NAMBA MAALUMU YA KUTOA TAARIFA ZINAZOHUSU JINSI YA KUJIKINGA NA MALARIA NA TIBA YATANGAZWA RASMI UWANJA WA TAIFA LEO
![](http://api.ning.com:80/files/1ygck9z1r4DrTzJTKql6GlABf3MyyN2NKh6Mf8605jFiqxKFaA4BHtN2fwzwuou-lkJ9bEF8NPQu6ssOm08PAgOS8fPEGSaj/01.jpg?width=650)
Wasanii mahiri wanaounda kundi la THT wakiimba wimbo wa Malaria No More  kabla ya mechi kuanza ya watani wa jadi Simba na Yanga.Wakati Vodacom Tanzania kushirikiana na Taasisi ya Malaria No More na THTwalipokuwa wakitangaza namba maalumu ambayo wateja wanaotumia huduma za kampuni hiyo wanaweza kuitumia kupata taarifa zinazohusiana na ugonjwa wa malaria. Ili mteja kuweza kupata taarifa hizo zinazohusisha jinsi ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Maafisa Habari na Mawasiliano waaswa kutoa taarifa zinazohusu taasisi zao kwa wakati
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali wakati wa Semina ya Mafunzo iliyoandaliwa na Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO) Leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Hiyo Prof. Elisante Ole Gabriel na Kulia ni Mwenyekiti wa Chama hicho Bw. Innocent Mungy.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cklqv0cA7t0/UvUE2xHYfOI/AAAAAAAFLoc/FgHAKplPQ7k/s72-c/89e2b58e610b8cff1d38e455abdc87d6.jpg)
news alert: Majina ya wajumbe wa Bunge maalumu la katiba yatangazwa leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cklqv0cA7t0/UvUE2xHYfOI/AAAAAAAFLoc/FgHAKplPQ7k/s1600/89e2b58e610b8cff1d38e455abdc87d6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9RLKwVLNi_U/UvUC6oR7vrI/AAAAAAAFLoQ/kLazWDkNaoA/s1600/f188acd617634856a19ed3f858e4714f.jpg)
10 years ago
Vijimambo13 Jul
MKUTANO MAALUMU WA MAENDELEO NA KUTOKOMEZA MALARIA WAANZA RASMI
MKUTANO maalumu wa maendeleo na kutokomeza Maralia Barani Afrika umeanza rasmi leo Addis Ababa, Ethiopia.
Mkutano huo ulioanza rasmi leo, unatarajia kumalizika Julai 16 mwaka huu na unalengo la kujadili mikakati ya kuzikwamua nchi maskini kwa kuzichangia kimaendeleo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-H9Rx0ezWo_U/Xs37g3RMOzI/AAAAAAAAntI/xMqyvgk_lLgIIfv6Q_gSyo8U2hPDKY9LwCLcBGAsYHQ/s72-c/thumbnail%2B%25285%2529.jpg)
STOP KUTUMIA NAMBA YA TAHADHARI YA MAJANGA YA MOTO KWA KUTOA TAARIFA ZA UONGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-H9Rx0ezWo_U/Xs37g3RMOzI/AAAAAAAAntI/xMqyvgk_lLgIIfv6Q_gSyo8U2hPDKY9LwCLcBGAsYHQ/s400/thumbnail%2B%25285%2529.jpg)
KAGERA
Wananchi Mkoani Kagera wametakiwa kuacha mara moja tabia ya kutoa taarifa zisizo za kweli kwa kutumia namba ya tahadhali inayotumika kutoa taarifa kwa jeshi la zimamoto na uokoaji.
kauli hiyo imetolewa na mkaguzi wa jeshi la zimamoto na uokoaji mkoani Kagera Thomas Majuto wakati akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ambapo amesema kuwa baadhi ya wananchi wamekuwa wakitumia vibaya namba ya tahadhali inatumika kutoa taarifa za majanga yakiwemo ya ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s72-c/MMGM1084.jpg)
Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s1600/MMGM1084.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NlUWrOLm_MY/VDqqSciQUQI/AAAAAAAGplo/WDumNWIiiQQ/s1600/MMGM1095.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rw1cH6fb7bA/VDqqSY43IwI/AAAAAAAGpls/oJNT5cTcrZ0/s1600/MMGM1119.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JgZ7IQqwkHA/VDqqUA2wFKI/AAAAAAAGpl8/O9cNCzaZok4/s1600/MMGM1140.jpg)
10 years ago
Michuzi19 Jun
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TLmRyEsKECMZtCwOQaKIsDHIAPwccDbNaRzqx3SptmPrk9MaLH5TArWaCCAg0yCdefRojG3Vlge0AIMIQlxzU0sJpFsH9nk/zitto.jpg)
ZITTO RASMI ACT, APEWA KADI NAMBA 007194, KUONGEA NA WANAHABARI LEO
10 years ago
Bongo Movies23 Aug
Diamond atangaza rasmi kufunga ndoa na Wema. Apanga kufanya harusi uwanja wa taifa
Msanii huyo ghali zaidi nchini kwa sasa, ametamka hayo alipozungumza na Mwanaspoti nyumbani kwake Sinza jijini Dar es Salaam juzi Jumatano. Alisema kuna mambo mengi yaliyomchelewesha kufikia hatua hiyo, ikiwamo maandalizi kwani amepanga mashabiki wake wahudhurie harusi hiyo.
“Ndoa ni kitu cha heri na baraka, lakini kitu kinachofanya kidogo mambo yachelewe ni kwamba sisi au mimi ni mtu ninayefahamika, kwa hiyo hata ndoa yangu watu wengi wanatamani waihudhurie,” alisema Diamond.
Pia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-O_y3hvOqBGA/VYO5ZMrZosI/AAAAAAAAEvQ/gPU-cvTTJq0/s72-c/kitambi.jpg)
JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI KINAVYO ONDOLEWA KWA TIBA ASILIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-O_y3hvOqBGA/VYO5ZMrZosI/AAAAAAAAEvQ/gPU-cvTTJq0/s320/kitambi.jpg)
JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, mwili wa binadamu una seli kati ya bilioni 50 hadi 200 za mafuta zilizogawanyika katika sehemu mbalimbali za mwili wa binadamu.Kwa wanawake seli hizo zipo sana katika maeneo ya matiti, kwenye nyonga, kiunoni na kwenye makalio.
Kwa upande wa wanaume seli hizo zinapatikana sana kwenye kifua, tumboni na kwenye...