MWANZA YALAANI MAUWAJI YA WATU WAWILI
Na: Afisa habari- Mwanza.
Serikali mkoani Mwanza imelaani mauwaji yaliyofanywa na mfanyabiashara maarufu jijini humo Jumanne Mahende(J4) hivi karibuni katika eneo la Nyakato Sokoni katika Wilaya ya Ilemela mkoani humo.
Tamko hilo limetolewa na mkuu wa mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo wakati akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake mapema hivi leo, akitoa tamko hilo mbele ya waandishi wa habari, Mkuu wa mkoa wa Mwanza amesema sio kitendo kinacho kubalika wala kuhalalishwa na mtu yeyote...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
THBUB yalaani mauaji na vitendo vya ukatili wa viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi!
Mtoto Mlemavu wa Ngozi (Albino) Adam Robert (13) wakati akiwa amelazwa hospitalini baada ya kujeruhiwa na kwa kukatwa mkono na kisha kunyofolewa Vidole sita vya mikono yote miwili,picha hii ilipigwa siku moja tu baada ya kufikishwa katika hospitali ya wilaya ya Geita. (Maktaba;Picha hii ilipigwa Oktoba 14 mwaka 2011).
Press Release_Albino Kukatwa Viungo by moblog
10 years ago
GPLTAJIRI AWAPIGA RISASI WAWILI NA KUWAUA JIJINI MWANZA
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Watu wawili wauawa Bujumbura
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Watu wawili wauawa Mandera
10 years ago
VijimamboWATANZANIA HOUSTON MNAKARIBISHWA KUREKODI NA KUZUNGUMZIA MAUWAJI YA ALBINO TANZANIA
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/11/DSC_9912.jpg)
Wadau kutoka New York wakirekodi kipindi kimoja wapo.
Wadau wa North Carolina wakiwa kwenye kipindi wakirekodi.
Timu ya Vijimambo ikishiriana na Kwanza Production inapenda kwanza kutoa pongezi kwa Watanzania Houston kwa jitihada zao za kupambana na mauawaji ya ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi na pia ingependa kuandaa kipindi cha video ya kuongelea hili swala kwa mapana zaidi na kuangalia jinsi gani ya kukomesha mauaji haya ambayo yanaleta fedheza na aibu ikiwemo ukiukaji wa haki za...
11 years ago
Habarileo27 May
Ajali yaua watu wawili Bagamoyo
WATU wawili wamekufa na wengine wanne wamejeruhiwa baada ya magari waliyokuwa wakisafiria, kugongana eneo la Bwawani Kata ya Ubena Tarafa ya Chalinze wilayani Bagamoyo katika Mkoa wa Pwani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eHhH0wF8G5BCdUyK6QlOmW-Dtyr5x7Gd8uoh27csJ7JagI7-SdpExDIAhzYZqpzOt2BZZaKr4LrYlTR8KYODFqcLqwEYVYt7/MOTOMWANZA5.jpg?width=750)
WATOTO WAWILI WATEKETEA KWA MOTO KIJIJI CHA MBELA, MWANZA