MWITA MANG’ALE KISYERI: Yatima aliyeanza shule na miaka 12
“NILIANZA darasa la kwanza nikiwa na miaka 12 katika Shule ya Msingi Pugu Kajiungeni baada ya majirani kumlazimisha shangazi yangu anipeleke shule.” Hayo ni maneno ya kusikitisha yanayosemwa na yatima...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E13a4vfj-mM/XsD0VJlshmI/AAAAAAALqiI/3PJIu0xV5NUyPMEEX1evQ0DqRVbpO8eswCLcBGAsYHQ/s72-c/e342cfad-ff15-455d-ad5a-294d1afe3faa.jpg)
FIHIR NVUBGI; HUYU NDIYE DIWANI ALIYEANZA KUONGOZA KATA YA MSANGENI MIAKA MITATU BAADA YA NCHI TANZANIA KUPATA UHURU HADI LEO
*Hajawahi kung'atuka wala kuondolewa, afikiria kugombea tena mwaka huu, azungumzia thamani ya Mzee Msuya wilayani Mwanga
Charles James, Michuzi TV
JINA lake ni Fihir Mvungi, umri wake ni miaka 80. Ameongoza kwa miaka 55 kama Diwani wa Kata ya Msangeni iliyopo wilayani Mwanga, Kilimanjaro.
Ndio. Unaweza kusema Mvungi ndiye kiongozi wa kuchaguliwa ambaye amehudumu kwenye nafasi yake kwa muda mrefu bila kung'atuka wala kuondolewa na wananchi.
Katika mahojiano maalum ambayo amefanya na Michuzi...
Charles James, Michuzi TV
JINA lake ni Fihir Mvungi, umri wake ni miaka 80. Ameongoza kwa miaka 55 kama Diwani wa Kata ya Msangeni iliyopo wilayani Mwanga, Kilimanjaro.
Ndio. Unaweza kusema Mvungi ndiye kiongozi wa kuchaguliwa ambaye amehudumu kwenye nafasi yake kwa muda mrefu bila kung'atuka wala kuondolewa na wananchi.
Katika mahojiano maalum ambayo amefanya na Michuzi...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Macmilan; shule inayotoa elimu bure kwa yatima
Tatizo la uwepo wa watoto wa mitaani nchini huenda lisingeendelea kukua kama nchi ingekuuwa na mkakati katika kuwasaidia hasa kuwapatia elimu.
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Kisyeri Chambiri
uliwaahidi wananchi kwamba nusu ya mshahara wako wa ubunge utagawana nao kwa kufanikisha maendeleo, mbona hadi sasa hujatekeleza ahadi hiyo ya kutoa nusu mshahara wako?
10 years ago
Bongo510 Jun
New Video: May D — Ale Yi A Bad
Video mpya ya msanii kutoka Nigeria May D wimbo unaitwa “Ale Yi A Bad” Related Tags:
10 years ago
MichuziJWTZ lasherehekea Miaka 50 kwa kuvisaidia vituo vya kulea watoto yatima
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ga2iaGVWnSHpOf*796w40xaKUQR*0PaAOYlkvGz705rVsDOIFF*WqvRyur0k3mZY4TjTo3QuF2at7ijVGcK2IdioIT*ITwOC/model_dress_rocks_photo_shoot_sunshine_64113_3840x21602.jpg)
SI KILA MCHINJAJI LAZIMA ALE SHINGO
Jamani mbona makubwa madogo yana nafuu eti inahuu, nani kakuambia aihuu? mtakalia vimaneno vya kijinga wakati nyumba inateketea. Sipendi jamani mbona hivyo! Nani kawaroga hadi mnajitoa akili wakati mnazo. Leo nimekuja mahsusi kwa ajili ya kukuteteeni wanawake wenzangu. Lakiniii ninachowatetea kwenu kimekaa vipi? Nimepata maswali mengi juu ya matatizo ndani ya uhusiano, bwana mmoja analalamika kutoswa na mpenzi wake ambaye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidXXO9HjhEydwEC71S6b0FMggq5P3goueaY*74ploD4U56ELJTd34cJxRlhYiMp1tZ2vobOJql5Eb0x1G4KUBclO/yatima.jpg?width=650)
YATIMA AOTA NYAMA YA AJABU ANA UMRI WA MIAKA 16 KILA ANAYEMLEA HUFARIKI DUNIA
STORI: MAKONGORO OGING’
Kwa kweli duniani kuna mateso, lakini ya mtoto huyu yatima ni makali na maisha yake yapo hatarini kama hatawahi kupata matibabu. Fuatilia mkasa wake hapa chini ambao naamini utakuhuzunisha.
Kijana Twaha Sultan (16) ambaye ni yatima mkazi wa Kipawa Karakata, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam akisimulia mkasa wake alikuwa na haya ya kusema: Kijana Twaha Sultan akiwa na maumivu makali. ...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyVFm4NfDFHjTdadEgxd8*ZtkgAXWNw7iHPiI8SOxUUa*HBbWlDDSjGoNF3HMVC79xkuxXdLiIsJbdTeDCNz7RJf/bcouplesmile.jpg?width=650)
KWA NINI HAWARA ALE CHA MKEO?
Asalam alaikum, bwana Yesu asifiwe. Poleni kwa majukumu ya wikiendi na ni matumani yangu wazima na wale wagonjwa nawaombea dua mtapona ishallah. Nashukuru kwa kunisoma kwani napata ujumbe wenu na naona jinsi mnavyofaidika kwa mada ninazowaletea.
Ukiandika kitu ukaona watu wanakutafuta na kukupa hongera unajivunia kwani unaamini wanakipenda kile unachowaandikia. Leo nimekuja na mada hii ili kuwasema akina baba wenye tabia ya...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Jaguar; mwanamuziki milionea aliyeanza kwa kuosha magari
Zipo baadhi ya kauli za Wahenga wa Kiswahili ambazo siyo rahisi kutimia au uhaliasia wake kuonekana kwa haraka katika maisha ya kila siku.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania