Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KILA ANAYEKUTONGOZA LAZIMA UMWAMBIE MUMEO? -2

NAAMINI kila msomaji wangu yupo salama baada ya kumaliza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani lakini pia baada ya sherehe za kumalizia mfungo huo ambapo ni Sikukuu ya Idi.Mada ya wiki iliyopita ndiyo inayoendelea leo. Kila anayekutongoza lazima umwambie mumeo?
Mada ilipokelewa kwa mitazamo tofauti sana, kila msomaji alikuwa na mawazo yake yakikinzana na wengine. Hiyo ni mitazamo tu. Wiki iliyopita niliishia kwa kusema ukiuliza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KILA ANAYEKUTONGOZA LAZIMA UMWAMBIE MUMEO?

NIJumanne tena miongoni mwa Jumanne nyingi zilizopita. Wiki iliyopita mada yetu ilisema; ukiwa hivi, mapenzi kwako yata ‘rani’ dunia’.Namshukuru sana Mungu kwani mada ile ilipata wasomaji wengi na wengine walisema wamejifunza, wengine watawafundisha wengine. Soma zaidi hapa ====>http://bit.ly/1O2W8Fq

 

10 years ago

GPL

SHOGA: SI LAZIMA MUMEO AKUANZE KILA MARA MNAPOKUWA FARAGHA!

KUJULIANA hali ni jambo la muhimu kwa binadamu, niwafahamishe mashoga zangu kuwa hali yangu na familia ni njema hakuna mushikeri wowote juu ya afya zetu, mategemeo yangu kuwa nyie pia ni wazima na mambo yenu yanasonga kama kawaida. Kabla sijaianza mada ya leo inayosomeka “Si lazima mumeo akuanze mnapokuwa faragha” niwape pole ndugu zangu ambao mko kwenye mfungo wa Ramadhani, leo ni siku ya kumi na tatu mkiwa kwenye...

 

10 years ago

GPL

SI KILA MCHINJAJI LAZIMA ALE SHINGO

Jamani mbona makubwa madogo yana nafuu eti inahuu, nani kakuambia aihuu? mtakalia vimaneno vya kijinga wakati nyumba inateketea. Sipendi jamani mbona hivyo! Nani kawaroga hadi mnajitoa akili wakati mnazo. Leo nimekuja mahsusi kwa ajili ya kukuteteeni wanawake wenzangu. Lakiniii ninachowatetea kwenu kimekaa vipi? Nimepata maswali mengi juu ya matatizo ndani ya uhusiano, bwana mmoja analalamika kutoswa na mpenzi wake ambaye...

 

10 years ago

Mwananchi

Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!

Bila kumwogopa Mungu, hatuwezi kupiga hatua kama taifa. Tunaambiwa kwamba kumwogopa Mungu ndiyo mwanzo wa maarifa na mafanikio. Ingawa Taifa letu halina dini, lakini watu wake wote wanamwamini Mwenyezi Mungu

 

10 years ago

Raia Mwema

Magufuli: Laptop kila mwalimu, milioni 50/- kila kijiji

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kutoa kompyuta mpakato (laptop) kwa kila mwalimu hapa nchini

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono

Lowassa_Babati2

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).

Lowassa_Babati1

Lowassa_hotuba Manyara

Lowassa_Daniel Opurukwa

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...

 

10 years ago

Vijimambo

NJIA 60 ZA KUMFURAHISHA MUMEO.



Katika mada yangu ya “njia 60 za kumfurahisha mkeo” niliahidi kuendelea na maudhui hii kwa kuwaletea mada ya “kumfurahisha mumeo”. Natangulisha shukrani kwa wale walioniandikia katika E-mail yangu na kupitia WhatsApp. Ifuatayo ni mada husika:

1. Anaporudi kutoka kazini, safarini au kwenye shughuli yoyote iliyowatengenisha, anza kwa salamu nzuri.
2. Unapompokea au kukutana naye basi fanya hivyo ukiwa na uso wa bashasha.
3. Vaa mavazi nadhifu. Jipambe na upake manukato kwa ajili yake.
4. Unapoanza...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MTOTO ASIKUTENGANISHE NA MUMEO!

Shoga zangu, ni matumaini yangu kwamba nyote mtakuwa na afya njema na mapambano ya maisha yanaendelea vizuri licha ya kuwa na changamoto za hapa na pale.Kwa upande wangu ondoeni shaka, afya yangu ni njema na mume na watoto wetu wapo poa kabisa. Leo shoga zangu nimeamua kuzungumza nanyi kuhusu uzembe unaofanywa na baadhi ya wenzetu baada ya kupata watoto na kusahau kabisa majukumu yao kwa waume zao.Nimeamua kuzungumza nanyi ishu...

 

9 years ago

Global Publishers

Ukiolewa, kuwa mshauri wa mumeo!

BLD080939Asalam Alaikum, Bwana Yesu asifiwe, bila shaka wasomaji wangu wa safu hii ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa kwa hilo nashukuru Mungu.

Leo nimekuja na mada mpya ambayo imenisukuma kuwaandikia wanawake wengi ambao wapo kwenye ndoa na hii imekuwa kama fasheni kwa ndoa nyingi jambo linalokera na wala halipendezi kwa ndugu ama jamii.

Wanawake wengi tunashindwa kuwashauri waume zetu jinsi ya kutumia pesa, tunaendekeza starehe na sehemu ambazo si za kutusaidia hapo baadaye.
Wiki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani