Mwenyekiti matatani kutoshiriki harambee
Mwenyekiti wa Kijiji cha Chonde Kata ya Makanda wilayani hapa, Daud Nhiti ameuagiza uongozi wa kijiji kumweka mahabusu Mwenyekiti wa Kitongoji cha Ng’ambo, Zebedayo Hemezi kwa kosa la kutohudhuria harambee ya kuchangia ujenzi wa zahanati.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA CHADEMA IRINGA MJINI AINGIA MATATANI TENA, AMTUKANA MWENYEKITI WAKE WA MKOA, ASHITAKIWA
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Iringa Mustapher Msowela amemshitaki mwenyekiti wa chama hicho jimbo la Iringa Mjini, Frank Nyalusi ambaye jana jeshi la Polisi lilifanikiwa kumtia nguvuni kabla ya kuachiwa kwa dhamana.Nyalusi aliyeshitakiwa katika kituo cha Polisi cha kati cha mjini Iringa jana, anatuhumiwa kumtusi...
10 years ago
Habarileo17 Apr
Mwenyekiti Mbomipa matatani
BAADHI ya wananchi wa vijiji 14 kati 21 vinavyounda Jumuiya ya Hifadhi ya Mali Hai Tarafa ya Idodi na Pawaga (Mbomipa), wanamtaka Mwenyekiti wao aachie ngazi.
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Mwenyekiti wa Kijiji matatani kwa uchochezi
MWENYEKITI wa Serikali ya Kijiji cha Karukekere wilayani Bunda, Mara, Jogoro Amoni amekamatwa na polisi kwa kile kinachodaiwa kuchochea ukabila katika kijiji hicho na kusababisha ugomvi uliojeruhi vijana watatu. Amri...
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA BODI YA MADINI TANZANIA ASHIRIKI HARAMBEE YA UJENZI WA CHUO KIKUU
11 years ago
GPLYANGA KUTOSHIRIKI MAPINDUZI
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Kijiwe kutoshiriki kura feki
WIKI iliyopita Kijiwe kilimkumbuka nguli mwalimu Julius Mchonga. Japo wale waliowatengeneza, kuwatengenezea na kuwaachia ulaji walimtosa baada ya kuwa wakimsanifu kila mwaka, sisi tulimkumbuka kwa dhati na kweli. Kwa kuendeleza...
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Drummond miaka minane kutoshiriki riadha
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Viongozi serikalini watakiwa kutoshiriki siasa
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Shirika la Haki za Binadamu Kusini mwa Afrika (SAHRiNGON) wametaka viongozi wa serikali kutoshiriki katika kampeni na kuwaachia wanasiasa wenyewe. Mratibu...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
TUCTA yatishia kutoshiriki Mei Mosi
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi nchini (Tucta), limetishia kutoshiriki sherehe za Mei Mosi kwa mwaka huu kwa madai kuwa Rais Jakaya Kikwete ameshindwa kutekeleza madai ya wafanyakazi. Habari kutoka ndani...