Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Namna ya kuishi na mtoto mwenye vvu-1

Wiki iliyopita tuliona uchunguzi na matibabu kwa mtoto mwenye virusi vya Ukimwi, leo tunaendelea na mada hiyo na tutaangalia jinsi ya kuishi na mtoto wa mwenye VVU.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mwanamke adai kunyimwa urithi kwa kuishi na VVU

MWANAMKE mmoja mkazi wa Kimandolu jijini Arusha, Suzy Mrema (40) anayeishi na virusi vya Ukimwi amedai kutengwa na ndugu zake, ikiwa ni pamoja na kunyimwa urithi wa mali za marehemu baba yao kwa madai ya kuwa yeye ni marehemu mtarajiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Namna VVU inavyoongeza kasi ya saratani kumuandama binadamu

Wakati dunia ikiwa imeadhimisha Siku ya Ukimwi wiki hii, Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara inayokabiliwa na ongezeko kubwa la wagonjwa wa saratani, huku wengi wakibainika kuathirika na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU).

 

10 years ago

Mwananchi

Mbegu za kiume za mwenye VVU zaoshwa zatumika katika uzazi

Hakika teknolojia inazua mengi, hata yale ambayo hayakuwahi kufikiriwa na mababu zetu karne nyingi zilizopita.

 

10 years ago

GPL

MTOTO ALIYEAMUA KUISHI NA SIMBA

Kipande cha filamu ya Roar kikimuonyesha Tippi Hedren mama wa, Melanie Griffith's akicheza na simba anayeitwa Neil. Melanie Griffith's akiwa amelala na Simba huyo kitandani mwake.…

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kumsaidia mgumba kupata mtoto

Mimi ni mwanaume wa miaka 62 ni mmoja wa waathirika wa tatizo la ugumba, kwa muda mrefu nimekuwa nikihangaikia bila mafanikio kutatua tatizo hili.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mtoto Shigela aliyezaliwa na VVU aaga Dunia jijini Mwanza

10342004_1886404071498512_8618777191309208307_n

Marehemu Shigela ezni za uhai wake akihojiwa na Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania Hoyce Temu.

Mtoto Shigela amefariki dunia asubuhi ya leo tarehe 29/05/2014 nyumbani kwao mkoani Mwanza akisumbuliwa na maradhi ya Moyo.

Mtoto Shigela alikuwa ni mmoja kati ya watoto waliozaliwa na VVU na kipindi cha Mimi na Tanzania kilimtangaza na alipatiwa misaada mingi toka kwa Watanzania .

Bado msaada wako unahitajika kukamilisha mipango ya mazishi kwa mtoto wetu mpendwa Shigela.

Namba ya simu ya...

 

11 years ago

Michuzi

MTOTO MWENYE KIPAJI ADHIMU


Mtoto huyo pichani umri wake hauzidi hata miaka mitano (5) lakini sarakasi alizoruka zilimsangaza kila mtu, wahusika wanatakiwa watembee mikoani kuangalia vipaji hivi, hawa ndio watakaotuletea medali za Olympic miaka ya baadae kama wakiendelezwa. Hii ilikuwa Wilayani Handeni mkoani Tanga wakati wa sherehe za ufunguzi wa Barabara ya Mkata-Handeni hadi Korogwe kwa kiwango cha lami.

 

10 years ago

Habarileo

Ajifungua mtoto mwenye sura ya chura

Kitanda cha Upasuaji.MKAZI wa kijiji cha Chibwechangula –Behelo katika wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Ruth Matonya (26) amejifungua mtoto wa ajabu ambaye nusu ya sura yake inafanana na binadamu na nusu ikifanana na chura.

 

11 years ago

GPL

MASKINI! MTOTO SHIGELA ALIYEZALIWA NA VVU AAGA DUNIA JIJINI MWANZA‏

Marehemu Shigela enzi za uhai wake akihojiwa na Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania, Hoyce Temu. Mtoto Shigela amefariki dunia jana asubuhi tarehe 29/05/2014 nyumbani kwao mkoani Mwanza akisumbuliwa na maradhi ya moyo. Mtoto Shigela alikuwa ni mmoja kati ya watoto waliozaliwa na VVU na kipindi cha Mimi na Tanzania kilimtangaza na alipatiwa misaada mingi toka kwa Watanzania . Bado msaada wako unahitajika kukamilisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani