwnFKYsJ5J
— Hermy B (@HermyB1)...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/U0faca4PGo8/default.jpg)
11 years ago
Michuzi25 Jul
9 years ago
Bongo521 Dec
Mwana FA ataja sababu kuu za kwanini amekuwa akitoa ngoma chake kwa mwaka (Video)
![12301206_416545988542834_2103460087_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301206_416545988542834_2103460087_n-1-300x194.jpg)
Mwana FA si mtu wa kutoa nyimbo nyingi kwa mwaka. Kwanini? Hizi ni sababu tatu alizozitoa baada ya kukaa na kuzungumza na sisi.
“Naona sina vitu vingi vya kuprove. Kwasababu kama mtu amefika mahali sasa hivi haamini kama nina uwezo, nitakuwa sina uwezo tena wa kumbadilisha,” amesema Mwana FA.
“Muziki mzuri unahitaji muda. Mimi nisharekodi ngoma inakaa mwaka mzima, baadaye tukija tukitaka kuitoa tunakuja tunarekodi tena. Nisharekodi ngoma mara nne kama Kama Zamani ile. Na nafikiri hili...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ijjA2qLKNfY/U0q0WmQnqwI/AAAAAAAFafI/LfNZMZHyhP0/s72-c/unnamed+(15).jpg)
NGOMA AFRICA BAND YA UJERUMANI YAOMBOLEZA KIFO CHA MWANA MUZIKI MKONGWE MUHIDIN GURUMO (RIP)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ijjA2qLKNfY/U0q0WmQnqwI/AAAAAAAFafI/LfNZMZHyhP0/s1600/unnamed+(15).jpg)
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Shilole mpaka Nigeria? kayazungumza haya kuhusu collabo aliyoifanya na msanii wa Nigeria…
Headlines za Dec 28 zinakwenda kwa Shilole ambaye wiki kadhaa zilizopita alikuwa nchini Nigeria kwaajili ya show yake akiwa na Feza Kessy & Lina Sanga, sasa msanii huyo baada ya kurudi Tanzania amefanya exclusive interview na ripota wa millardayo.com kufunguka kuhusu collabo aliyoifanya nchini Nigeria. ‘Nilikuwa niko Nigeria kwaajili ya kufanya show na kutafuta connection […]
The post Shilole mpaka Nigeria? kayazungumza haya kuhusu collabo aliyoifanya na msanii wa Nigeria… appeared first on...
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Rais Barack Obama aizungumzia Iraq
10 years ago
Vijimambo16 Jan