Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwenyekiti matatani kutoshiriki harambee

Mwenyekiti wa Kijiji cha Chonde Kata ya Makanda wilayani hapa, Daud Nhiti ameuagiza uongozi wa kijiji kumweka mahabusu Mwenyekiti wa Kitongoji cha Ng’ambo, Zebedayo Hemezi kwa kosa la kutohudhuria harambee ya kuchangia ujenzi wa zahanati.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA CHADEMA IRINGA MJINI AINGIA MATATANI TENA, AMTUKANA MWENYEKITI WAKE WA MKOA, ASHITAKIWA

Picha ya Maktaba ikumuonesha Frank Nyalusi (mwenye suti nyeupe) ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Iringa Mjini akiwa chini ya ulinzi wa Polisi
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Iringa Mustapher Msowela amemshitaki mwenyekiti wa chama hicho jimbo la Iringa Mjini, Frank Nyalusi ambaye jana jeshi la Polisi lilifanikiwa kumtia nguvuni kabla ya kuachiwa kwa dhamana.Nyalusi aliyeshitakiwa katika kituo cha Polisi cha kati cha mjini Iringa jana, anatuhumiwa kumtusi...

 

10 years ago

Habarileo

Mwenyekiti Mbomipa matatani

BAADHI ya wananchi wa vijiji 14 kati 21 vinavyounda Jumuiya ya Hifadhi ya Mali Hai Tarafa ya Idodi na Pawaga (Mbomipa), wanamtaka Mwenyekiti wao aachie ngazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti wa Kijiji matatani kwa uchochezi

MWENYEKITI wa Serikali ya Kijiji cha Karukekere wilayani Bunda, Mara, Jogoro Amoni amekamatwa na polisi kwa kile kinachodaiwa kuchochea ukabila katika kijiji hicho na kusababisha ugomvi uliojeruhi vijana watatu. Amri...

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA BODI YA MADINI TANZANIA ASHIRIKI HARAMBEE YA UJENZI WA CHUO KIKUU

Mchungaji Mwansasu na mgeni rasmi Kasesela wakijadiliana jambo Mchungaji Mwansasu akimuongoza mgeni rasmi Kasesela kuingia kanisani.…

 

11 years ago

GPL

YANGA KUTOSHIRIKI MAPINDUZI

Kikosi cha Young Africans Sports Club. Uongozi wa klabu ya Young Africans umewasilisha barua rasmi kwa ZFA kutoshiriki mashindano ya kombe la Mapinduzi  yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi kesho  Januari Mosi 2014 Visiwani Zanzibar katika miji ya Unguja na Pemba kutokana na kuamua kulivunja Benchi nzima la Ufundi. Kufuatia kupewa taarifa (notice) kwa kocha msaidzi Fred Felix "Minziro" kocha wa makipa Razaki Siwa na daktari...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe kutoshiriki kura feki

WIKI iliyopita Kijiwe kilimkumbuka nguli mwalimu Julius Mchonga. Japo wale waliowatengeneza, kuwatengenezea na kuwaachia ulaji walimtosa baada ya kuwa wakimsanifu kila mwaka, sisi tulimkumbuka kwa dhati na kweli. Kwa kuendeleza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Drummond miaka minane kutoshiriki riadha

Drummond ni Mkufunzi wa Mkimbiaji Tayson Gay, afungiwa miaka minane

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi serikalini watakiwa kutoshiriki siasa

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Shirika la Haki za Binadamu Kusini mwa Afrika (SAHRiNGON) wametaka viongozi wa serikali kutoshiriki katika kampeni na kuwaachia wanasiasa wenyewe. Mratibu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TUCTA yatishia kutoshiriki Mei Mosi

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi nchini (Tucta), limetishia kutoshiriki sherehe za Mei Mosi kwa mwaka huu kwa madai kuwa Rais Jakaya Kikwete ameshindwa kutekeleza madai ya wafanyakazi. Habari kutoka ndani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani