Mwapachu asema Nyerere angekuwapo angejitoa CCM
Siku moja baada ya kutangaza kujitoa CCM, kada mkongwe wa chama hicho, Balozi Juma Mwapachu amesema uamuzi alioufanya ni sahihi ambao hata Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere angekuwa hai angeufanya kwa sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAKONGORO NYERERE ATANGAZA NIA, ASEMA ATAIOKOA CCM NA RUSHWA
9 years ago
GPLMWAPACHU AJIVUA UANACHAMA CCM
9 years ago
IPPmedia14 Oct
CCM strategist Mwapachu also throws in the towel.
Voice of America
CCM strategist Mwapachu also throws in the towel.
IPPmedia
One of the ruling CCM's key strategists, Juma Volter Mwapachu yesterday announced to quit the party, joining other high-profile CCM members who have deserted the 54-year-old party. Mwapachu, who is former Secretary General of the East African ...
Lowassa pledges to step up JKT recruitmentDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
In Tanzania, No Shortage of Surprises as Poll NearsVoice of America
Why...
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Mwapachu arudisha kadi ya CCM, Tanu
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
ALIYEWAHI kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Juma Mwapachu, amerejesha rasmi kadi za Chama cha Tanu na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kadi hizo alizirudisha katika ofisi za chama hicho zilizopo eneo la Mikocheni A jijini Dar es Salaam jana na kuzikabidhi kwa Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Kata ya Mikocheni, Sudi Odemba.
Mwapachu ambaye ni kada mkongwe wa chama hicho, alisema kadi ya Tanu yenye namba 819820 aliipata Aprili 6,...
9 years ago
TheCitizen13 Oct
Ambassador Juma Mwapachu quits CCM
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Balozi Juma Mwapachu ajitoa uanachama CCM
9 years ago
GPLBALOZI MWAPACHU ARUDISHA RASMI KADI YA CCM
9 years ago
Mzalendo Zanzibar14 Oct
TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM
Juma Mwapachu Ndugu zangu, Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha […]
The post TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Vijimambo14 Oct
BALOZI JUMA MWAPACHU KUJIVUA RASMI UANACHAMA CCM KESHO
Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha yangu ambayo yanahusu uanasiasa wangu. Mimi ni mwanachama wa CCM tangu mwaka 1967 wakati nilipojiunga na TANU Youth League. Nimepata fursa ya kuwa kiongozi ndani ya Chama hiki. Lakini kuanzia kesho mimi si mwanachama wa CCM tena. Natoa...