Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanariadha mkongwe, Keino aishauri Tanzania

Mwanariadha mkongwe wa Kenya, Kipchoge Keino ameishauri Tanzania kujirekebisha katika maandalizi kama inahitaji kufanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Keino asikitikia riadha ya Tanzania

Katika vitu ambavyo bara la Afrika haliwezi kuvisahau ni uwakilishi mzuri wa mkimbiaji maarufu wa zamani, Kipchoge Keino raia wa Kenya aliyewahi kung’ara katika riadha kimataifa miaka ya 1960 hadi 1980 na kushinda medali nne za Olimpiki.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mwanamuziki mkongwe Tanzania Muhidin Maalim Gurumo amefariki dunia

gurumo

Mwimbaji Mkongwe wa Bendi ya Msondo Ngoma Muhidin Maalim Gurumo (pichani) amefariki Dunia leo jijini Dar katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Hivi karibuni Marehemu Muhidini Gurumo alitangaza kustaafu muziki baada ya afya ya kutetereka na kuamua kupumzika hadi mauti yalipomfika.

MOblog inaunga na familia ya marehemu, watanzania wote pamoja na mashabiki wake kuomboleza kifo chake.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema Peponi Amen.

 

11 years ago

Mwananchi

Kim Poulsen aishauri Azam FC

Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen amesema amefurahishwa na ushindi iliopata Azam dhidi ya Ferroviario ya Msumbuji, lakini ameitaka ifanye maandalizi ya maana kabla ya pambano la marudiano.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Kigoda aishauri PPF

Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dk Abdallah Kigoda amewaagiza viongozi wa mfuko wa pensheni wa PPF kuongeza mbinu za kujitangaza kwa wananchi ili waweze kujiunga na kunufaika na mafao yake kwani uzoefu wake ni wa tangu mwaka 1978.

 

11 years ago

GPL

DK. CHENI AISHAURI BODI YA FILAMU

Stori: Mayasa Mariwata DK. Cheni ambaye jina lake halisi ni Mahsein Awadh ameibuka na kuishauri Bodi ya Filamu Tanzania kuangalia wazo la msanii na ujumbe anaotaka kuufikisha kwenye jamii kabla ya kuifungia.             Msanii wa filamu za Kibongo Mahsein Awadh 'Dk. Cheni'.
Akipiga stori na Stori Mix, Dk. Cheni alisema amekubali kubadilisha baadhi ya vipande vya Filamu ya Shoga kama...

 

10 years ago

StarTV

Mgombea Ubunge CHAUMA aishauri Tume kusimamia haki

Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA Eugene Kabendera ameitaka Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo kwa haki bila kupendelea upande wowote baada ya uchaguzi mkuu.

Kabendera amesema Jimbo la Ubungo lina changamoto nyingi hasa ya maji inayosumbua kwa muda mrefu sasa hivyo anahitajika mbunge kijana kama yeye kusimamia jimbo hilo na kuleta maendeleo.

Kabendera ametoa tamko hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kusema kuwa haki ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanariadha wa S Leone akamatwa UK

Mwanariadha wa mbio fupi kutoka Sierra Leone ambaye amekuwa akilala katika barabara za mji wa Uingereza huenda akafukuzwa

 

10 years ago

Mwananchi

Ni mwanariadha aliyeiteka dunia

Jina Dennis Kipruto Kimetto linaweza kuwa geni kwa wengi, lakini huyu ni mwanadamu wa aina yake katika riadha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanariadha wa Kenya alitumia dawa

Mwanaridha wa mbio za marathon raia wa Kenya Rita Jeptoo amegunduliwa kuwa alitumia dawa zinazosisimua misuli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani