Nape: Nitaanza na sheria, nidhamu michezoni
Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye ameahidi kushughulikia sheria mbalimbali zinazosimamia sekta hiyo ili kuongeza nidhamu michezoni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AQdTKxkbfsI/VmmD7Zd9lXI/AAAAAAAILd8/iAqJlitcUac/s72-c/526.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AMEMUAGIZA MKURUGENZI WA ‘ZAWA’ KUFANYA UCHUNGUZI WA KINA NA KUWACHUKULIA HATUA ZA NIDHAMU KWA MUJIBU WA SHERIA WATENDAJI WA MAMLAKA HIYO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-AQdTKxkbfsI/VmmD7Zd9lXI/AAAAAAAILd8/iAqJlitcUac/s1600/526.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ru4cN6P5Zlw/VmmD71j0vBI/AAAAAAAILeA/Yt01LdanYTw/s1600/527.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-efmx5Ol8s8o/VmmD7wkNxWI/AAAAAAAILeE/o1Ij2lTb0Ms/s1600/536.jpg)
Baadhi ya Wakaazi wa Mtaa wa Mlandege wakitafakari na kufurahia maamuzi yaliyochukuliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/leU9J-pZysQ/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/leU9J-pZysQ/default.jpg)
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Sentensi nne za Nape Nnauye zina majibu ya ishu ya Sheria ya mavazi iliyosambaa mitandaoni.. (+Audio)
Kulikuwa na taarifa ambayo imesambaa mitandaoni kuhusu ishu ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Moses Nnauye kutangaza kuhusu kupigwa marufuku baadhi ya aina ya mavazi kwa wanawake na wanaume… taarifa hiyo ikaenda mbali na kutaja faini ya 100,000/= kwa atakayekiuka. Taarifa kutoka kwenye habari ya Clouds TV imempata Waziri Nape Nnauye >>> […]
The post Sentensi nne za Nape Nnauye zina majibu ya ishu ya Sheria ya mavazi iliyosambaa mitandaoni.. (+Audio) appeared first on...
10 years ago
Mtanzania06 Jan
AG MASAJU: Nitaanza na mikataba ya gesi
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju, amesema anataka muda zaidi ili aweze kuzungumzia suala la Kampuni ya Kufua Umeme Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na mikataba ya gesi ambayo imekuwa ikitakiwa kuwekwa wazi.
Masaju aliyasema hayo jana, Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kuapishwa na Rais Jakaya Kikwete kuchukua nafasi ya Jaji Frederick Werema, aliyejiuzulu nafasi hiyo kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0Fq2bsSCmpz9fuzrcxOYQARQFo1bz52Kam2RSAB82LUc*j3WPf37Wzjc5L8N*IXxFTJc-TSeJ1-uWYg8oDjy2reA/Dida1.jpg)
DIDA: EZDEN AKIOA, NITAANZA KUMCHANGIA!
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Diamond: Nitaanza kupiga ‘live’ Krismasi hii
9 years ago
Bongo517 Dec
Waziri Nape Nnauye afafanua jinsi wasanii chipukizi watakavyonufaika na sheria ya Radio na TV kuwalipa wasanii
![Katibu Mwenezi wa Itikadi wa CCM Nape NNauye akifuatilia mchezo kwa umakini mkubwa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/07/Katibu-Mwenezi-wa-Itikadi-wa-CCM-Nape-NNauye-akifuatilia-mchezo-kwa-umakini-mkubwa2-200x134.jpg)
Kumeibuka maswali mengi toka ilipotangazwa sheria ya wanamuziki wa Tanzania kulipwa na vituo vya Radio na TV kwa kutumia kazi zao, moja wapo ni kuhusu kama sheria hii itakuwa na manufaa kwa wasanii wachanga au itachangia kuwapa wakati mgumu zaidi wa kupata nafasi ya kazi zao kuchezwa.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye amefafanua jinsi wasanii chipuziki watakavyonufaika na utaratibu huo unaotarajiwa kuanza kutumika mwezi January,2016.
“Wapo watu wanasema kwamba...
11 years ago
Mwananchi10 Aug
BBC MICHEZONI