Nape aponda wanaotumia majina ya viongozi kujinadi
KATIBU wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amewataka wanaCCM kutowasikiliza watu wanaopita kujinadi kwa kutumia majina ya viongozi wa CCM Taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo28 Sep
Nape aponda kadi alizopewa Lowassa
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amesema kadi za chama hicho alizokabidhiwa Mgombea wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa akiwa Jimbo la Mtama si za kweli, bali mpango uliotengenezwa ili wajipatie umaarufu.
10 years ago
Mtanzania20 Mar
Mkapa aponda uteuzi wa viongozi
Elias Msuya na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa, amekosoa uteuzi wa viongozi wa umma nchini akisema sera ya utumishi wa umma inayojali utaalamu haifuatwi.
Ametoa kauli hiyo wiki chache baada ya kuzuka mjadala wa uteuzi wa wakuu wa wilaya uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, huku ikielezwa haukuzingatia weledi, maadili na uzoefu kwa walioteuliwa.
Akizungumza katika siku ya pili ya uzinduzi wa Kavazi la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam jana, Mkapa aliyekuwa mtoa mada,...
10 years ago
Vijimambo07 Jul
Nape: Hakuna nafasi ya kukata rufaa majina yakikatwa
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2778480/highRes/1055708/-/maxw/600/-/8tr3egz/-/pic+nape.jpg)
Dodoma.Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakutakuwa na nafasi ya kukata rufaa kwa wanachama wa chama hicho walioomba ridhaa ya chama kupeperusha bendera ya CCM katika nafasi ya Urais iwapo majina yao yatakatwa.Kauli hiyo imetolewa mjini Dodoma leo na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama hicho, Nape Nnauye alipokutana na waandishi wa habari wakati akitoa taarifa ya ratiba ya vikao vya mchujo wa wagombea utakaoanza siku...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s72-c/MMGL0620.jpg)
VIDEO: NAPE ATHIBITISHA MAJINA MATANO BORA YALIYOPITISHWA NA KAMATI KUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s640/MMGL0620.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-JL4_u7hcbVI/VaBYHsn52QI/AAAAAAABjHE/2jaRnN-nA2E/s72-c/IMG_7984.jpg)
VIDEO: NAPE AFUNGUKA KUHUSU MAJINA MATANO BORA YALIYOPITISHWA NA KAMATI KUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-JL4_u7hcbVI/VaBYHsn52QI/AAAAAAABjHE/2jaRnN-nA2E/s640/IMG_7984.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Nane wakamatwa wakitumia majina ya viongozi kutapeli
KUNDI la watu nane wanaodaiwa matapeli linashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma ya kutumia majina ya viongozi wa juu wa serikali Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Kamanda...
10 years ago
Habarileo04 Jan
Ashangazwa na matumizi ya majina ya viongozi kuvuna miti
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete (CCM) ameshangazwa na baadhi ya watu wanaotumia majina ya viongozi kuvuna miti bila ya kibali.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8wO3p9aZEYo/VA1C8p8hnFI/AAAAAAAAQWw/x8cieNefqvs/s72-c/6.jpg)
NAPE ATOA DARASA KWA VIONGOZI WA CCM UINGEREZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-8wO3p9aZEYo/VA1C8p8hnFI/AAAAAAAAQWw/x8cieNefqvs/s1600/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GXHEQ6zDiwA/VA1C_qlbn8I/AAAAAAAAQW4/9olO3suDu1I/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2y2Xaq1sB10/VA1DBIdYdiI/AAAAAAAAQXA/EI27GD9uRVY/s1600/4.jpg)
BOFYA...