Mwivi huenda na wezi, mlevi nao walevi
MWIVI huenda na wezi wenzake kama ilivyo mlevi na walevi wenziwe. Ni methali inayotukumbusha kwamba watu wenye wasifu na tabia zinazolingana aghalabu hupatana na kuelewana vizuri. Takriban miezi 12 imebaki...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Taifa likiendeshwa na walevi?
“WALIOSEMA mimi ni waziri mzigo, wasubiri waone kazi yangu.” Haya ni maneno yaliyotolewa na waziri wetu wa fedha, Saada Mkuya, mapema mwaka huu wakati alipoapishwa kushika nafasi hiyo iliyoachwa wazi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YiN0LE001qY1Q2p2qrSr6GzpnBmODJQzMpbNwhGF*FNmzzVx4X2U2G0oQBX1ZWdc34kYJ0Kdn5NJWafTrfPm79n/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
JE, WEWE NI MLEVI AU MNYWAJI?
11 years ago
BBCSwahili01 May
Meya mlevi wa Toronto
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Sokwe ni walevi Hodari :Utafiti
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Wachezaji walevi Yanga kukiona
10 years ago
Habarileo19 Sep
Wanafunzi walevi wa gongo, viroba
MKUU wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga ameelezea hofu yake ya tishio la kukosekana kwa nguvu kazi wilayani humo kutokana na kukithiri kwa wimbi la ulevi, hasa wanafunzi wakiwemo wa shule za msingi wanaodaiwa kunywa kwa kiasi kikubwa pombe aina ya gongo na nyingine za `viroba’.
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Walevi wajanja wa Nairobi, Kenya