Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwivi huenda na wezi, mlevi nao walevi

MWIVI huenda na wezi wenzake kama ilivyo mlevi na walevi wenziwe. Ni methali inayotukumbusha kwamba watu wenye wasifu na tabia zinazolingana aghalabu hupatana na kuelewana vizuri. Takriban miezi 12 imebaki...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”

Kuna usemi wa wahenga usemao “mchawi mpe mwana alee”. Usemi huu una maana kwamba ili umbane na mtu unayehisi ni adui yako, kuwa naye karibu.

 

11 years ago

Dewji Blog

WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma

DSC07688

Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.

Na.Nathaniel Limu-Singida

WAZIRI  wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Taifa likiendeshwa na walevi?

“WALIOSEMA mimi ni waziri mzigo, wasubiri waone kazi yangu.” Haya ni maneno yaliyotolewa na waziri wetu wa fedha, Saada Mkuya, mapema mwaka huu wakati alipoapishwa kushika nafasi hiyo iliyoachwa wazi...

 

11 years ago

GPL

JE, WEWE NI MLEVI AU MNYWAJI?

LEO ningependa kutoa somo kwa jamaa walioanza tabia ya kunywa pombe na hawajajua kama  sasa wamefuzu na wanaweza kuitwa  walevi rasmi. Somo hili ni muhimu maana nimeshakuta watu wengi wakibisha kuwa wao si walevi ila wanywaji tu wa pombe. Baada ya darasa hili nategemea mtu atajijua kama yeye ni mlevi au mnywaji.
Mnywaji wa ukweli hupitia hatua kadhaa za ulevi, hatua ya kwanza ni Busara. Katika hatua hii pombe humpa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Meya mlevi wa Toronto

Meya mwenye utata wa mji wa Toronto, Rob Ford amesema kuwa atachukua likizo ya muda ili kutatua tatizo lake la ulevi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sokwe ni walevi Hodari :Utafiti

Watafiti waliokuwa wakiwachunguza sokwe nchini Guinea kwa miak 17 wamegundua kuwa wanyama hao wamezoea kukwea minazi na kubugia mvinyo

 

11 years ago

Mwananchi

Wachezaji walevi Yanga kukiona

Katibu Mkuu wa Yanga, Benno Njovu amekemea tabia ya baadhi wa wachezaji wa timu yake kuendeleza unywaji pombe na uvutaji wa sigala.

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi walevi wa gongo, viroba

MKUU wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga ameelezea hofu yake ya tishio la kukosekana kwa nguvu kazi wilayani humo kutokana na kukithiri kwa wimbi la ulevi, hasa wanafunzi wakiwemo wa shule za msingi wanaodaiwa kunywa kwa kiasi kikubwa pombe aina ya gongo na nyingine za `viroba’.

 

11 years ago

BBCSwahili

Walevi wajanja wa Nairobi, Kenya

Madereva walevi nchini Kenya wamebuni njia za kufika nyumbani huku wakikwepa kifaa cha 'Alcoblow' kinachotumiwa na polisi kuwanasa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani