Nagu asisitiza uongezaji thamani malighafi
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Dk Mary Nagu amevitaka viwanda vya ndani kuacha kuuza mali ghafi nje ya nchi na badala yake viongezee thamani malighafi hizo ili kukuza uchumi wa ndani na ajira.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Wakazi wa Kiswira wapewa elimu uongezaji thamani mazao
CHUO cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa mkoani hapa kimeendesha mafunzo ya matumizi ya nishati ya jua katika uhifadhi na uongezaji thamani mazao kwa wakazi wa Kijiji cha Kiswira, Kata ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M60-PAU0y38/VRlFXARLgeI/AAAAAAAHOY0/cPcPuGrcETI/s72-c/2.jpg)
Kituo cha Jimolojia kuwezesha uongezaji thamani madini nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-M60-PAU0y38/VRlFXARLgeI/AAAAAAAHOY0/cPcPuGrcETI/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XIImyza1IDI/VRlFXMwIJqI/AAAAAAAHOYs/z2fiqzsSPtM/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hNW8PRnTNoQ/VRlFYv3JsdI/AAAAAAAHOY8/H1xD45PxaGA/s1600/4.jpg)
11 years ago
MichuziMKUTANO WA WADAU WA UONGEZAJI THAMANI MADINI WAFANYIKA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-d7v1cce0SPg/VHVi5vJB2sI/AAAAAAAGzdY/76ipg3Cvvs0/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Kamishna wa Madini afungua mafunzo ya uongezaji thamani madini kwa wanawake.
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Wakulima mboga mboga wataka uongezaji thamani
WAKULIMA wa mboga mboga na viungo wilayani Kilosa mkoani hapa, wameiomba serikali, taasisi, kampuni na watu binafsi nchini kote kujitokeza kuwekeza katika kuongeza thamani, ufungaji bora na kuwezesha mazao hayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lFZhHpL5xyc/XvJwuY_zV_I/AAAAAAALvHw/wbiQELfQl-gA3AWKlzgyzrz5ax8k0pOgACLcBGAsYHQ/s72-c/Aluminium-window-2.jpeg)
AINA ZA MADIRISHA KUTOKANA NA MALIGHAFI ZINAZOYATENGENEZA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lFZhHpL5xyc/XvJwuY_zV_I/AAAAAAALvHw/wbiQELfQl-gA3AWKlzgyzrz5ax8k0pOgACLcBGAsYHQ/s1600/Aluminium-window-2.jpeg)
MADIRISHA YA ALUMINIUMMalighafi ya aluminium ni nyepesi na imara na sahihi sana kwa kutengeneza madirisha. Aluminium haiathiriwi na unyevu kama ilivyo kwa mbao wala kuharibika kwa kujikunja kutokana na joto kali.
FAIDA ZA MADIRISHA YA ALUMINIUM
-Yanadumu kwa muda mrefu sana, madirisha ya aluminium yana uimara wa kudumu kwa miaka 30 mpaka 50 na hata zaidi bila kuharibika kwa sababu hayaathiriwi na hali za hewa kama baridi kali au joto.
-Yanachukuwa eneo dogo sana la fremu ya dirisha, madirisha...
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Aibu Tanzania kuuza malighafi nje
MATAIFA mengi Afrika yanapambana kupiga hatua kufikia uchumi mkubwa na kuachana na utegemezi kutoka kwa mataifa yaliyoendelea huku Tanzania ikiendelea na dhana kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa uchumi wetu.
Katikati ya wiki, mchumi wa kimataifa aliyepata kufanya kazi Benki ya Dunia, Profesa Justin Yifu Li kutoka China, alisema jijini Dar es Salaam kwamba umasikini si majaaliwa Afrika, bali ni janga linalohitaji kuondolewa haraka kwa kuwekeza kwenye viwanda.
Alisema si lazima mataifa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HEN55I5DKDM/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fjuqWGDgww0/U_x-1z1UhSI/AAAAAAAGCh0/EiJZ8m0rhK0/s72-c/Picture-ARUSHA.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Arusha kampeni ya uongezaji virutubishi leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-fjuqWGDgww0/U_x-1z1UhSI/AAAAAAAGCh0/EiJZ8m0rhK0/s1600/Picture-ARUSHA.jpg)