Ashangazwa na matumizi ya majina ya viongozi kuvuna miti
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete (CCM) ameshangazwa na baadhi ya watu wanaotumia majina ya viongozi kuvuna miti bila ya kibali.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi23 Feb
Hoja ya Haja kuhusiana na matumizi ya majina ya asili ya kibantu
Katika kipindi cha wiki moja nimekuwa nikitazama tamthilia ya Kiswahili inayoitwa The team(wengi watakuwa wanaifahamu). Napenda kuwapongeza watayarishaji na waigizaji wa tamthilia hii kutokana na ufanisi waliouonyesha katika kuiandaa tamthilia.
Kama Mtanzania nimevutiwa na kujivunia kwa mengi,mojawapo ikiwa ni matumizi fasaha ya lugha ya Kiswahili,kitu ambacho ni vigumu kukiona katika filamu zingine au katika maisha ya kila siku.
Hoja yangu ni juu ya majina...
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Nane wakamatwa wakitumia majina ya viongozi kutapeli
KUNDI la watu nane wanaodaiwa matapeli linashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma ya kutumia majina ya viongozi wa juu wa serikali Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Kamanda...
10 years ago
Habarileo10 Oct
Nape aponda wanaotumia majina ya viongozi kujinadi
KATIBU wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amewataka wanaCCM kutowasikiliza watu wanaopita kujinadi kwa kutumia majina ya viongozi wa CCM Taifa.
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AONGOZA UPANDAJI MITI MABWEPANDE KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA KUPANDA MITI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5vC28MoyDdc/VR0rW6y0lMI/AAAAAAAHO6Q/0poDtc0UjnA/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
MKOA WA KAGERA WAADHIMISHA SIKU YA KUPANDA MITI KITAIFA WILAYANI ‘MISSENYI MISITU NI MALI PANDA MITI'
![](http://1.bp.blogspot.com/-5vC28MoyDdc/VR0rW6y0lMI/AAAAAAAHO6Q/0poDtc0UjnA/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
Maadhimisho hayo yaliyoongozwa na mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Celestine Gesimba kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii ambapo maadhimisho hayo yalianzia katika Kijiji cha Bugolola eneo la...
10 years ago
Habarileo05 Feb
Viongozi wa dini waomba matumizi mazuri ya tehama
WATANZANIA wametakiwa kutumia vizuri teknolojia ya mawasiliano kwani inapotumika vibaya inakuwa chanzo cha matatizo.
5 years ago
MichuziViongozi Rukwa waendelea kuhamasisha matumizi ya Nyungu
Amehamasisha hayo ikiwa ni katika kuunga mkono kauli ya Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) pamoja na viongozi wengine wa juu nchini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SR7L5mjyzUI/XoS5_v2HAVI/AAAAAAALl0Q/kwBpgTKvkusLrilPtLxP5v5t_j_dwsVNwCLcBGAsYHQ/s72-c/7a0150c6-ad7f-4891-ae25-d8ec831c3923.jpg)
TFS YAADHIMISHA SIKU YA UPANDAJI MITI KITAIFA KWA KUGAWA BURE MICHE YA MITI KWA WAKAZI WA DAR
KATIKA kuepuka mikusanyiko kama sehemu ya kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa COVID-19(Corona) , Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS)umeamua kuadhimisha kilele cha siku ya upandaji miti kitaifa kwa kugawa miche ya miti kwa wananchi.
TFS imegawa miche hiyo ya miti ya aina mbalimbali leo Aprili 1, mwaka 2020 jijini Dar es Salaam huku ikitoa rai kwa wananchi wa Dar es Salaam,Tanga na Pwani kutumia kipindi hiki cha mvua za masika kupanda miti kwa...