KILA ANAYEKUTONGOZA LAZIMA UMWAMBIE MUMEO?
![](http://api.ning.com/files/f*E8U3rGFXpn1FWyrCiJ9WygCkQ9IaIWEfIpojOqBvWP7bPYH*uHeTTQ73P2MH7sQsyuujFvXxN1VQyzsPxAOj5fwJpeYy2e/GIFT.jpg?width=650)
NIJumanne tena miongoni mwa Jumanne nyingi zilizopita. Wiki iliyopita mada yetu ilisema; ukiwa hivi, mapenzi kwako yata ‘rani’ dunia’.Namshukuru sana Mungu kwani mada ile ilipata wasomaji wengi na wengine walisema wamejifunza, wengine watawafundisha wengine. Soma zaidi hapa ====>http://bit.ly/1O2W8Fq
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3fOa34J3xu24vJh4aCkQdD3yrzbSK4T6wtOEYk-kKAIUMHZAEdJTSDPVpxCaLJklfPkWxAWX5Wc-GxayylnNWzi/sex1.jpg?width=650)
KILA ANAYEKUTONGOZA LAZIMA UMWAMBIE MUMEO? -2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmMc-bBP39bfHUWNvqym9Gdluw9erAIjVqA4Mk9sdM4e0bixeg-holHLTYDUcYnFSZAhWfWMr5M-3btpZ5glU7RZ/MariaJoseLopez_1482321a.jpg?width=650)
SHOGA: SI LAZIMA MUMEO AKUANZE KILA MARA MNAPOKUWA FARAGHA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ga2iaGVWnSHpOf*796w40xaKUQR*0PaAOYlkvGz705rVsDOIFF*WqvRyur0k3mZY4TjTo3QuF2at7ijVGcK2IdioIT*ITwOC/model_dress_rocks_photo_shoot_sunshine_64113_3840x21602.jpg)
SI KILA MCHINJAJI LAZIMA ALE SHINGO
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Magufuli: Laptop kila mwalimu, milioni 50/- kila kijiji
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kutoa kompyuta mpakato (laptop) kwa kila mwalimu hapa nchini
Mwandishi Wetu
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...
10 years ago
Vijimambo24 Nov
NJIA 60 ZA KUMFURAHISHA MUMEO.
Katika mada yangu ya “njia 60 za kumfurahisha mkeo” niliahidi kuendelea na maudhui hii kwa kuwaletea mada ya “kumfurahisha mumeo”. Natangulisha shukrani kwa wale walioniandikia katika E-mail yangu na kupitia WhatsApp. Ifuatayo ni mada husika:
1. Anaporudi kutoka kazini, safarini au kwenye shughuli yoyote iliyowatengenisha, anza kwa salamu nzuri.
2. Unapompokea au kukutana naye basi fanya hivyo ukiwa na uso wa bashasha.
3. Vaa mavazi nadhifu. Jipambe na upake manukato kwa ajili yake.
4. Unapoanza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-T0-ThRxUbUhC4lc1MvAXL3L0fWbAeX0kvJUbd26gXN08vsMjAOr1U1O7GWuWUo*g*1PVLAeqN8b2qlAz*hUZZL/LOVE3.jpg)
SHOGA: MTOTO ASIKUTENGANISHE NA MUMEO!
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Ukiolewa, kuwa mshauri wa mumeo!
Asalam Alaikum, Bwana Yesu asifiwe, bila shaka wasomaji wangu wa safu hii ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa kwa hilo nashukuru Mungu.
Leo nimekuja na mada mpya ambayo imenisukuma kuwaandikia wanawake wengi ambao wapo kwenye ndoa na hii imekuwa kama fasheni kwa ndoa nyingi jambo linalokera na wala halipendezi kwa ndugu ama jamii.
Wanawake wengi tunashindwa kuwashauri waume zetu jinsi ya kutumia pesa, tunaendekeza starehe na sehemu ambazo si za kutusaidia hapo baadaye.
Wiki...