Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nane wakamatwa wakitumia majina ya viongozi kutapeli

KUNDI  la watu nane wanaodaiwa matapeli linashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma ya kutumia majina ya viongozi wa juu wa serikali Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Kamanda...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT:WATU NANE WAKAMATWA KWA TUKIO LA VIUNGO VYA BINADAMU JIJINI DAR.

  Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam,Suleiman Kova akizungumza na Vyombo vya habari mbalimbali mapema leo, makao makuu ya jeshi la polisi jijini Dar kuhusiana na sakata la viungo vya binadamu vilivyokamatwa jana INGIA HAPA KUONA TUKIO HILO.Kamanda Kova amesema kuwa watu wanane wamekamatwa kuhusiana na tukio hilo.

Kamanda Kova amesema kuwa jopo la Wataalamu saba limeundwa kuchunguza tukio hilo na amethibitisha kuwa viungo vile vilikuwa ni vya maiti,ambavyo hutumika na...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZ:WATU NANE WAKAMATWA UWANJA WA NDEGE WA MWL.NYERERE WAKIINGIA NCHINI KWA PASPOTI BANDIA ZA MATAIFA TOFAUTI YA ULAYA

 Idara ya Uhamiaji nchini  imewakamata raia wanane  wa kigeni  (pichani chini) wakati wakiingia nchini kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu  Nyerere wakiwa na pasipoti bandia za kusafiria za Mataifa tofauti ya Ulaya. 

Wageni hao walikuwa wakijaribu kuingia nchini leo tarehe 15.08.2014 majira ya saa nane na nusu usiku kwa ndege ya shirika la ndege la Uturuki yenye Namba TK 603,  wakitokea Uturuki na kujitambulisha kuwa ni raia wa Sweden na Belgium. 

   Maofisa Uhamiaji katika kituo...

 

10 years ago

Habarileo

Nape aponda wanaotumia majina ya viongozi kujinadi

KATIBU wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amewataka wanaCCM kutowasikiliza watu wanaopita kujinadi kwa kutumia majina ya viongozi wa CCM Taifa.

 

10 years ago

Habarileo

Ashangazwa na matumizi ya majina ya viongozi kuvuna miti

Ridhiwani KikweteMBUNGE wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete (CCM) ameshangazwa na baadhi ya watu wanaotumia majina ya viongozi kuvuna miti bila ya kibali.

 

5 years ago

BBCSwahili

Zitto, viongozi wenzake wakamatwa Kusini mwa Tanzania

Katibu Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amethibitisha kukamatwa kwa kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe, mkoani Lindi Kusini mwa Tanzania.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AFUNGA MAONYESHO YA NANE NANE JIJINI MBEYA LEO

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na wakulima na wananchi wa  mikoa ya Kanda ya Nyanda za juu kusini wakati akifunga maonesho ya sherehe za wakulima Nanenane katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya Agost 8 ,2015b .Picha Jamiimojablog.Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akizungumza katika sherehe hizo za wakulima Nanenaneb Kanda ya Nyanda za juu kusini katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya.wananchi na wakulima wa mikoa ya Kanda ya Nyanda za juu kusini wakimsikiliza...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA NMB YAIBUKA KIDEDEA MAONYESHO YA NANE NANE MWAKA HUU

 Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho kikwete akimkabidhi Mtendaji Mkuu wa NMB Bi Ineke Bussemaker kikombe cha mshindi wa pili kundi la taasisi za kibenki zilizoshiriki maonesho ya Nane nane Kitaifa 2015 katika viwanja vya Ngongo Lindi.

 Wafanyakazi wetu wakifurahia ushindi baada  ya kuibuka kidedea  katika kundi la taasisi za kibenki zilizoshiriki maonesho ya Nanenane Morogoro

 Wafanyakazi wa NMB  wakifurahia ushindi baada  ya kuibuka kidedea  katika kundi la taasisi za...

 

11 years ago

Michuzi

Dkt. Shein afungua Maonesho ya Nane Nane Mkoani Lindi leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa Maonesho ya kilimo ya nane nane kitaifa mwaka huu katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbali mbali wakati alipowasili katika Viwanja vya Ngongo yanapofanyika maonesho ya Kilimo ya nane nane kitaifa Mkoani Lindi. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani