Mwongozo wa kutafuta kazi inayoendana na malengo yako
Kama unatafuta kazi, soma HAPA upate dondoo chache zinazoweza kukusaidia, na kukuongezea kwa zile ulizonazo tayari, 1. Unatakiwa ujue wapi unaangalia au kutafuta kazi Hapa inamaanisha usitumetume barua zako za kuomba kazi popote. Fanya uchunguzi na uelewe ni makampuni gani yanahitaji watu kama wewe na je unawezaje kuingia huko? Unaweza ukasema hicho kitu hakiwezekani ila […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Mar
Usiogope kubadilisha malengo ya kazi yako, hakumaanishi umekata tamaa
Kama utakumbuka, kuna wakati niliandika makala inasema malengo hubadilika ila utu wako haubadiliki, haiko peke yako. Je! unaogopa kubadilisha malengo ya kazi unayofanya? Hapa nitakueleza baadhi ya vitu ambavyo naendelea kujifunza, kubadilisha mawazo ni tofauti kabisa na kukata tamaa. Nimekuwa nikifikiria kuhusu mipango na malengo na namna ya kuyaweka sawa na kwa namna gani unaweza […]
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lwHTjOYsaCE/XuXmoZCeXHI/AAAAAAALtw4/pDoPRm2RhykQZeS4ziHSVsxIfRxm19jHwCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%252811%2529.jpeg)
DKT MLIMUKA AONGOZA UZINDUZI WA MWONGOZO WA KAZI KWA NCHI ZA SADC KUPITIA JUKWAA LA SEKTA BINAFSI SPSF
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Jukwaa la Sekta binafsi SADC (SPSF) imezindua Sheria za Kazi za SADC ikijumuisha sera, vipaumbele, maswala, na mipango kwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
SPSF kwa msaada wa Shirika la Kazi la Kimataifa (ILO), waliweza kutunga mwongozo wa Sheria ya Kazi katika Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika.
Uzinduzi wa mwongozo huo wa sheria ni kwa lengo la ufikiaji kwa sheria za kazi kwa nchi zote 16 za Ukanda wa Kusini mwa jangwa la sahara SADC kwa kufuata wajibu...
Jukwaa la Sekta binafsi SADC (SPSF) imezindua Sheria za Kazi za SADC ikijumuisha sera, vipaumbele, maswala, na mipango kwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
SPSF kwa msaada wa Shirika la Kazi la Kimataifa (ILO), waliweza kutunga mwongozo wa Sheria ya Kazi katika Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika.
Uzinduzi wa mwongozo huo wa sheria ni kwa lengo la ufikiaji kwa sheria za kazi kwa nchi zote 16 za Ukanda wa Kusini mwa jangwa la sahara SADC kwa kufuata wajibu...
10 years ago
Mwananchi19 Jul
SAIKOLOJIA : je, Unajua kurekebisha mtindo wako wa kusoma kufuatana na malengo yako ya kusoma?
Je wakati mwingine unaposoma habari fulani huwa unashindwa kuelewa kilichokusudiwa? Je, hali hii huwa inatokea mara kwa mara au mara chache tu? Je, inapotokea hali hii huwa unafanya nini? Je unafikiri ni wewe tu unayekabiliwa na tatizo hili? Hata hivyo, usiwe na wasiwasi kwa kuwa wako watu wengi wanaokabiliwa na tatizo kama hili.
10 years ago
Mwananchi17 Jan
‘Chuo kikuu ni fursa ya kuondoa ujinga, siyo kutafuta kazi’
Hivi karibuni nilialikwa kwenye makulaji ya kumaliza mwaka yaliyoandaliwa jijini hapa na Wafanyakazi wa Nice Catering Company yanye Makao Makuu yake Dar es Salaam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDMmLd4p6nrr5NVmjeAVkW4KYfUPDk3Q3OUOTPVjsDs-5YP1UsjDheTA*VtIc5wlbdpC9hQ8uQGdGcxUe0olUZF2/nosexcouple.jpg?width=550)
SHANGINGI MSTAAFU: JAMANI EEH, KUTAFUTA SAWA LAKINI KAZI NA DAWA
NINA imani kwa uwezo wa Manani wote ni wazima, binafsi namshukuru Karima. Waswahili wana msemo wao usemao maneno mengi hayajengi bali vitendo ndivyo vinavyojenga.
Kwa maana hiyo leo sitaki kusema maneno mengi bila ya kuwapa watu kile kitu roho inapenda.
Jamani leo nawazungumzia wanaume ambao siku zote wanakuwa bize katika kutafuta maisha na kushindwa hata kukaa na familia zao kubadilishana fikra na mitazamo mbalimbali....
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-P2O2u--TJb0/VgA5oSVlasI/AAAAAAAAoEI/sWk8c8iyGd8/s72-c/3.jpg)
DK MAGUFULI ASEMA HAKUOMBA URAIS KUTAFUTA FEDHA BALI KUWAFANYIA KAZI WANANCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2O2u--TJb0/VgA5oSVlasI/AAAAAAAAoEI/sWk8c8iyGd8/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ucy2WtW3eTY/VgA5qZo-7TI/AAAAAAAAoEQ/OaCeD4yEKOo/s640/32.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lrAhYE0JoXc/VgA5r0lGZmI/AAAAAAAAoEY/2m6PYklgOJ8/s640/29.jpg)
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Mwenye malengo ya kweli maishani atapangilia utendaji wa kazi zake
Swali: Nimekuwa nikivutiwa na mada zako. Mimi nimekuwa nikitamani kuwa mfanyabiashara mkubwa lakini nina tatizo la kutekeleza yale niliyopanga. Mara nyingi hupanguka kutokana na matatizo mengine. Naomba kujua nitumie mbinu gani ili kuwa na mafanikio? Mimi Geofrey Jafar ni mfanyabiashara mkoani Mbeya.
10 years ago
MichuziWatumishi Katiba na Sheria waaswa kufanya kazi kwa malengo
Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wameaswa kuendeleza ushirikiano katika utekelezaji wa majukumu yao ili kutimiza malengo ambayo Wizara imejiwekea.
Akizungumza na watumishi wa makao makuu ya Wizara hiyo jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi, Novemba 20, 2014), Katibu Mkuu Bi. Maimuna Tarishi amesema ushirikiano na upendo ni ngunzo muhimu za mafanikio katika taasisi yoyote.
“Watumishi wa umma, hasa tuliopo Dar es Salaam, tunatumia muda mrefu tukiwa kazini hivyo tunatakiwa tupendane na...
Akizungumza na watumishi wa makao makuu ya Wizara hiyo jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi, Novemba 20, 2014), Katibu Mkuu Bi. Maimuna Tarishi amesema ushirikiano na upendo ni ngunzo muhimu za mafanikio katika taasisi yoyote.
“Watumishi wa umma, hasa tuliopo Dar es Salaam, tunatumia muda mrefu tukiwa kazini hivyo tunatakiwa tupendane na...
10 years ago
Dewji Blog07 May
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania