Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SI KILA MCHINJAJI LAZIMA ALE SHINGO

Jamani mbona makubwa madogo yana nafuu eti inahuu, nani kakuambia aihuu? mtakalia vimaneno vya kijinga wakati nyumba inateketea. Sipendi jamani mbona hivyo! Nani kawaroga hadi mnajitoa akili wakati mnazo. Leo nimekuja mahsusi kwa ajili ya kukuteteeni wanawake wenzangu. Lakiniii ninachowatetea kwenu kimekaa vipi? Nimepata maswali mengi juu ya matatizo ndani ya uhusiano, bwana mmoja analalamika kutoswa na mpenzi wake ambaye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KILA ANAYEKUTONGOZA LAZIMA UMWAMBIE MUMEO? -2

NAAMINI kila msomaji wangu yupo salama baada ya kumaliza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani lakini pia baada ya sherehe za kumalizia mfungo huo ambapo ni Sikukuu ya Idi.Mada ya wiki iliyopita ndiyo inayoendelea leo. Kila anayekutongoza lazima umwambie mumeo?
Mada ilipokelewa kwa mitazamo tofauti sana, kila msomaji alikuwa na mawazo yake yakikinzana na wengine. Hiyo ni mitazamo tu. Wiki iliyopita niliishia kwa kusema ukiuliza...

 

10 years ago

GPL

KILA ANAYEKUTONGOZA LAZIMA UMWAMBIE MUMEO?

NIJumanne tena miongoni mwa Jumanne nyingi zilizopita. Wiki iliyopita mada yetu ilisema; ukiwa hivi, mapenzi kwako yata ‘rani’ dunia’.Namshukuru sana Mungu kwani mada ile ilipata wasomaji wengi na wengine walisema wamejifunza, wengine watawafundisha wengine. Soma zaidi hapa ====>http://bit.ly/1O2W8Fq

 

10 years ago

GPL

SHOGA: SI LAZIMA MUMEO AKUANZE KILA MARA MNAPOKUWA FARAGHA!

KUJULIANA hali ni jambo la muhimu kwa binadamu, niwafahamishe mashoga zangu kuwa hali yangu na familia ni njema hakuna mushikeri wowote juu ya afya zetu, mategemeo yangu kuwa nyie pia ni wazima na mambo yenu yanasonga kama kawaida. Kabla sijaianza mada ya leo inayosomeka “Si lazima mumeo akuanze mnapokuwa faragha” niwape pole ndugu zangu ambao mko kwenye mfungo wa Ramadhani, leo ni siku ya kumi na tatu mkiwa kwenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchinjaji wa IS atambuliwa

Mkurugenzi mkuu wa FBI James Comey amesema kitengo chake kimemtambua mchinjaji wa wanamgambo wa dola ya kiislam IS.

 

10 years ago

Bongo5

New Video: May D — Ale Yi A Bad

Video mpya ya msanii kutoka Nigeria May D wimbo unaitwa “Ale Yi A Bad” Related Tags:

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchinjaji wa IS 'Jihadi John' atambuliwa

Mwanaume ambaye amekuwa akitekeleza mauaji ya mateka wa kundi la wapiganaji wa Islamic State ajulikanaye kwa jina la utani "Jihadi John",ametambuliwa.

 

10 years ago

GPL

MCHINJAJI MAARUFU DUNIANI ALIVYOKAMATWA DAR

NA MWANDISHI WETU
JINA Jihadi John ‘Mohammed Emwazi’  (26) ni maarufu kwa sasa baada ya kijana huyo kubainika kwamba ndiye muuaji mwenye kiu isiyokatika kutoka Kundi la Islamic State ‘IS’ ambalo linaendesha vita dhidi ya Dola za Kiislam. Jihadi John ‘Mohammed Emwazi’  (26). Kwa wale wasiomfahamu sawasawa muuaji huyo, anaonekana mara kwa mara katika runinga akiwachinja bila huruma...

 

9 years ago

GPL

KWA NINI HAWARA ALE CHA MKEO?

Asalam alaikum, bwana Yesu asifiwe. Poleni kwa majukumu ya wikiendi na ni matumani yangu wazima na wale wagonjwa nawaombea dua mtapona ishallah. Nashukuru kwa kunisoma kwani napata ujumbe wenu na naona jinsi mnavyofaidika kwa mada ninazowaletea.
Ukiandika kitu ukaona watu wanakutafuta na kukupa hongera unajivunia kwani unaamini wanakipenda kile unachowaandikia. Leo nimekuja na mada hii ili kuwasema akina baba wenye tabia ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MWITA MANG’ALE KISYERI: Yatima aliyeanza shule na miaka 12

“NILIANZA darasa la kwanza nikiwa na miaka 12 katika Shule ya Msingi Pugu Kajiungeni baada ya majirani kumlazimisha shangazi yangu anipeleke shule.” Hayo ni maneno ya kusikitisha yanayosemwa na yatima...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani