Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke wa Uholanzi atorokea Syria

Mwanamke na watoto wake wawili wamedaiwa kutorokea Syria kujiunga na makundi ya wapiganaji wa Islamic State

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Uholanzi yailaza Brazil 3-0,Uholanzi yashika nafasi ya 3 kombe la dunia

Timu ya taifa ya Uholanzi imeibamiza Brazil 3-0 na kutwaa nafasi ya tatu katika kombe la dunia huko Brazil. Mashabiki wa Brazil waliwazomea wachezaji wao akiwemo kocha Luiz felipe Scolari kwa utendakazi duni katika mechi hizi mbili za mwisho ambazo Brazil imefungwa mabao 10 nayo ikifunga moja. Brazil ilifungua mechi hiyo kwa kasi lakini ikafungwa […]

 

10 years ago

GPL

Ngassa atorokea Sauz

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa. Na Nicodemus Jonas
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa, ametoroka nchini na kukimbilia kusikojulikana huku viongozi wake wakijua kuwa amekwenda Tanga kwa ajili ya msiba wa mamamkwe wake. Ngassa hajaonekana Yanga tangu Jumanne ya wiki iliyopita. Aliwaaga viongozi wa klabu hiyo kuwa anakwenda Tanga kuhudhuria msiba lakini taarifa zinadai ametoroka nchini. Chanzo chetu cha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Lesotho atorokea A.kusini

Waziri mkuu nchini Lesotho Tom Thabane ameiambia BBC kwamba amelitoroka taifa hilo baada ya kupata vitisho vya maisha yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanajeshi wa Korea Kaskazini atorokea Kusini

Mwanajeshi wa Korea Kaskazini ametorokea Korea Kusini akipitia mpaka wa mkoa wa Gangwo

 

10 years ago

BBCSwahili

Simon Msuva atorokea Afrika ya Kusini

Simon Msuva ameitoroka klabu yake ya Yanga na kuelekea afrika ya Kusini kufanya majaribio ya kujiunga na klabu ya Orlando Pirates.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

11 years ago

GPL

TUZO YA MWANAMKE BORA, HESHIMA YA KWELI YA MWANAMKE, PINDA NI MSOMI WA UWAZI

Mgeni rasmi, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akihutubia kabla ya kukabidhi tuzo. Na Luqman Maloto Mwanamke wa…

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ALIYEMKWAPULIA 20,000/= MWANAMKE MWENZAKE ‘ATAITIWA’ DAR

Umati wa watu ukiwa unashangaa kitendo cha mwanadada (kushoto mwenye kitambaa cha zambarau kichwani) aliyemkwapulia 20,000 mwenzake.  Wengine wakitaka apigwe kama mwizi, wengine wakiomba asamehewe.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani