NJIA 60 ZA KUMFURAHISHA MUMEO.
Katika mada yangu ya “njia 60 za kumfurahisha mkeo” niliahidi kuendelea na maudhui hii kwa kuwaletea mada ya “kumfurahisha mumeo”. Natangulisha shukrani kwa wale walioniandikia katika E-mail yangu na kupitia WhatsApp. Ifuatayo ni mada husika:
1. Anaporudi kutoka kazini, safarini au kwenye shughuli yoyote iliyowatengenisha, anza kwa salamu nzuri.
2. Unapompokea au kukutana naye basi fanya hivyo ukiwa na uso wa bashasha.
3. Vaa mavazi nadhifu. Jipambe na upake manukato kwa ajili yake.
4. Unapoanza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/b8YL1Nsfi8mp40a5S47UhE*aJoNfHPPfZIeHvsZVZvBMjnQRBCKAURIValsVjFi3V8VBg5QMmBbfnH4Ny47FMyly5F6BBoTZ/hotsexylady94968.jpg)
SHOGA; KIGUU NA NJIA CHAKO KITAMKIMBIZA MUMEO NYUMBANI!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VHyLUUR13iI/XomMUz9AdMI/AAAAAAALmC0/vr9nKJAF3UooaIYWdgkAws0LmZXRU_agQCLcBGAsYHQ/s72-c/UZINDUZI-1024x821.jpg)
Usomaji kwa njia ya kidijitali : Vodacom Instant Schools njia sahihi ya elimu kwa vitendo
![](https://1.bp.blogspot.com/-VHyLUUR13iI/XomMUz9AdMI/AAAAAAALmC0/vr9nKJAF3UooaIYWdgkAws0LmZXRU_agQCLcBGAsYHQ/s640/UZINDUZI-1024x821.jpg)
Wazo la usomaji kwa njia ya kidijitali linalenga kuongeza ufanisi na kuboresha mazingira ya usomaji kwa wahusika kutumia nyenzo za kisasa. Lengo siyo kuachana na mfumo wa mafunzo ya darasani bali kuuboresha kwa kuzingatia matumizi ya teknolojia.
Kwa...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Wasiopenda kujifunza kwa njia rahisi, watajifunza kwa njia ngumu
NIMEMSIKIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akisema kuwa katiba mpya haileti maendeleo hata ikija. Msingi wa hoja yake ni kuwa katiba mpya siyo mtatuzi wa matatizo...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Ukiolewa, kuwa mshauri wa mumeo!
Asalam Alaikum, Bwana Yesu asifiwe, bila shaka wasomaji wangu wa safu hii ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa kwa hilo nashukuru Mungu.
Leo nimekuja na mada mpya ambayo imenisukuma kuwaandikia wanawake wengi ambao wapo kwenye ndoa na hii imekuwa kama fasheni kwa ndoa nyingi jambo linalokera na wala halipendezi kwa ndugu ama jamii.
Wanawake wengi tunashindwa kuwashauri waume zetu jinsi ya kutumia pesa, tunaendekeza starehe na sehemu ambazo si za kutusaidia hapo baadaye.
Wiki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-T0-ThRxUbUhC4lc1MvAXL3L0fWbAeX0kvJUbd26gXN08vsMjAOr1U1O7GWuWUo*g*1PVLAeqN8b2qlAz*hUZZL/LOVE3.jpg)
SHOGA: MTOTO ASIKUTENGANISHE NA MUMEO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFW1nQiVBqeqIfsEMNplVRlo2h0UkL3ilNVRNGTG7OSly8LiZXYYc1cq5sTVKQgUKB0i66-jOdxGORLowkxW0wdf/10.jpg)
SIFA 6 ZA MWANAUME ANAYESTAHILI KUWA MUMEO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx23S5CJrG-SuiqdayiwgG3Amj8TGb2WlzoSAX5VcTGCA3el67epRDdBH899I2bxWuD9wWmHI-2KBDgs-UWZS7jPQ/unhappywoman.jpg?width=650)
SHOGA: KWA NINI MUMEO AKUSALITI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1pYGM2xUDQlLoOPLRJ1y7fPB4a-6ZtPvXp-74S6dZe6ct09k4Vwb4wnKF5BX2hYXRaqvoWcBHnOkNeiZq3QAfyE6-QMXkHWv/xxlov.jpg)
UKIFANYA HAYA, HAUSIGELI HATAKUCHUKULIA MUMEO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ktsylelmf0kCxpuPKKQBMfb2-Tr0II4tyWlp830R56inUImx69IrnFnRL6fJ7hIs1wnXsD31AMUQc3WWsJJaFSU-4ixqW8T9/xxlov.jpg)
UKIFANYA HAYA, HAUSIGELI HATAKUCHUKULIA MUMEO-2