Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kijiwe kutoshiriki kura feki

WIKI iliyopita Kijiwe kilimkumbuka nguli mwalimu Julius Mchonga. Japo wale waliowatengeneza, kuwatengenezea na kuwaachia ulaji walimtosa baada ya kuwa wakimsanifu kila mwaka, sisi tulimkumbuka kwa dhati na kweli. Kwa kuendeleza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Zitafutwe sababu watu kutoshiriki kupiga kura

Hatuna uhakika kama Serikali ya Muungano, Serikali ya Mapinduzi (SMZ) au tume za uchaguzi za Nec na Zec zimejishughulisha kwa namna yoyote ile, kupata jibu na sababu zinazowafanya wananchi washindwe kushiriki katika chaguzi mbalimbali hapa nchini.

 

10 years ago

StarTV

CHADEMA kutoshiriki uhamasishaji daftari la kudumu la wapiga kura.

Na Amina Saidi,

Mbeya.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema hakitashiriki uzinduzi wa zoezi la kampeni ya uhamasishaji wananchi kushiriki katika daftari la kudumu la wapiga kura unaotarajiwa kufanywa Jumatatu ijayo na Waziri mkuu Mizengo Pinda katika mji wa Makambako mkoani Njombe.

 

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amesema hatua hiyo inachukuliwa kwa kile alichokiita kuwa ni ubabaishaji unaofanywa na Tume ya Uchaguzi nchini wa kuendesha zoezi hilo kinyume cha sheria na...

 

10 years ago

Michuzi

MBOWE:TUTAAKIKISHA KILA MWANANCHI AMEJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA LAKINI KWA UPANDE WA KATIBA MSIMAMO WETU KAMA UKAWA UKO PALE PALE WA KUTOSHIRIKI

Mwenyekiti wa Chadema Freman Mbowe akiwa anasoma utuba wakati wa ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa  chama hicho wa kanda ya kaskazini unaofanyika leo katika  hotel ya new Arusha jijini hapaviongizo wa chadema  akiwemo mwenyekiti wakiwa wanasali kwanza kabla ya mkutano wa viongozi wa kanda ya kaskazini kuanza Naibu katibu mkuu wa Chadema Salum Mwalimu akiwa anaongea na waandishi wa habari Na Woinde Shizza
MWENYEKITI wa chama cha demokrasi na maendeleo Chadema Freeman Mbowe amesema kuwa  chama...

 

10 years ago

Vijimambo

MBOWE:TUTAHAKIKISHA KILA MWANANCHI AMEJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA LAKINI KWA UPANDE WA KATIBA MSIMAMO WETU KAMA UKAWA UKO PALE PALE WA KUTOSHIRIKI

Mwenyekiti wa Chadema Freman Mbowe akiwa anasoma utuba wakati wa ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa chama hicho wa kanda ya kaskazini unaofanyika leo katika hotel ya new Arusha jijini hapa.viongizo wa chadema akiwemo mwenyekiti wakiwa wanasali kwanza kabla mkutano wa viongozi wa kanda ya kaskazini kuanza.Naibu katibu mkuu wa Chadema Salum Mwalimu akiwa anaongea nawaandishi wahabari
MWENYEKITI wa chama cha demokrasi na maendeleo Chadema Freeman Mbowe amesema kuwa chama chao kimejipanga...

 

11 years ago

GPL

YANGA KUTOSHIRIKI MAPINDUZI

Kikosi cha Young Africans Sports Club. Uongozi wa klabu ya Young Africans umewasilisha barua rasmi kwa ZFA kutoshiriki mashindano ya kombe la Mapinduzi  yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi kesho  Januari Mosi 2014 Visiwani Zanzibar katika miji ya Unguja na Pemba kutokana na kuamua kulivunja Benchi nzima la Ufundi. Kufuatia kupewa taarifa (notice) kwa kocha msaidzi Fred Felix "Minziro" kocha wa makipa Razaki Siwa na daktari...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti matatani kutoshiriki harambee

Mwenyekiti wa Kijiji cha Chonde Kata ya Makanda wilayani hapa, Daud Nhiti ameuagiza uongozi wa kijiji kumweka mahabusu Mwenyekiti wa Kitongoji cha Ng’ambo, Zebedayo Hemezi kwa kosa la kutohudhuria harambee ya kuchangia ujenzi wa zahanati.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TUCTA yatishia kutoshiriki Mei Mosi

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi nchini (Tucta), limetishia kutoshiriki sherehe za Mei Mosi kwa mwaka huu kwa madai kuwa Rais Jakaya Kikwete ameshindwa kutekeleza madai ya wafanyakazi. Habari kutoka ndani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Drummond miaka minane kutoshiriki riadha

Drummond ni Mkufunzi wa Mkimbiaji Tayson Gay, afungiwa miaka minane

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi serikalini watakiwa kutoshiriki siasa

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Shirika la Haki za Binadamu Kusini mwa Afrika (SAHRiNGON) wametaka viongozi wa serikali kutoshiriki katika kampeni na kuwaachia wanasiasa wenyewe. Mratibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani