Mwasongwe aachia video albamu ya Misuli ya ImaniÂ
MSANII wa nyimbo za Injili, Ambwene Mwasongwe, ameachia video ya albamu yake mpya inayojulikana kwa jina la misuli ya imani. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mwasongwe alisema kuwa video...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8jLTcyESuoQ/VQqdDx6PsZI/AAAAAAAC13M/AJx7YxoSa6o/s72-c/jenny.jpg)
JENNIFER MGENDI AACHIA ALBAMU YA WEMA NI AKIBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-8jLTcyESuoQ/VQqdDx6PsZI/AAAAAAAC13M/AJx7YxoSa6o/s1600/jenny.jpg)
Akizungumza na blogu hii Mgendi amesema albamu hiyo ina jumla ya nyimbo saba ambazo ni Wema ni Akiba, Nani kama Mungu?, Nakungoja aliomshirikisha Mchungaji Abiudi Misholi, Kimbilia Msalabani, Nakuhitaji Roho, Tenda nishangae na Wastahili.
Akizungumzia video ya albamu hiyo, Mgendi amesema maandalizi ya video yameanza na video itazinduliwa Juni 28 katika kanisa la DCT Tabata Shule...
10 years ago
MichuziMSANII WA NYIMBO ZA INJILI, MKOANI IRINGA REHEMA CHAWE AACHIA ALBAMU YAKE YA GOSPEL
MSANII wa nyimbo za Injili, nyanda za juu kusini Rehema Chawe ambaye ni Mwanachama wa chama cha Muziki wa Injili Tanzania (CHAMUITA), anatarajia kuzindua albamu yake ya kwanza, inayoitwa Kusamehe ni afya.
Uzinduzi huo unatarajia kufanyika Jumapili, March 8, mwaka katika kanisa la EAGT, Frelimo kwa mchungaji Mwenda, ambaye ni Mwenyekiti wa makanisa ya Kipentekoste mkoani Iringa.
Akizungumza na wanahabari, Chawe alisema uzinduzi huo utapambwa na waimbaji...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Tunataka kuiona tena misuli ya watunisha misuli
10 years ago
Bongo518 Nov
New Music Video: Desire Luzinda aachia video mpya ‘Ekitone’
9 years ago
Bongo517 Nov
New Video: Avril aachia video mpya aliyoshoot Tanzania na director Hanscana ‘No Stress’
![avril](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/avril-300x194.jpg)
Muimbaji Avril kutoka Kenya alikuja Tanzania mwezi September kwa lengo la kufanya media tour, na kuungana na Ben Pol kuzindua wimbo mpya ‘Ningefanyeje’ waliofanya pamoja. Kingine alikuja kushoot video ya wimbo wake mpya ‘No Stress’ aliomshirikisha AY.
Jumamosi iliyopita Avril alizindua video hiyo jijini Nairobi ambapo ilioneshwa kwa mara ya kwanza kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa Youtube. Director wa video hiyo Hanscana ambaye ni mshindi wa Tuzo Za Watu 2015 pamoja na AY walisafiri...
9 years ago
Bongo525 Aug
Video: Octopizzo aachia video ya wimbo aliomshirikisha staa wa Marekani, August Alsina
9 years ago
Bongo525 Aug
Video: Msanii wa Nigeria Skiibii aliyetumia ‘stunt’ ya kifo aachia video mpya
10 years ago
Bongo514 Aug
New Video: Victoria kimani aachia video ya ‘Prokoto’ aliyoshoot Tanzania na kuwashirikisha Diamond na Dimpoz
11 years ago
Bongo506 Aug
New Music Video: Hussein Machozi aachia video mpya ya ‘Harusi’ baada ya mkasa wa kudaiwa kufumaniwa Kenya